Mwafrika mmoja
Senior Member
- Mar 15, 2019
- 104
- 234
Katika Dunia hii ambayo wote tumezaliwa tumekuja hatuna hata soksi, kila kitu tumekikuta basi tambua kuwa hakuna kitu HAKIWEZEKANI.
Mitandao hii hii ambayo tunatumia kila siku.
Kuna watu ndiyo inawaendeshea maisha. Kuna watu wamejenga, wamenunua magari, kuna ambao hawataki kuajiriwa.
Iko Hivi !!!
Mimi nilikuwa kama wewe,
Nilikuwa naona tu watu wanasema mitandao inalipa, ila sijui wanafanyaje. Lakini siku moja nikasema nataka kujua inakuwaje ndipo nilipoamua kuchukua hatua.
Nikajifunza skills na nikafungua akaunti nikasema siachi mpaka namimi nipate pesa kama wao.
2022 nilifungua akaunti yangu ya kwanza, hapo katikati nilikata tamaa nikarudi tena mpaka nilipoanza kuingiza kipato. Sijapata kingi kama hao wakubwa lakini ninayo stori ya kushare jinsi nilivyopata $6100 ili uone kwamba inawezekana.
Kitu ninachoweza kukwambia leo ni kwamba usikate tamaa, usiogope na huu siyo utapeli. Anza sasa, jifunze na uingie kwenye mchezo na mimi niko tayari kukusaidia.
Karibu !
Mitandao hii hii ambayo tunatumia kila siku.
Kuna watu ndiyo inawaendeshea maisha. Kuna watu wamejenga, wamenunua magari, kuna ambao hawataki kuajiriwa.
Iko Hivi !!!
Mimi nilikuwa kama wewe,
Nilikuwa naona tu watu wanasema mitandao inalipa, ila sijui wanafanyaje. Lakini siku moja nikasema nataka kujua inakuwaje ndipo nilipoamua kuchukua hatua.
Nikajifunza skills na nikafungua akaunti nikasema siachi mpaka namimi nipate pesa kama wao.
2022 nilifungua akaunti yangu ya kwanza, hapo katikati nilikata tamaa nikarudi tena mpaka nilipoanza kuingiza kipato. Sijapata kingi kama hao wakubwa lakini ninayo stori ya kushare jinsi nilivyopata $6100 ili uone kwamba inawezekana.
Kitu ninachoweza kukwambia leo ni kwamba usikate tamaa, usiogope na huu siyo utapeli. Anza sasa, jifunze na uingie kwenye mchezo na mimi niko tayari kukusaidia.
Karibu !