mbowe

  1. Roving Journalist

    Mahakama ya Kisutu imewatia hatiani Viongozi wa CHADEMA na kuwahukumu kulipa faini ya Tsh. Milioni 350 au kwenda jela, Wapelekwa Segerea

    Mahakama ya Kisutu leo Machi10, inatarajia kutoa hukumu kwa Viongozi wa CHADEMA wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi Mahakamani hapo, Viongozi hao ni pamoja na Mwenyekiti CHADEMA, Freeman Mbowe, pia John Mnyika, Halima Mdee, Ester Bulaya, Ester Matiko, Heche, Msigwa na Mashinji. Katika kesi hiyo...
  2. CalvinKimaro

    Mbowe ana msongo mkubwa wa mawazo, ni baada ya kutoitwa Ikulu

    Nimemsikiliza mtani wangu Mbowe akijibu swali ni kwa nini hajaalikwa Ikulu ilihali yeye ndiye aliomba kwa maandishi lakini wamealikwa ambao hawajaomba kualikwa? Ukimsikiliza utabaini ana kitu Wazungu na Wapare tunaita "psychological disorder". Yaani hitilafu itokanayo na matatizo ya kijamii na...
  3. J

    Mbowe: Natamani mrithi wangu kama Mwenyekiti Taifa atoke BAWACHA

    Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema anatamani sana atakapostaafu kama mwenyekiti wa Chadema taifa basi mrithi wake atoke Bawacha. Source Tanzania Daima My take; Namuona Halima Mdee akiandaliwa fursa ya kuongoza Chadema Maendeleo hayana vyama!
  4. Mzukulu

    Freeman Mbowe na Halima Mdee wangekuwa Mume na Mke wangependeza sana!

    Huwa nafurahi sana pale nikiwaona wapo karibu kwani siyo Siri kwa Utanashati wa Freeman Mbowe na Urembo wa Halima Mdee huwa wanapendezana mno kiasi kwqmba natamani Siku moja nije kusikia ama wana Mahusiano yao au hata wanatarajia Kufunga Pingu za Maisha. Waufanyie Kazi Ushauri wangu tafadhali...
  5. J

    Tetesi: Mbatia kupoteza uwaziri na marupurupu yake baada ya kwenda kinyume na utaratibu wa kambi rasmi chini ya KUB Mbowe

    Inasemeka KUB Mbowe atamtumbua James Mbatia kutoka kwenye baraza lake la mawaziri vivuli wakati wowote kuanzia sasa. Nafasi ya Mbatia inaweza kujazwa na mbunge wa Kigoma mjini mh Zitto Kabwe kama ataafikiana na KUB. Stay tuned, Maendeleo hayana vyama!
  6. dubu

    Ushahidi: UVCCM ndio waliofanya Vurugu kwenye Mkutano wa Mbowe Jimboni hai huku Polisi wakiangalia bila kufanya chochote

    Heshima kwenu wakuu, Jana Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe Freeman Mbowe alifanyiwa Vurugu kwenye Mkutano uliokuwa ukifanyika katika kijiji cha Kikafu Chini, Kata ya Weruweru. Ulivurugwa baada ya kuibuka kikundi cha vijana zaidi ya 50 wa kike na kiume kwenye mkutano huo na...
  7. beth

    Mbowe: CHADEMA haikupokea mwaliko wa kwenda Ikulu kuzungumza na Rais Magufuli

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amezungumzia kuitwa Ikulu kwa baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa nchini na uamuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumfuta uanachama aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. Jumanne...
  8. J

    Mbowe: Membe ana haki alikuwa adui yetu jana lakini leo ni rafiki hatuwezi kumkataa akipendezwa kujiunga nasi tutampokea!

    Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema chama chao kina haki ya kumpokea mwanachama kutoka vyama vingine endapo anakidhi vigezo. Mbowe amedai kuwa chama chake kimepata funzo kutokana na kupokea wanasiasa wa vyama vingine hivyo kwa sasa watakuwa makini zaidi. Membe ana haki zote za kujiunga na...
  9. J

    Je, Mbowe ndiye Zamoyoni Mogela aka Golden boy wa Hai?

    Wale wahenga mnakumbuka namna Zamoyoni Mogela alivyokuwa anapaniwa na walinzi wa Yanga pindi timu ya Yanga ikutanapo na Simba miaka ile ya 80. Nakumbuka picha moja ikimuonyesha Mogella akiwa amezungukwa na walinzi " wote" wa Yanga yaani Yusuph Bana, Ahmed Amasha, Rashid Chama, Isihaka Hassan na...
  10. J

    Kiongozi wa chama kikuu cha Upinzani, Freeman Mbowe ametengwa au amejitenga?

    Tangu serikali ya awamu ya 5 iingie madarakani sijawahi kumshuhudia KUB Mbowe akitimba Ikulu iwe kwa niaba yake au ya chama chake. Leo maalimu Seif ametimba Ikulu na hii ni mara ya pili. Leo Prof Lipumba ametimba Ikulu na hii ni mara ya pili. Leo mh Mbatia katimba Ikulu. Mzee Lowassa akiwa...
  11. Erythrocyte

    Vurugu: Mkutano wa Mbowe wavamiwa Hai, Green Guard na OCD wahusishwa

    Lengo kuu ni Chadema ijibu mapigo ili wapate kisingizio cha kuzuia Mikutano ya Mbowe inayoendelea . ====== Hai. Mkutano wa Mbunge wa Hai (Chadema) mkoani Kilimanjaro, Freeman Mbowe uliokuwa ukifanyika katika kijiji cha Kikafu Chini, Kata ya Weruweru umevurugwa baada ya kuibuka kikundi cha...
  12. M-mbabe

    Rais Magufuli aitikia wito wa maridhiano wa Mbowe, leo akutana na viongozi waandamizi wa vyama pinzani

    Ni dhahiri kuwa Mbowe na Chadema wamezichanga na kuzicheza karata zao vyema sana. Kitendo cha Mbowe kutamka hadharani umuhimu wa maridhiano kati ya serekali na wapinzani kililenga ku draw attention ya sympathizers wa mustakabali wa mwenendo wa kisiasa na utawala bora hapa nchini. Sympathizers...
  13. Erythrocyte

    Mh Mbowe aendelea kuchanja mbuga Hai

    Leo ile kazi iliyotukuka inaendelea tena Wote mnakaribishwa .
  14. J

    Siyo mzee Mangula tu hata Mbowe aliwahi kuanguka baada ya kufanya kazi kwa muda mrefu akalazwa hapo hapo Muhimbili

    Ni katika kuweka kumbukumbu sawa tu. Mwenyekiti wa CHADEMA aliwahi kuishiwa nguvu na kulegea ghafla hali iliyosababisha wasaidizi wake wamkimbize Hospitali ya Taifa Muhimbili. Taarifa ya madaktari ilieleza baadae kuwa hali hiyo ilisababishwa na uchovu baada ya Freeman kuwa amefanya kazi kwa...
  15. Erythrocyte

    Mbowe kutikisa Viwanja vya Kware Jumapili hii

    Habari ndio kama mnavyoiona
  16. Erythrocyte

    Picha: Mbowe alipokuwa anaingia viwanja vya Bomang'ombe - Ardhi yatikisika, Umati ni mkubwa kuliko maelezo!

    Wakuu wakati mwingine tunaandika humu JF hadi tunashindwa kueleza , Kiukweli haya mambo sometimes hayaelezeki . Tunaomba radhi sana kwa tunaowakwaza kwa habari zetu hizi motomoro za Mbowe na Chadema , hatuwezi kuficha , maana kuna msemo wa kiswahili unasena hivi , Kizuri kula na nduguyo
  17. Erythrocyte

    Mh Mbowe kuendelea na mikutano yake Jimbo la Hai

    Polisi wanapaswa kuzoea hali hii , maana ndio kwanza kumekucha Wote Mnakaribishwa
  18. Erythrocyte

    Unyama : Waandishi wa Habari wanusurika kuuawa na polisi kwenye sakata la kumkamata Mbowe , Wapelekwa Hospitali ya wilaya

    Bado haijafahamika kama wamepigwa risasi na askari walioagizwa kuua na Mkuu wa Wilaya , Mwandishi wa Mwananchi Janeth Joseph na Elia Peter wa global Tv ndio walioathirika zaidi Wanatuhumiwa kupiga picha tukio baya lililopangwa la kummaliza Mbowe Shukrani za Pekee ziwafikie walinzi wa Mbowe...
  19. Alexandry Nemesi

    Mbowe mbaroni akidaiwa kutoa maneno yanayoashiria uchochezi, kuamsha hisia na chuki dhidi ya Serikali na Polisi. Aachiwa kwa dhamana

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mh.Freeman Mbowe amekamatwa na Jeshi la Polisi Wilayani Hai mara baada ya kumaliza kuhutubia Mkutano wa hadhani Jimboni Hai Leo. Sababu ya kukamtwa kwake bado haijajulikana. ====== CHADEMA imesema Mwenyekiti wake na Mbunge wa Jimbo la Hai, Freeman Mbowe amekamatwa na...
  20. Erythrocyte

    Video : Kamanda Mbowe alipowasili kwenye Mkutano Hai

    Hii hapa, Mengine yanakuja, usiondoke JF
Back
Top Bottom