Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,296
- 217,300
Mbowe atafutwe Chama kinaenda kusambaratkikaJionee mwenyewe , maana tukiandika tunaonekana tumeongeza chumvi
Kila aliyehusika tumekwisha peleka majina yake na ya mkeweViongozi wa nchi wanazingua sana, wanafanya UGAIDI kwa kuumiza raia wenyewe wanaita ”TUNATEKELEZA” (maagizo toka juu)
Haha uchunguzi wafanye wao kelele mpige nyie as if you're also includedKila aliyehusika tumekwisha peleka majina yake na ya mkewe
kama hujui nyamazaHaha uchunguzi wafanye wao kelele mpige nyie as if you're also included
Huyo mi sina ushabiki naye hata wakimfungia maishablast from the past
View attachment 1343915
Kazi yetu kutuma barua posta tu....nothing elsekama hujui nyamaza
Siku kikiwaka msinitafute...MboweJionee mwenyewe , maana tukiandika tunaonekana tumeongeza chumvi
Mkuu sijakuona kwenye sakata hili la kaka yako makonda, naona mmemkimbia hata urafiki wenu mnaanza kuukana mnaogopa nini.Mbowe atafutwe Chama kinaenda kusambaratkika
Erythro, sisi tunaotazama toka nje, tunaona hii ni 'chachu' 'tu kazi yenyewe hasa bado.Jionee mwenyewe , maana tukiandika tunaonekana tumeongeza chumvi
Eeeenh, sijui Kikwete naye alikuwa akiwaza nini kumzawadia mtu huyu kwa kazi hii!blast from the past
View attachment 1343915
Ha haha! Mmefanya makosa makubwa sana, mmemsahau kwenye orodha Keagan. Au kwa sababu biological father wake ni chupa sio jamaa?Kila aliyehusika tumekwisha peleka majina yake na ya mkewe
blast from the past
View attachment 1343915
haumuoni Apo nyuma yako?Mwambie amrudishe kwanza msaidizi wake.
Wauaji wakubwa nyieView attachment 1343984
Sent using Jamii Forums mobile app