Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema kuwa mara kwa mara nafasi ya upinzani kuuliza swali la kwanza kwa Waziri Mkuu inapotea kutokana na kiongozi wa kambi hiyo kuwa mtoro.
Spika ametoa kauli hiyo leo Bungeni Jijini Dodoma katika kipindi cha Maswali kwa Waziri Mkuu maarufu kama maswali...
Mwenyekiti wa vijana wa Chadema (BAVICHA) ndugu Ole Sosopi amesema anashangaa Serikali imemkomalia Mbowe tu kuandaa uchaguzi wa mwenyekiti mpya wa Chadema..amehoji yafuatayo;
Je, mbona chama cha Cuf mwenyekiti wake ni Lipumba ana miaka dahari yuko pale??
Je, mbona NCCR mwenyekiti wake...
Katibu Mkuu wa CHADEMA aliutangazia umma wa watanzania kuwa walihairisha mchakato wa uchaguzi ndani ya Chama chao juu ya sababu mbalimbali na aliahidi mchakato huo ungefanyika mwezi juni 2019 badala ya Desemba 2018.
Hadi ninapoandika thread hii mchakato wa uchaguzi ndani ya Chadema...
Ndugu zangu,
Nimefanya utafiti nikagundua CHADEMA wako vema kwenye eneo la propaganda mitandaoni na kulimbikiza madaraka makao makuu ya ufipa.
Mchawi Mkuu wa Chadema ni Kukosekana kwa taasisi, oganaizesheni na ugatuzi wa madaraka Mikoani na Wilayani. Basil Lema ambaye ni katibu wa CHADEMA...
MWENYEKITI Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amedai mahakamani siku ya tukio hakushiriki na hakuwapo kwenye maandamano ya wafuasi wa chama hicho waliokuwa wakielekea kwenye ofisi za msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Kinondoni.
Mbowe anaendelea siku ya pili na...
Katika hili swala la ukomavu wa kisiasa kiukweli Mbowe namsifu, hutamsikia akiisema vibaya serikali kwa utaratibu wa hovyo hovyo.
Kuna wakati huwa najiuliza kama yule Boss wa ACT wazalendo angekuwa ndio KUB sijui hali ingekuwaje?
Maana huwa anaongea lolote, popote tena bila utaratibu...
Mosi, hakuna Tume huru ya uchaguzi
Pili, uchaguzi wa madiwani unasimamiwa na makada wa CCM
Tatu, matumizi ya ruzuku kwa vyama vya upinzani hayaeleweki
Nne, vyama vya upinzani havifanyi uchaguzi wa viongozi wao mfano Wenyeviti ni kama wa kudumu.
Tano, ukiwa mbunge ni lazima kuchangia fedha za...
Mahakama Kuu Masijala ya Dar es Salaam leo Alhamisi Machi 7, 2019 inatarajiwa kutoa hukumu kwenye maombi ya rufaa yaliyowasilishwa mahakamani hapo na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa (Mb) na Esther Matiko (Mb) wakipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwafutia dhamana kwenye kesi na...
Watanzania tutazame picha linalolechezwa la kuumalizia mbali upinzani. Ukiangalia wafuatao wamejiuzulu uanachama wao bila sababu mujarabu na chaguzi za wabunge na madiwani zimerudiwa. Akina Mwita Waitara wa jimbo la Ukonga, mbunge wa Monduli, mbunge wa Kinondoni, mbunge wa Liwale.
Hii inatupa...
Sioni sababu yoyote kwa Kubenea au gazeti lake la Mwanahalisi kuzusha habari hii. On top of that, ukweli kwamba Mbowe na viongozi wengine wa ngazi za juu Chadema wamepuuzia ishu ya "kupotea" kwa Ben, makes even more sense.
======
UTATA kuhusu kutoonekana kwa Bernard Saanane, msaidizi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.