Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Wakati Zimbabwe wanatafuta uhuru, kikwazo kikubwa kwao ilikuwa ni serikali ya Uingereza iliyokuwa inampa support Smith. Katika harakati hizo, Zimbabwe walifundishwa kupambana na Waingereza ili wafanikiwe uhuru wao.
Morgan alipokuwa anapambana na Mugabe akafanya kosa la kutafuta msaada toka Uingereza. Pamoja na kumchoka Mugabe, Morgan hakuonekana kuwa mtu sahihi wa kushika nafasi hiyo. Bahati mbaya hata SADC waliona ni upuuzi tu!
Tunao akina Zitto, Lissu na Mbowe. Huu ni mwaka wa uchaguzi ndo wanachachamaa kuzunguka Ulaya na US wakiomba msaada na kuishitaki serikali wanayoiita ni ya CCM.
Je, kweli wanaamini wananchi wanafurahia sana kusikia mtu anataka kutawala kwa msaada wa US na Ulaya?
Naweza kusema huo ni ujuha. Kwa ufahamu wa leo, huwezi saidiwa na US kutawala nchi baadaye US ikuachie bila kuivuna nchi inavyotaka.
Morgan alipokuwa anapambana na Mugabe akafanya kosa la kutafuta msaada toka Uingereza. Pamoja na kumchoka Mugabe, Morgan hakuonekana kuwa mtu sahihi wa kushika nafasi hiyo. Bahati mbaya hata SADC waliona ni upuuzi tu!
Tunao akina Zitto, Lissu na Mbowe. Huu ni mwaka wa uchaguzi ndo wanachachamaa kuzunguka Ulaya na US wakiomba msaada na kuishitaki serikali wanayoiita ni ya CCM.
Je, kweli wanaamini wananchi wanafurahia sana kusikia mtu anataka kutawala kwa msaada wa US na Ulaya?
Naweza kusema huo ni ujuha. Kwa ufahamu wa leo, huwezi saidiwa na US kutawala nchi baadaye US ikuachie bila kuivuna nchi inavyotaka.