Ukweli wa Muswada wa Marekani kuhusu Tanzania Wazi!

Ukweli wa Muswada wa Marekani kuhusu Tanzania Wazi!

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
479
Reaction score
474
Upotoshaji wa akina Maria Sarungi, Liberatus, na wenzao (Misinformation from commercial activist).

Leo Maria Sarungi na genge lake wameibuka na upotoshaji kuwa mswada kuhusu Tanzania unaotarajiwa kuwasilishwa katika Bunge la Seneti la Marekani Juni 17 mwaka huu haujafanyiwa marekebisho.

Ukweli ni kwamba, kama ambavyo viambatanisho kadhaa vitathibitisha, mabadiliko yamefanyika. Tafsiri ya mabadiliko haya ni kwamba Marekani, kinyume cha matarajio ya maadui wa Tanzania (akina Maria), imeonesha kuwa haina nia ya kuitenga Tanzania bali inataka kuendelea kushirikiana nayo kwa maslahi ya pamoja.

Viambatanisho vya kilichofanyika na ulinganisho kati ya mswada wa awali na wa sasa ni kama ifuatavyo:
KUONDOA ZUIO (WAIVER) Katika muswada wa awali, hakukuwa na kipengele hiki cha kuondoa zuio.

Muswada wa sasa unairuhusu Serikali ya Marekani kuondoa mazuio yoyote yanayoweza kuwekwa dhidi ya watu binafsi au Serikali ya Tanzania, pale ambapo kufanya hivyo kunalinda maslahi ya Marekani. Hii maana yake ni kwamba mambo yote yako mezani, yanazungumzika.

20260612_225054.jpg
20260612_225054.jpg
20260612_225059.jpg
20260612_225104.jpg
20260612_225112.jpg
 
Ulivyo lijinga hata dawa ya bawasiri tu unategemea nchi za wateka meri na bukavu ya kongo.kesho usishangae rwanda kukusaidia.Pambana na rasilimali kuwezesha nchi na watu wako.Unaenda kupambana na mataifa internet yao,email yao,utabiri wa kinyeo chako kuwa una kipindu pindu wao,mitumba wao,choo msaada wao.Haya urusi aje kuboresha urojo uwe mtamu kwa kutumia nyukria
 
Upotoshaji wa akina Maria Sarungi, Liberatus, na wenzao (Misinformation from commercial activist).

Leo Maria Sarungi na genge lake wameibuka na upotoshaji kuwa mswada kuhusu Tanzania unaotarajiwa kuwasilishwa katika Bunge la Seneti la Marekani Juni 17 mwaka huu haujafanyiwa marekebisho.

Ukweli ni kwamba, kama ambavyo viambatanisho kadhaa vitathibitisha, mabadiliko yamefanyika. Tafsiri ya mabadiliko haya ni kwamba Marekani, kinyume cha matarajio ya maadui wa Tanzania (akina Maria), imeonesha kuwa haina nia ya kuitenga Tanzania bali inataka kuendelea kushirikiana nayo kwa maslahi ya pamoja.

Viambatanisho vya kilichofanyika na ulinganisho kati ya mswada wa awali na wa sasa ni kama ifuatavyo:
KUONDOA ZUIO (WAIVER) Katika muswada wa awali, hakukuwa na kipengele hiki cha kuondoa zuio.

Muswada wa sasa unairuhusu Serikali ya Marekani kuondoa mazuio yoyote yanayoweza kuwekwa dhidi ya watu binafsi au Serikali ya Tanzania, pale ambapo kufanya hivyo kunalinda maslahi ya Marekani. Hii maana yake ni kwamba mambo yote yako mezani, yanazungumzika.

View attachment 3606557View attachment 3606558View attachment 3606559View attachment 3606560View attachment 3606561

..mswada bado ni mzuri kwa wanaharakati wanaopigania haki za Watanzania.

..Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani akiona kuna ulazima wa kupunguza kibano atalazimika kuitaarifu kamati ya Bunge la Marekani inayohusika na mswada huo.

..pia mswada umejielekeza ktk kuhakikisha vikwazo havituathiri wananchi wa kawaida bali vinawapiga maofisa wa serikali wanaohusika na uminywaji wa HAKI.
 
Mleta mada ni mwendawazimu! Ni sawa na mtu ambaye ana ndugu yake jambazi. Jambazi limehukumiwa kuuawa kwa kupigwa risasi, halafu baadaye anabadilishiwa namna ya kuuawa, kuwa auawe kwa kunyongwa kwa kamba, halafu jitu lisilo na akili linatoka na kushamgilia kuwa ndugu yake amebadilishiwa namna ya kuuawa!!
Zak, Choicevariable, ni mental problem cases.
 
Upotoshaji wa akina Maria Sarungi, Liberatus, na wenzao (Misinformation from commercial activist).

Leo Maria Sarungi na genge lake wameibuka na upotoshaji kuwa mswada kuhusu Tanzania unaotarajiwa kuwasilishwa katika Bunge la Seneti la Marekani Juni 17 mwaka huu haujafanyiwa marekebisho.

Ukweli ni kwamba, kama ambavyo viambatanisho kadhaa vitathibitisha, mabadiliko yamefanyika. Tafsiri ya mabadiliko haya ni kwamba Marekani, kinyume cha matarajio ya maadui wa Tanzania (akina Maria), imeonesha kuwa haina nia ya kuitenga Tanzania bali inataka kuendelea kushirikiana nayo kwa maslahi ya pamoja.

Viambatanisho vya kilichofanyika na ulinganisho kati ya mswada wa awali na wa sasa ni kama ifuatavyo:
KUONDOA ZUIO (WAIVER) Katika muswada wa awali, hakukuwa na kipengele hiki cha kuondoa zuio.

Muswada wa sasa unairuhusu Serikali ya Marekani kuondoa mazuio yoyote yanayoweza kuwekwa dhidi ya watu binafsi au Serikali ya Tanzania, pale ambapo kufanya hivyo kunalinda maslahi ya Marekani. Hii maana yake ni kwamba mambo yote yako mezani, yanazungumzika.

View attachment 3606557View attachment 3606558View attachment 3606559View attachment 3606560View attachment 3606561
Mkuu yote kwa yote,ukiachana na hao kina Maria Sarungi, Mpaka wafikie huko Hawa Marekani,Hua kuwa kunatatizo la Nchi yetu!Kwa nini watuhadili?
 
Ulivyo lijinga hata dawa ya bawasiri tu unategemea nchi za wateka meri na bukavu ya kongo.kesho usishangae rwanda kukusaidia.Pambana na rasilimali kuwezesha nchi na watu wako.Unaenda kupambana na mataifa internet yao,email yao,utabiri wa kinyeo chako kuwa una kipindu pindu wao,mitumba wao,choo msaada wao.Haya urusi aje kuboresha urojo uwe mtamu kwa kutumia nyukria
Sasa why hata wewe unashabikia wamarekani
 
Upotoshaji wa akina Maria Sarungi, Liberatus, na wenzao (Misinformation from commercial activist).

Leo Maria Sarungi na genge lake wameibuka na upotoshaji kuwa mswada kuhusu Tanzania unaotarajiwa kuwasilishwa katika Bunge la Seneti la Marekani Juni 17 mwaka huu haujafanyiwa marekebisho.

Ukweli ni kwamba, kama ambavyo viambatanisho kadhaa vitathibitisha, mabadiliko yamefanyika. Tafsiri ya mabadiliko haya ni kwamba Marekani, kinyume cha matarajio ya maadui wa Tanzania (akina Maria), imeonesha kuwa haina nia ya kuitenga Tanzania bali inataka kuendelea kushirikiana nayo kwa maslahi ya pamoja.

Viambatanisho vya kilichofanyika na ulinganisho kati ya mswada wa awali na wa sasa ni kama ifuatavyo:
KUONDOA ZUIO (WAIVER) Katika muswada wa awali, hakukuwa na kipengele hiki cha kuondoa zuio.

Muswada wa sasa unairuhusu Serikali ya Marekani kuondoa mazuio yoyote yanayoweza kuwekwa dhidi ya watu binafsi au Serikali ya Tanzania, pale ambapo kufanya hivyo kunalinda maslahi ya Marekani. Hii maana yake ni kwamba mambo yote yako mezani, yanazungumzika.

View attachment 3606557View attachment 3606558View attachment 3606559View attachment 3606560View attachment 3606561
The fact kwamba kuna vikwazo kadhaa vinawekwa kwa sababu ya 29 October Massacre ni ishara ya kupoteza dira na muelekeo wa Tanzania.
Kwa sasa mtaona sawa tu... LAKINI deep down kwenye mustakabali wa nchi kuna ombwe kubwa sana!
 
..mswada bado ni mzuri kwa wanaharakati wanaopigania haki za Watanzania.

..Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani akiona kuna ulazima wa kupunguza kibano atalazimika kuitaarifu kamati ya Bunge la Marekani inayohusika na mswada huo.

..pia mswada umejielekeza ktk kuhakikisha vikwazo havituathiri wananchi wa kawaida bali vinawapiga maofisa wa serikali wanaohusika na uminywaji wa HAKI.
Asante
Umeeleza vizuri
Kwa CCM lugha ya Malkia ni ngumu sana
 
Muswada umeshaondoka Foreign Relations Committee ?

Amendments zimefanyika wapi ?
 
Back
Top Bottom