mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
View attachment 1329964View attachment 1329964
Binafsi nimekua mfuasi mkubwa wa mwanaharakati na mtumishi na mmiliki wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Bembeleza kutoka Arusha bi.
Irene Mbowe.Jana kwa mshtuko mkubwa nimepokea habari za kufariki ghafla kwa mumewe bw.
Sebastian Malya maarufu kama baba Neema au Ice Kyubu.Mpaka sasa familia haijatoa tamko lolote ila kupitia watu wa karibu yao wamepost kuhusu msiba huo. Pole sana dada Irene.Kila nafsi itaonja maiti.Apumzike kwa amani marehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nimekua mfuasi mkubwa wa mwanaharakati na mtumishi na mmiliki wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Bembeleza kutoka Arusha bi.
Irene Mbowe.Jana kwa mshtuko mkubwa nimepokea habari za kufariki ghafla kwa mumewe bw.
Sebastian Malya maarufu kama baba Neema au Ice Kyubu.Mpaka sasa familia haijatoa tamko lolote ila kupitia watu wa karibu yao wamepost kuhusu msiba huo. Pole sana dada Irene.Kila nafsi itaonja maiti.Apumzike kwa amani marehemu.
Sent using Jamii Forums mobile app