Wasalaam,
Jamani hali ya maisha imekua ngumu, kila kukicha mikosi.
Kila dili linafeli, ukiwa na shida marafiki wanakimbia, ukiomba msaada wanadhani unawakejeli hawakupi.
Ukiwaza kuroga upate pesa za ndago roho inasita maana umelelewa katika ukristo mpaka ndani ya moyo wako.
Nikijipa moyo...