Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,643
- 218,098
Uungwana ni vitendo
Ramli chonganishi !!Safii linapofika jambo la huzuni watu huweka siasa zao kando lakini wewe mleta uzi umeleta hii taarifa kwa mrengo wako na kutaka kulifanya hili tukio liwe ni mjadala!
Safii linapofika jambo la huzuni watu huweka siasa zao kando lakini wewe mleta uzi umeleta hii taarifa kwa mrengo wako na kutaka kulifanya hili tukio liwe ni mjadala!
Tunakushukuru kwa kushiriki msibaWanafiki wanajuana, bado wale chama tawala nao kujipeleka. Natoa pole kwa niaba ya watoto na familia ya marehemu, lakini sitoi pole kwa mwingira huyo ni tapeli na mlaghai kwa kutumia jina la mungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo letu kila mara ni kutoa taarifa tu ili jf iwe ya kwanza , hayo mengine unayonibandika kichwani siyajui .Safii linapofika jambo la huzuni watu huweka siasa zao kando lakini wewe mleta uzi umeleta hii taarifa kwa mrengo wako na kutaka kulifanya hili tukio liwe ni mjadala!
huu uzi umewekwa maalum kwa ajili yaoUtaiona ile mijani ya kijani ikija speed utazani inaharisha, keshooo wamejazana woteee huko
Don't make a promise you can't fulfill...
Hii mifisi huwa nayaangaliaga huku mtaani kwenye vilio nikiyatazama huwa naona hata ikija julikana kuwa yalimuua bs8 bado yatakula na rambirambi za msiba yaliyosababisha yenyeweUtaiona ile mijani ya kijani ikija speed utazani inaharisha, keshooo wamejazana woteee huko
Don't make a promise you can't fulfill...
😆😆😆Hii mifisi huwa nayaangaliaga huku mtaani kwenye vilio nikiyatazama huwa naona hata ikija julikana kuwa yalimuua bs8 bado yatakula na rambirambi za msiba yaliyosababisha yenyewe
Watu wa Mungu hawa Awatie nguvu na baraka tele.
Lengo letu kila mara ni kutoa taarifa tu ili jf iwe ya kwanza , hayo mengine unayonibandika kichwani siyajui .
Uungwana gani hapo? Mwingira ni kiongozi wa dini siyo mwanasiasa, Tulia naye alikuwepo huyu katokea Kyela kwenye matanga ya msiba, yaani anajitahidi sana kuzika.
Tulia si kuzika tu hata majeneza anatembea nayoUungwana gani hapo? Mwingira ni kiongozi wa dini siyo mwanasiasa, Tulia naye alikuwepo huyu katokea Kyela kwenye matanga ya msiba, yaani anajitahidi sana kuzika.
Manabii wa leo wamezaliwa na mababa,wale wa zamani walizaliwa kwa kushushwa kutoka mbinguni kupitia roho Mtakatifu.
Poleni wafiwa,ingawa neno Nabii kwa nyakati hizi pengine linawatatiza walio wengi.
Kinachohani kwenye msiba si chama ni mtu binafsi, kumbe nyie huwa hamuendi kwa kuwa tayari wapo wanachama!Pole kwa wafiwa,ila chadema protokali bado
Kwa nini wamempeleka Mwentekiti na katibu kuhani msiba kwa wakati mmoja?