johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,912
- 141,862
Ni ushauri tu kwa mwenyekiti wa Chadema na Kiongozi wa Upinzani Bungeni mh Mbowe kwamba afanye siasa za kushirikiana na serikali ili tuijenge nchi yetu.
Pale Kenya Kiongozi wa Upinzani mh Raila Odinga yuko mstari wa mbele akishirikiana kwa karibu na Rais Uhuru Kenyata katika kuwaletea wananchi wao maendeleo.
Ni vema Mbowe akaiga jambo hili jema kwa jirani zetu na siyo kupinga pinga tu kila jambo kama Zitto Kabwe wa ACT wazalendo.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Pale Kenya Kiongozi wa Upinzani mh Raila Odinga yuko mstari wa mbele akishirikiana kwa karibu na Rais Uhuru Kenyata katika kuwaletea wananchi wao maendeleo.
Ni vema Mbowe akaiga jambo hili jema kwa jirani zetu na siyo kupinga pinga tu kila jambo kama Zitto Kabwe wa ACT wazalendo.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!