The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,333
- 4,152
Habarini za jioni wana jamvi.
Kuna binti tumefahamiana miaka miwili iliopita, ni dada ambae tunakaa sehemu moja.
Aliniomba urafiki kwa kuwa alikuwa ananijuaa lakini mie sikuwa namjuaa kwakuwa kwao ni geti kali kidogo na ni mtu wa kushinda dukani.
Maisha yakaendelea baada ya kumkubalia ombi lake, tukafahamiana vizuri , stories za maisha na kujuliana hali zikaendeleaa.
Kwa kipindi hicho chote sikuwahi kumtamkiaa kuwa nampenda na ofcoz sikuwa namhitaji japo ye anasema ni sealed , hii alinambia katika piga piga story kama unavojua jinsia mbili mkikutana mkashibana basi story kama hizi hazikosi.
Inshort dogo anavosema hana mtu anae date nae na kweli ukiangalia routines zake, ni mtu wa dukani, kanisani na home tu.
Siku za hivi karibuni nimekuwa nikimgusia kuhusu suala la mahusiano lakini ameonekana anapinga na sababu kuu anayoniambiaa nikuwa siwezi oana na msomi mie , nyie wasomi mnadharau na mbaya zaidi kanambiaa sikupendi though tulikuwa tunaongeaa katika joking. LAKINI point yake kubwa hawezi oana na mwanachuo kwasababu.
1.ni waongo sana.
2.wanajidai sana, kwaio bora atafutee ambae hajasoma mwenzake
Elimu yake ni std 7 but anaakili sana za maisha na business.
Nyingine pia, jana hiyo , kuna dada namfahamu anafanya kazi sehemu fulani ni form 4 graduate wa 2018 ,nikamgusia habari za mchumba wake akasema ye hana , nkamuuliza vipi nikutafutiee huku chuoni akanambiaa HAPANA wanachuo ni waongo na hatuna time na watu tuliowaacha mtaaani.
Vilpi ndugu yangu, ushawai kataliwa au kataa mtu kwakuwa ye ni msomi au mwanachuo ??? Kama ndio ulipewa au ulitoa kisingizio gani.
Kuna binti tumefahamiana miaka miwili iliopita, ni dada ambae tunakaa sehemu moja.
Aliniomba urafiki kwa kuwa alikuwa ananijuaa lakini mie sikuwa namjuaa kwakuwa kwao ni geti kali kidogo na ni mtu wa kushinda dukani.
Maisha yakaendelea baada ya kumkubalia ombi lake, tukafahamiana vizuri , stories za maisha na kujuliana hali zikaendeleaa.
Kwa kipindi hicho chote sikuwahi kumtamkiaa kuwa nampenda na ofcoz sikuwa namhitaji japo ye anasema ni sealed , hii alinambia katika piga piga story kama unavojua jinsia mbili mkikutana mkashibana basi story kama hizi hazikosi.
Inshort dogo anavosema hana mtu anae date nae na kweli ukiangalia routines zake, ni mtu wa dukani, kanisani na home tu.
Siku za hivi karibuni nimekuwa nikimgusia kuhusu suala la mahusiano lakini ameonekana anapinga na sababu kuu anayoniambiaa nikuwa siwezi oana na msomi mie , nyie wasomi mnadharau na mbaya zaidi kanambiaa sikupendi though tulikuwa tunaongeaa katika joking. LAKINI point yake kubwa hawezi oana na mwanachuo kwasababu.
1.ni waongo sana.
2.wanajidai sana, kwaio bora atafutee ambae hajasoma mwenzake
Elimu yake ni std 7 but anaakili sana za maisha na business.
Nyingine pia, jana hiyo , kuna dada namfahamu anafanya kazi sehemu fulani ni form 4 graduate wa 2018 ,nikamgusia habari za mchumba wake akasema ye hana , nkamuuliza vipi nikutafutiee huku chuoni akanambiaa HAPANA wanachuo ni waongo na hatuna time na watu tuliowaacha mtaaani.
Vilpi ndugu yangu, ushawai kataliwa au kataa mtu kwakuwa ye ni msomi au mwanachuo ??? Kama ndio ulipewa au ulitoa kisingizio gani.