Je Taarifa Hii Iliyochapishwa na Jarida la Mambo ya Intelijensia Afrika Ina Ukweli Wowote Kuhusu Namba Samia na Nchimbi. Serikali Ikanushe

Je Taarifa Hii Iliyochapishwa na Jarida la Mambo ya Intelijensia Afrika Ina Ukweli Wowote Kuhusu Namba Samia na Nchimbi. Serikali Ikanushe

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
81,432
Reaction score
87,298
My Take
Jarida Maarufu la Habari za Intelijensia na Usalama Afrika "The African Report" limechapisha habari hii kuhusu Wakuu wetu.

Kama sio ukweli na chokochoko za kibeberu kutia chumvi basi ni vyema Serikali ikakanisha.

Mjumbe Hauwawi.

View: https://www.instagram.com/p/DZZ9qT-kVH3/?igsh=MXFmbDZ6ZnhkY2YzOQ==

===============
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, na Makamu wa Rais, Emmanuel Nchimbi, waliunda tiketi ya uchaguzi iliyomwezesha Samia kushinda na kupata muhula wa pili wa uongozi. Hata hivyo, baada ya mvutano ulioibuka kufuatia mauaji yaliyotokea baada ya uchaguzi pamoja na migogoro ndani ya kundi lenye ushawishi katika chama tawala, Makamu wa Rais huyo sasa anakabiliwa na hatari ya kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye.

 
Sijajua kama katiba yetu ina hayo mambo ya impeachment, mgombea umemchagua mwenyewe kama mgombea mwenza wako, iweje tena useme huna imani naye?! Ingekuwa ni serikali ya umoja wa kitaifa sawa sio hii ya chama kimoja.
 
Sijajua kama katiba yetu ina hayo mambo ya impeachment, mgombea umemchagua mwenyewe kama mgombea mwenza wako, iweje tena useme huna imani naye?! Ingekuwa ni serikali ya umoja wa kitaifa sawa sio hii ya chama kimoja.
Chombo chenye mamlaka ya kupiga kura kutokuwa na imani na viongozi wakuu wa ngazi tatu yaani Rais ,makamu wa rais na waziri mkuu ni bunge na sio Rais.
 
My Take
Mjumbe Hauwawi.
===============
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, na Makamu wa Rais, Emmanuel Nchimbi, waliunda tiketi ya uchaguzi iliyomwezesha Samia kushinda na kupata muhula wa pili wa uongozi. Hata hivyo, baada ya mvutano ulioibuka kufuatia mauaji yaliyotokea baada ya uchaguzi pamoja na migogoro ndani ya kundi lenye ushawishi katika chama tawala, Makamu wa Rais huyo sasa anakabiliwa na hatari ya kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye (impeachment).
poisoned plotting
Tanzania’s Samia and VP Nchimbi square off, rupturing the ruling party
Tanzania President Samia Suluhu and Vice President Emmanuel Nchimbi created the ticket that propelled her to a second term. But after tensions over the post-election killings and a fractious political party cabal, the number two is now facing a risk of impeachment.
By Honoré Banda
Tanzanian President Samia Suluhu Hassan (R) with the VP Emmanuel Nchimbi (L) at the electoral commission offices when she received her presidential candidacy papers in 2025.
Tanzanian President Samia Suluhu Hassan (R) with the VP Emmanuel Nchimbi (L) at the electoral commission offices when she received her presidential candidacy papers in 2025. © Tanzania State House
Published today at 11:32 am (GMT +1)

Vice President Emmanuel Nchimbi’s backing was critical to securing Samia Suluhu Hassan’s 2025 presidential ticket under the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. However, giving her a political lifeline came with a catch: guarantees that would lock in Nchimbi’s own presidential ambitions.

Investigation
Samia Suluhu Hassan
Tanzania
Politics
Politics news
Africa Insights
Wake up to the essential with our daily newsletter.

Politics news
Tanzania’s Samia and VP Nchimbi square off, rupturing the ruling party

© The Africa Report 2026, all rights reserved.

Hawa jamaa ni waongo na wazushi, msiwaamini sana.

P.
 
My Take
Mjumbe Hauwawi.
===============
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, na Makamu wa Rais, Emmanuel Nchimbi, waliunda tiketi ya uchaguzi iliyomwezesha Samia kushinda na kupata muhula wa pili wa uongozi. Hata hivyo, baada ya mvutano ulioibuka kufuatia mauaji yaliyotokea baada ya uchaguzi pamoja na migogoro ndani ya kundi lenye ushawishi katika chama tawala, Makamu wa Rais huyo sasa anakabiliwa na hatari ya kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye (impeachment).

Hiyo impeachmenti ni kwa bunge la Marekani? Tanzania hatuna hiyo kitu.
 
Sijajua kama katiba yetu ina hayo mambo ya impeachment, mgombea umemchagua mwenyewe kama mgombea mwenza wako, iweje tena useme huna imani naye?! Ingekuwa ni serikali ya umoja wa kitaifa sawa sio hii ya chama kimoja.
Ibara ya 50 (3) inaruhusu Makamu wa Rais kung'olewa. Rais atapeleka hoja kwa Spika akiona makamu kashindwa kutekeleza majukumu yake kisha bunge kupiga kura ya kukubali au kukataa. Ikitokea bunge limekataa hiyo hoja ya Rais itabidi isubiri miezi mingine 12 ndo ipelekwe tena bungeni.
 
Ibara ya 50 (3) inaruhusu Makamu wa Rais kung'olewa. Rais atapeleka hoja kwa Spika akiona makamu kashindwa kutekeleza majukumu yake kisha bunge kupiga kura ya kukubali au kukataa. Ikitokea bunge limekataa hiyo hoja ya Rais itabidi isubiri miezi mingine 12 ndo ipelekwe tena bungeni.
Hilo bunge la kukataa ndio halipo akipeleka imepita
 
duka lako liko mtaa wa gerezani
Screenshot_20260610-203218.png
 
Back
Top Bottom