Ulianzaje kujipanga na maisha ya ndoa ukiwa katika kipindi cha uchumba?

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Bila kupoteza muda kama kichwa cha habari kinavyosema ulianzaje kujipanga na maisha kabla ya kuingia kwenye ndoa ukiwa katika kipindi cha uchumba.

Hebu tupeane mawazo wenzetu mliioowa mlianzaje kujiandaa na kujipanga kabla ya ndoa.

1621575661107.png

 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom