mbowe

  1. M

    JamiiForums Tanzania Masuala haya ambayo MBOWE atayazungumzia kwenye mkutano na waandishi wa habari ni hadaa kwa umma.

    Mkutano wa mwenyekiti wa Chadema FREEMAN MBOWE na waandishi wa habari unaotarajiwa kufanyika leo Februari 03, 2020 majira ya 5 asubuhi umejaa hadaa na upotoshaji kwa umma, nitafafanua kila jambo kwa hoja. Tume huru ya Uchaguzi. kamati ya Maridhiano Marekebisho ya katiba kuzuiwa kusafiri nje...
  2. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kumekucha: Freeman Mbowe kuunguruma , ataongea na Waandishi wa habari wa ndani na nje ya nchi

    Taarifa kwa vyombo vya habari na umma Mkiti wa CHADEMA na Kiongozi wa Kambi Upinzani Bungeni, Mhe. Freeman Mbowe(Mb) atazungumza na Watanzania kupitia Mkutano na Waandishi wa Habari wa vyombo vya ndani na nje ya nchi, J'tatu, Feb. 3, 2020, saa 5 asubuhi, jijini Dar es Salaam.
  3. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Shujaa Mbowe alionya lakini akapuuzwa

    Jionee mwenyewe , maana tukiandika tunaonekana tumeongeza chumvi
  4. J

    JamiiForums Tanzania Pendekezo: Wakati wa sherehe za utiaji saini mikataba mikubwa kama wa Barrick KUB aalikwe ili baadae akawaelimishe Wapinzani

    Hili ni pendekezo tu. Kwamba KUB awe anaalikwa katika matukio muhimu ya kiserikali ili akiisha kuelewa yeye aende akawaelimishe na wafuasi wa kambi yake. Kwa aina ya wapinzani tulionao vichwa vyao ni rahisi kuelewa wanapoelezwa jambo " lile lile" na viongozi wao kuliko kusikiliza mubashara...
  5. mama D

    JamiiForums Tanzania Kungwi wa Arusha, Irene Mbowe afiwa na mumewe

    Binafsi nimekua mfuasi mkubwa wa mwanaharakati na mtumishi na mmiliki wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Bembeleza kutoka Arusha bi. Irene Mbowe.Jana kwa mshtuko mkubwa nimepokea habari za kufariki ghafla kwa mumewe bw. Sebastian Malya maarufu kama baba Neema au Ice Kyubu.Mpaka sasa...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Maalim Seif kugombea urais wa JMT, Mbowe mgombea mwenza Zitto Waziri Mkuu mtarajiwa; Lema kugombea Ubunge Hai

    Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT. Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu. Godbless Lema naye anatajwa kuhamia...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mbowe amshangaa Selasini kujiuzulu nafasi ya Mnadhimu wa Upinzani Bungeni, asema sababu alizotoa hazina mashiko

    Mwenyekiti wa CHADEMA na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya upinzani bungeni Freeman Mbowe amesikitishwa na uamuzi wa Mbunge wa Rombo Joseph Selasini wa kujiuzulu nafasi ya mnadhimu wa upinzani bungeni na kusema wazi sababu alizotoa hazina mashiko. Mwenyekiti huyo wa CHADEMA ameshangazwa na taarifa ya...
  8. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Hongereni wakina Mbowe. Nakaribisha maoni/ ushauri na maswali

    Hello JF! Leo nimeona tukutane kwenye huu ‘mkutano’ tujadili upinzani, nafasi yake kwa sasa na muelekeo ama future direction iweje. Nawasihi tuifanye hii topic kimaswali na majibu ili kustimulate minds zenu. Kwanza, tumpongeze number moja upinzani Mbowe, amepitia mengi kama yeye na kwenye...
  9. maganjwa

    JamiiForums Tanzania Mbowe ni political genius

    Tangu mwaka elfu mbili kumi na tano baada ya uchaguzi ndo nikajua akili mbowe maana ccm ilibidi wabadili sheria na namna ya kupambana na ukawa hali ilikuwa mbaya kwanza kuopiga marufuku mikutano ya siasa mpaka 2020 pili sheria ya mitandaoni ili kujua wanaoshambulia ccm ni akina nani na...
  10. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania Mbowe anza kuwasha kiberiti Hai Mbona bwana mdogo amekushinda? Ukishindwa kuwasha Hai utawashia wapi?

    DC wa Hai, Lengai Ole Sabaya amezuia Sh42milioni za mfuko wa Jimbo la Hai linaloongozwa na Freeman Mbowe (Chadema) na kuagiza kati ya fedha hizo, Sh7milioni ziende kujenga choo cha walimu wa shule ya msingi Mijongweni
  11. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania Mnyika anza kushughulika na kashifa za Mbowe juu ya matumizi mabaya ya Ruzuku ya chama na michango ya Wabunge

    Kirudishe Chama kiwe Taasisi usikubali kukumbatia uozo wa Mbowe fukua Makaburi muige Dr Bashiru Ally alivyowanyang'anya mafisadi ya CCM Magari ya kifahari na Hisa za CCM VODACOM
  12. Egnecious

    JamiiForums Tanzania Pole sana Dkt. Mashinji wenye akili tulijua huna safari

    POLE SANA DK. MASHINJI WENYE AKILI TULIJUA HUNA SAFARI. Nakupa pole nikiwa nakushangaa kwa kushindwa kutumia elimu yako kusoma alama za nyakati, na mshahara wake ndio huo. Pamoja na juhudi zako kubwa za kuhakikisha watu waliotaka kugombea uenyekiti wanatandikwa mapema na figisu nyingine kibao...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Mbowe amwaga Chozi, awataka wananchi wasimlilie yeye

    Mwenyekiti wa Chadema Mh Mbowe amelia kwa furaha baada ya kushuhudia imani kubwa waliyonayo Watanzania juu yake kupitia wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema. Mbowe amesema kwa imani hii iliyoonyeshwa na wananchi kamwe hatawaangusha na kuwataka wananchi wasimlilie yeye kutokana na msalaba mzito...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe ampongeza Mbowe kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti CHADEMA

    Chama cha CHADEMA kimeelemewa kwa salaam za Pongezi kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi kutokana na uchaguzi mkuu wa kihistoria uliyomrejesha madarakani Freeman Mbowe. Salaam za Karibuni ni kutoka kwa Chama cha ACT Wazalendo mshirika wa Chadema katika upinzani. Kiongozi wa ACT...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Mbowe aache kutoa majibu mepesi kwenye maswali magumu

    Eti wanachama wanahoji kwanini chama kimeenda kutumia mamilioni ya fedha kukodi ukumbi wa Mliman City na kuacha kumbi nyingine za bei nafuu halafu Mbowe anajibu kwamba CHADEMA ni watu wa viwango na wanachukia umasikini halafu watu wanashangilia! Iko wapi tofauti kati ya Magufuli anayenunua...
  16. Nanyaro Ephata

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe, Said Issa na Tundu Lissu, washinda kwa kishindo Uchaguzi Mkuu CHADEMA

    Matokeo ya uchaguzi mkuu Chadema yametangazwa ambapo Freeman Mbowe amepata ushindi wa Tsunami. Mbowe ambaye amekiongoza chama hicho kwa miaka kumi na tano sasa alishangiliwa mno na wajumbe wakati matokeo yakitangazwa na msimamizi wa uchaguzi Sylivester Masinde. Mbowe amepata ushindi wa asilimia...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika Mkutano Mkuu wa CHADEMA Desemba 18, 2019 katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar

    WanaJF duniani kote,Wasalaam! Ni asubuhi tulivu kabisa katika jiji la Dar es Salaam huku habari kubwa inayovuma ikiwa ni mkutano mkuu wa chama kikuu cha upinzani CHADEMA chenye wanachama milioni 6 na nusu wenye kadi. Kama ripota wa JF nipo hapa Mlimani City nimekesha kwa lengo moja tu la...
  18. J

    JamiiForums Tanzania Mbowe: CHADEMA tunaamini kwamba umaskini ni laana na kila mwanachadema ni tajiri rohoni mwake

    Mwenyekiti wa Chadema anayemaliza muda wake mzee Freeman Mbowe amesema chama chao kinaamini kuwa Umaskini ni laana na kwahiyo wataendelea kuhubiri sera ya utajirisho. Mbowe amesema kila mwanachadema ni tajiri wa Roho hivyo wanakerwa sana na viongozi wa CCM wanaoukumbatia umaskini. Mbowe...
  19. J

    JamiiForums Tanzania Chadema ni kama vile wanabet Mbowe yuko mahakamani na Tundu Lisu yupo uhamishoni wamebaki Sugu na Lema

    Kupanga ni kuchagua na mara zote umakini unahitajika sana. Chadema inakwenda kwenye uchaguzi mkuu utakaompata Mwenyekiti na makamu wake pamoja na kamati nzima ya utendaji. Miongoni mwa wagombea wa nafasi hizo ni mh Mbowe na wakili msomi Tundu Lisu bila kumsahau mh Mwambe. Angalizo muhimu...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Kamati Kuu ya CHADEMA kimewapitisha Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa

    Sasa ni Rasmi.Kamati Kuu ya CHADEMA katika kikao chao leo cha kikatiba kimewapitisha Freeman Mbowe na Cecil Mwambe kugombea nafasi ya Mwenyekiti Taifa katika uchaguzi utakaofanyika Jumatano Desemba 18. Katika kuonyesha kukomaa kwa Demokrasia ndani ya chama hicho Kamati Kuu iliwahoji wagombea...
Back
Top Bottom