Mwenyekiti wa CHADEMA na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe amesikitishwa na uamuzi wa Mbunge wa Rombo Joseph Selasini wa kujiuzulu nafasi ya mnadhimu wa upinzani bungeni na kusema wazi sababu alizotoa hazina mashiko.
Mwenyekiti huyo wa CHADEMA ameshangazwa na taarifa ya...
Hello JF!
Leo nimeona tukutane kwenye huu ‘mkutano’ tujadili upinzani, nafasi yake kwa sasa na muelekeo ama future direction iweje.
Nawasihi tuifanye hii topic kimaswali na majibu ili kustimulate minds zenu.
Kwanza, tumpongeze number moja upinzani Mbowe, amepitia mengi kama yeye na kwenye...
Tangu mwaka elfu mbili kumi na tano baada ya uchaguzi ndo nikajua akili mbowe maana ccm ilibidi wabadili sheria na namna ya kupambana na ukawa hali ilikuwa mbaya
kwanza kuopiga marufuku mikutano ya siasa mpaka 2020
pili sheria ya mitandaoni ili kujua wanaoshambulia ccm ni akina nani na...
DC wa Hai, Lengai Ole Sabaya amezuia Sh42milioni za mfuko wa Jimbo la Hai linaloongozwa na Freeman Mbowe (Chadema) na kuagiza kati ya fedha hizo, Sh7milioni ziende kujenga choo cha walimu wa shule ya msingi Mijongweni
Kirudishe Chama kiwe Taasisi usikubali kukumbatia uozo wa Mbowe fukua Makaburi muige Dr Bashiru Ally alivyowanyang'anya mafisadi ya CCM Magari ya kifahari na Hisa za CCM VODACOM
POLE SANA DK. MASHINJI
WENYE AKILI TULIJUA HUNA SAFARI.
Nakupa pole nikiwa nakushangaa kwa kushindwa kutumia elimu yako kusoma alama za nyakati, na mshahara wake ndio huo.
Pamoja na juhudi zako kubwa za kuhakikisha watu waliotaka kugombea uenyekiti wanatandikwa mapema na figisu nyingine kibao...
Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amelia kwa furaha baada ya kushuhudia imani kubwa waliyonayo Watanzania juu yake kupitia wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema.
Mbowe amesema kwa imani hii iliyoonyeshwa na wananchi kamwe hatawaangusha na kuwataka wananchi wasimlilie yeye kutokana na msalaba mzito...
Chama cha CHADEMA kimeelemewa kwa salaam za Pongezi kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi kutokana na uchaguzi mkuu wa kihistoria uliyomrejesha madarakani Freeman Mbowe.
Salaam za Karibuni ni kutoka kwa Chama cha ACT Wazalendo mshirika wa Chadema katika upinzani.
Kiongozi wa ACT...
Eti wanachama wanahoji kwanini chama kimeenda kutumia mamilioni ya fedha kukodi ukumbi wa Mliman City na kuacha kumbi nyingine za bei nafuu halafu Mbowe anajibu kwamba CHADEMA ni watu wa viwango na wanachukia umasikini halafu watu wanashangilia!
Iko wapi tofauti kati ya Magufuli anayenunua...
Matokeo ya uchaguzi mkuu Chadema yametangazwa ambapo Freeman Mbowe amepata ushindi wa Tsunami. Mbowe ambaye amekiongoza chama hicho kwa miaka kumi na tano sasa alishangiliwa mno na wajumbe wakati matokeo yakitangazwa na msimamizi wa uchaguzi Sylivester Masinde.
Mbowe amepata ushindi wa asilimia...
WanaJF duniani kote,Wasalaam!
Ni asubuhi tulivu kabisa katika jiji la Dar es Salaam huku habari kubwa inayovuma ikiwa ni mkutano mkuu wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA chenye wanachama milioni 6 na nusu wenye kadi.
Kama ripota wa JF nipo hapa Mlimani City nimekesha kwa lengo moja tu la...
Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda wake mzee Freeman Mbowe amesema chama chao kinaamini kuwa Umaskini ni laana na kwahiyo wataendelea kuhubiri sera ya utajirisho.
Mbowe amesema kila mwanachadema ni tajiri wa Roho hivyo wanakerwa sana na viongozi wa CCM wanaoukumbatia umaskini.
Mbowe...
Kupanga ni kuchagua na mara zote umakini unahitajika sana.
Chadema inakwenda kwenye uchaguzi mkuu utakaompata Mwenyekiti na makamu wake pamoja na kamati nzima ya utendaji.
Miongoni mwa wagombea wa nafasi hizo ni mh Mbowe na wakili msomi Tundu Lisu bila kumsahau mh Mwambe.
Angalizo muhimu...
Sasa ni Rasmi.Kamati Kuu ya CHADEMA katika kikao chao leo cha kikatiba kimewapitisha Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa katika uchaguzi utakaofanyika Jumatano Desemba 18.
Katika kuonyesha kukomaa kwa Demokrasia ndani ya chama hicho Kamati Kuu iliwahoji wagombea...
Kiukweli uchaguzi mkuu wa Chadema kwa sasa unakwenda kimya kimya na hii ni kutokana na vikao vya kihistoria vya CCM vinavyofanyika jijini Mwanza.
Habari kuu katika media zote imekuwa ni vikao vya CCM, na hata uchaguzi wa Bavicha na Bawacha umejulikana zaidi kwa wana Ufipa wenyewe. Na hii ni...
Huko kwa bibi, Malkia wa Uingereza, uchaguzi ndo umeisha na mshindi ni Boris Jonon wa chama cha mabwanyenye.
Jeremy Corbyn wa chama cha wavuja jashi ameshindwa.
Kwa demokrasi kabisa Corbyn atajiuzulu muda wowote kukiongiza chama chake.
SOMO
Mbowe alitakiwa ajiuzulu muda mrefu uliopita, lakini...
Baada ya Chama cha Conservative cha Boris Johnson kupata ushindi mkubwa wa viti zaidi ya 326 vya Ubunge Uingereza, Waziri Mkuu huyo ameweka msisitizo kwamba Januari 31,2020 Uingereza itajiondoa rasmi katika Umoja wa Ulaya (EU).
_
Boris amesema ni jukumu lake kuindoa Uingereza kwenye Muungano wa...
Naibu Waziri wa mambo ya ndani Hamad Masauni amemwagiza IGP Sirro kuwavua vyeo RPC wa Kusini pemba Hassan Nasir Ally na RPC wa Kaskazini Pemba Shekhan Mohamed kwa kosa la kumwacha Jabali Maalim Seif kuhutubia wananchi wa Pemba , huku siasa za majukwaani zikiwa zimekatazwa
---
Naibu Waziri wa...
Kama Rais Magufuli na vyombo vyake vya polisi wanadhani watatufanyia uhuni kama walivyofanya kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019, mpatanishi atakua Katibu wa Umoja wa Mataifa.
#DevelopmentIsWoman
#MaendeleoNiMwanamke
#NoHateNoFear
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe amesema baada ya kuzuiliwa mikutano ya hadhara kwa hila chama hicho kimeimarika maradufu.
Akihutubia mkutano mkuu wa Baraza la Wanawake Chadema katija ukumbi wa Mlimani City kiongozi huyo amesema chama hicho kiliamua kufanya siasa mpya za kuzunguka kata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.