kuhusu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. W

    SI KWELI ICC itatoa hukumu mwezi huu January 2026, kuhusu mauaji yaliyotokea Oktoba, 2025

    Wakuu nimekutana na Taarifa huko mtandaoni inayoeleza kuwa; "=AZYgKkVELthfF2or8cz9hZgtDA2u2RiBdMfdI8maVSNICA04cSYXXbdXRplfrWQvl_7jXQwbtQeqJ-AHtoRziO5eE5VYJ6t4oaVOH482QFJ6S9hWcWKyFVkANFBRfLwvaufqlpK135He2ochFj0XJkUCngvoo0g2yoYg_jBY6fBEDX62nxo0jsmwKYNFNTfLS8Y1EhB4LKO4uYtMX6BoU9IN&tn=*NK-R']#Kesi...
  2. Roving Journalist

    Responded ‎Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma yatoa ufafanuzi kuhusu video ya uchakavu wa vyoo Shule ya Msingi Muhamani

    ‎‎Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma imetoa ufafanuzi rasmi kufuatia video inayosambazwa kwenye mtandao wa kijamii wa Jamii Forums ikionyesha madai ya uchakavu wa vyoo katika Shule ya Msingi Muhamani iliyopo Kata ya Simbo. ‎ ‎Akizungumza kuhusu suala hilo Kaimu Afisa Elimu Awali na Msingi...
  3. Yoyo Zhou

    China na Kenya zafikia makubaliano kuhusu biashara

    Wizari ya Uwekezaji, Biashara na Viwanda ya Kenya hivi karibuni ilitangaza kuwa, nchi hiyo na China zimefikia makubaliano ya awali ya biashara, ambapo China itasamehe ushuru wa asilimia 98.2 ya bidhaa za Kenya. Waziri wa wizara hiyo Lee Kinyanjui, ameyataja makubaliano hayo kama “zawadi ya...
  4. M

    Haya maneno yanayosambaa kuhusu Group O+ yana ukweli au ni tabia ya mtu ?

    hawapendi mgeni akae muda mrefu hawapendi kukaa ugenini wana marafiki wachache sana au hawana hupenda kujifungia hawapendi kuona mtu anaonewa mbele yao wanaogopa sana mikopo mikubwa, hawapendi kelele za kudaiwa
  5. E

    Dokezo kuhusu Dini ya Uislam

    Dokezo kuhusu Dini ya Uislam Kumekuwa na watu wengi kuupinga uislam kwa nguvu zote ila nasema hili na najua wengi litawafikia "mara Mia ufanye mambo yako kuliko kuingilia mambo ya dini ya kiislam na mbaya hauna uhakika wa chochote mnachosema sasa basi we nyamazenu tuuu msirundike maneno...
  6. itscowboy98

    Ushauri kuhusu Aftermarket Accessories (Dashboard & Android TV) kwa BMW 3 series za miaka ya nyuma.

    Habari za mda Wana jukwaa, Naomba tupeane madini /maoni, hasa kwa wajuzi na Wamiliki wa BMW 3 series sedan (hasa za kuanzia 2011 kurudi nyuma). Kumekuwa na trend ya kufunga aftermarket Accessories kama...
  7. DuaZaMama

    Mchungaji Mwakipesile amkosoa Butiku kuhusu sakata la Polepole 'Huaminiki'

    Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile amemshambulia kwa maneno Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mwalimu Nyerere Foundation, Mzee Joseph Butiku, akimtuhumu kuonesha chuki dhidi ya aliyekuwa Balozi Humphrey Polepole, ambaye hivi karibuni kumeripotiwa sintofahamu juu ya alipo. Mchungaji Mwakipesile...
  8. DuaZaMama

    Bakari Kazungu: Acheni kuwasingizia Heche na Mnyika kuhusu mauaji ya Ali Kibao

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutoka mkoani Tanga, Kazungu Bakari Kazungu, amewatolea uvivu vijana wanaojiita wanaharakati, Joseph Yona na Ahmed Kombo, kufuatia tuhuma zao nzito dhidi ya viongozi wa CHADEMA, akisema kuwa kauli zao hazikidhalilishi tu chama tawala bali pia zinaumiza familia...
  9. R

    Trump: Sijali kuhusu tuzo ya amani Nobel, najali kuokoa maisha, nimesitisha vita nchi zilizokuwa na mgogoro

    "Sijali kuhusu tuzo ya amani ya nobel peace prize, ni mwananmke tu mzuri aliyejali kwamba nastahili kupewa tuzo hiyo na nashukuru kwa hilo. Mtu yeyote anayefikiri Norway haina mamlaka juu ya tuzo ya Nobel peace prize anajidanganya, Sijali kuhusu Norway wala jambo hilo, najali kuokoa maisha na...
  10. Masai wa Town

    Naomba Kufahamishwa Kuhusu Nyaraka Tano Za NSSF

    Naomba kufahamu je, zile nyaraka tano( barua ya kuachishwa, certificate of service na copy ya NSSF ID card)za kuambatanisha kwenye maombi ya mafao ni lazima ziwe na muhuri wa mwanasheria(kuwa certified)!?
  11. falcon Q

    Msaada kuhusu kipimo cha colonoscopy

    Wakuu habari za weekend. Naomba maelezo kwa huduma ya kipimo cha colonoscopy kama ifuatavyo 1. Hospital gani hutoa huduma hii kwa hapa dar es salaam hosp binafsi au umma 2. Bei zake zikoje 3. Huchukua muda gani kupata majibu. Muwe na weekend njema
  12. stabilityman

    Natoa hapa ushauri kuhusu misumari ya bati

    📌 𝐔𝐬𝐡𝐚𝐮𝐫𝐢 𝐰𝐚 𝐊𝐢𝐭𝐚𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮: 𝟏️⃣ 𝐔𝐤𝐢𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐦𝐢𝐠𝐨𝐧𝐠𝐨 𝐦𝐢𝐩𝐚𝐧𝐚 𝐚𝐮 𝐦𝐚𝐛𝐚𝐭𝐢 𝐲𝐚 𝐦𝐟𝐚𝐧𝐨 𝐰𝐚 𝐤𝐢𝐠𝐚𝐞, 👉 𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐦𝐢𝐬𝐮𝐦𝐚𝐫𝐢 𝐲𝐚 𝐭𝐫𝐞𝐝𝐢 (𝐢𝐧𝐚𝐳𝐮𝐢𝐚 𝐤𝐮𝐯𝐮𝐣𝐚 𝐧𝐚 𝐡𝐮𝐬𝐡𝐢𝐤𝐢𝐥𝐢𝐚 𝐯𝐢𝐳𝐮𝐫𝐢). 𝟐️⃣ 𝐔𝐤𝐢𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐦𝐢𝐠𝐨𝐧𝐠𝐨 𝐦𝐢𝐝𝐨𝐠𝐨, 👉 𝐭𝐮𝐦𝐢𝐚 𝐦𝐢𝐬𝐮𝐦𝐚𝐫𝐢 𝐢𝐬𝐢𝐲𝐨 𝐲𝐚 𝐭𝐫𝐞𝐝𝐢 𝐤𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐭𝐨𝐤𝐞𝐨 𝐛𝐨𝐫𝐚. fundi kupaua 0 7 4 3 2 5 7 6 6 9 kama unataka mbao Za dawa nipigie...
  13. K

    Mwekezaji na Mbunge wamliza bibi ni kuhusu ghorofa lililopo Kariakoo, aomba Serikali Kuu imsaidie apate haki yake

    BIBI kikongwe Khadija Isihaka (84), amemwangukia Rais Samia Suluhu Hassan,akimsihi aingilie kati mgogoro wake na mwekezaji Munir Harbesh, anayelalamikiwa kuvunja mkataba wao wa kumiliki jengo la ghorofa kwa ubia. Bibi Khadija anasema wakati akihangaika kusaka haki yake kwenye uwekezaji huo wa...
  14. Imani rubaba

    Somo letu leo kuhusu mpango biashara kwa wakulima na wafugaji

    Leo tunaendelea rasmi na somo la Uandaaji wa Mpango Biashara (Business Plan) kwa wafugaji na wakulima Hili ni somo muhimu sana kwa yeyote anayefanya au anayepanga kuanza kilimo na ufugaji wa kibiashara. Tutajifunza kwa kina: 1. Business Plan ni nini na kwa nini ni muhimu. Jinsi ya kuandaa...
  15. A

    Je unajua siri hii kuhusu mafanikio

    Siri ya mafanikio yako ni maamuzi tu basi usidanganywe sijui connection. Sijui freemason sijui nini. Hayo yote yanatokea baada ya kuchukua maamuzi tu. Wewe jaribu kuchukua maamuzi kwa kile unachokifikiria katika kichwa chako uone kama hizo connection na mengine hayotokufuata yenyewe. Asanteni...
  16. Bei rahisi Electronicks

    Uliza chochote kuhusu Passport na Namba ya NIDA

    PASSPORT NINI Ni hati rasmi ya kusafiria inayotolewa na serikali ya nchi, ambayo hutumika kuthibitisha utambulisho na uraia wa mtu, ikimruhusu kusafiri kimataifa na kuingia/kurudi nchini kwake, ikifanya iwe chombo muhimu cha kuvuka mipaka na kuomba ulinzi wa kibalozi nje ya nchi. Vigezo &...
  17. Hance Mtanashati

    Kwa nini maombi yetu kuhusu mkubwa fella hayajibiwi?

    Watanzania tuna kesha na kuomba. Ila kwa nini maombi yetu kuhusu mkubwa fella hayajibiwi? I wish..............
  18. Beberu Mwitu

    Ushauri kuhusu kituo kizuri cha kujiandaa kurudia mtihani wa Kidato cha Sita

    Natumaini kila mmoja wetu hapa yupo na siku nzuri kabisa; Nimekuja kwenu asubuhi hii ili kuomba ushauri wa mambo ya kielimu; hasa kurudia mtihani wa kidato cha sita. Kitaaluma mimi ni mwalimu wa ngazi ya cheti, pia nilisoma kidato cha sita mwaka 2014 mchepuo wa PCM. Sikufanya vema...
  19. Superbug

    Je ukiitoa JamiiForums kuna media yoyote ya ndani imeripoti kuhusu tuzo ya tyrant of the Year?

    Najiuliza kwanini hii tuzo adhimu haijatangazwa na media za ndani? Be it tabloids au tv stations naomba kujua au wameogopa?
  20. co fm

    Ushauri kuhusu huyu mdogo wangu mkopo wa milion 100

    Hello wadau, poleni sana na majukumu ya kulijenga taifa. Ipo hivi mimi nina mdogo wangu mwaka jana alipata mchongo kwenye taasisi moja hivi na wanamlipa vizuri sana like 4m kwa mwezi na tena bado ni mdogo sana ni miaka 26 tu. Juzi kaja home nikawa namuulizia habari za kazi akawa anipa stories...
Back
Top Bottom