kuendesha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. F

    Mtoto wa Gullam Dewji alikataa full scholarship ya kusoma MIT baada ya kuongoza shule IST mwaka 2007 sababu akafunzwe kuendesha biashara zao India

    Habari wadau. Wahindi wapo makini sana na biashara zao. Watoto wao wanasomeshwa kwa malengo yao tu. Mtoto wa kaka yake na Mo dewji ambaye anaitwa Gullam Dewji alikuwa kichwa kweli kweli katika shule ya kishua ya IST. Alipomaliza high school alifanya vizuri sana katika mtihani wake wa SAT na...
  2. H

    Nahisi Hii tozo inatumika kuendesha Klabu ya Singida Big Starz

    Tumeona usajili ambao Timu Hii imefanya, na sote tunajua gharama za kulipa mishahara wachezaji kaliba ya akina Kagere, Wawa, na mastaa wengine! Basi Jana usiku nikawaza kuwa Hii Timu ya Singida Big stars ni Sisi ndio tunaitunza kupitia hizi tozo.. Kwa wale mliosoma Cuba mmeelewa N.b tukoment...
  3. Kainetics

    Muongozo Kamili wa kuanzisha na kuendesha Youtube Channel

    Habari JamiiForums, natumai sote tu wazima. Wengi kwenye stage moja au nyingine washaingiwa na wazo la kuanzisha channel yao binafsi ya Youtube either kama hobbie au namna moja wapo ya kuingiza pesa. Kati ya wote ambao hupatwa na hili wazo, karibia asilimia 60% huendelea na kufungua channel...
  4. Lady Whistledown

    Waziri Mkuu Wa Zamani wa Australia ashutumiwa kwa Kuendesha Wizara 5 kwa Siri

    Waziri Mkuu wa sasa, Anthony Albanese anamshutumu Scott Morrison kushikilia majukumu katika Wizara 5 kwa siri, kinyume na Sheria za Nchi hiyo na kuelezea vitendo vya mtangulizi wake kama uvunjifu wa demokrasia Idara ya Waziri Mkuu na Baraza la Mawaziri imesema kuwa Morrison alikua Waziri mwenza...
  5. Tunzo

    Karia hana uwezo wa kuendesha soka, aondoke tu

    Nilimaanisha karia hana uwezo wa kuendesha soka Jamaa amekaa kihasira. Si kwa Haji tu, ila ana uwezo mdogo sana wa kuendesh soka, huyu aonde tu.
  6. The Sunk Cost Fallacy

    Baridi ya Njombe yahatarisha maisha, Dereva ashindwa kuendesha gari kutokana na Barafu

    Hii baridi ya mwaka huu ni noma Sana, 👇 ---- Ikiwa bado hali ya hewa ya baridi kuwa kali katika baadhi ya maeneo nchini ikiwemo Mkoa wa Njombe kupelekea shughuli za kiuchumu kuwa na ugumu katika utekelezwaji kutokana na wakazi wa maneno hayo kupunguza muda wa kufanya kazi kwa kutafuta vyanzo...
  7. I

    Wakili wa Sabaya aomba michango kwa ajili ya kuendesha kesi

    Hali ya kifedha ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai bwana Sabaya ni tete! Hii inatokana na Wakili wa Sabaya kuomba michango kutoka kwa wasamaria wema ili kuendesha na kumaliza kesi zote zinazomkabili.
  8. Lady Whistledown

    Jerry Silaa: Serikali iwe na Mfumo mmoja wa Kielektroniki wa kuendesha Shughuli zake

    Mbunge wa Ukonga akichangia bajeti ya Wizara ya Habari na Mawasiliano leo Bungeni, amesema licha ya Serikali kuwa na Kituo cha Taifa Cha Takwimu za Mtandao (NIDC) na Mamlaka ya Serikali ya Mtandao (eGA) ambayo inasimamia mifumo ya Tehama ya serikali bado nchi yetu haina Mfumo Mkuu wa Kanzidata...
  9. Z

    Je, inawezekana kujifunza pikipiki Kama hujui kuendesha baiskel?

    Wakuu Nina miaka 30 now skuwahi kujifunza baiskel Kama vijana wengine kwa sababu za kiumaskin nk. Naomba kuuliza je inawezekana kujifunza pikipiki bila kujua kuendesha baiskel? Kuna aliewahi jifunza pikipiki ile Hali hajui kuendesha baiskel? Huna haja ya kukejeli kuwa mpole
  10. Q

    Zanzibar: Viongozi wa ACT-Wazalendo ndani ya SUK hutumia Ilani ya CCM kuendesha serikali.

    Waziri wa Afya Nassor Mazrui (ACT-Wazalendo) akimkabidhi ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Riziki Pembe Juma (CCM) wakati wa makabidhiano ya ofisi. Awali Mazrui alikuwa waziri wa Afya Ustawi wa Jamii, Wazee, Jinsia na Watoto. ================...
  11. SACO

    USHAURI: Usithubutu kujamba kama unaumwa tumbo la kuendesha

    Yamenikuta tena ukweni kwa Wachaga ndio maana nawatahadharisha
  12. M

    Nahitaji kuendesha bajaji ya mkataba

    nahitaji bajaji ya mkataba wakuu... Nipo Tabora lakini nina uenyeji Dsm na ninaweza nikaja kufanyia kazi popote bajaji itakapo patikana. 0716611090
  13. mirindimo

    Zanzibar kuendesha gari ukitoka bara unalipa $10

    Kuendesha gari Zanzibar unahitaji kuwa na permit, unalipia 10$. Hii ni bila kujali wewe ni Mtanzania au la, we are all regarded as foreigners in this case. Hapa issue si hiyo $10 but how tuna tritiwa wote kama foreigner ? Hii imeshajitenga kama nchi peke yake na Tanganyika peke yake au ni kitu...
  14. Mtangoo

    Unatumia mfumo gani kuendesha biashara yako?

    Mwaka ndio unaelekea mwisho, na ni wakati wa kufanya majumuisho. Kuna mengi ya kuangalia, lakini kwa leo tuangalie mifumo. KWA WATUMIAJI WA MIFUMO 1. Umetumia mfumo gani 2021? 2. Experience yako imekuwaje mwaka huu 2021? 3. Unadhani mfumo husika umekidhi mahitaji yako na unataka kuendelea nao...
  15. Richard

    Ushauri kwa Rais Samia; Azingatie bodi mbili tofauti kuendesha TPA na napendekeza "two tier board of directors"

    Kwako Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan. Kwanza pole na majukumu makubwa ya kuongoza taifa hili, au nchi hii na bila shaka umethibitisha kwamba nchi hii ni ngumu. Moja ya mambo mazito yanoisumbua nchi hii ni uwajibikaji na baadhi ya wananchi kupenda kupata bila jasho au kupiga kama ambavyo...
  16. Lycaon pictus

    Tukitumia maexpert kutoka nje inaweza kusaidia kuendesha mashirika kama TAZARA?

    Zamani kuna historia kuwa Mobutu alipoona uchumi unaenda hovyo akaajili mbobezi kutoka Ulaya kuwa gavana wa benki kuu. Jamaa akaja na mipango mizuri sana ya kuokoa uchumi. lakini alikuta vikwazo kibao, Mobutu alikuwa anaifanya benki kuu kama kibubu chake. Wakashindwana jamaa akasepa. Mkapa...
  17. T

    Besije alienda kenya kupata ushauri wa kuendesha siasa za upinzani. Angetaka kujifunza kwetu angeambulia nini!?

    Nimesikiliza kwenye taarifa ya habari ya dw kuhusu mwanasiasa mkongwe wa siasa za upinzani nchini Uganda ambapo wamesema huenda wazo la kuunganisha vyama kumi vya kisiasa nchini uganda na kuunda muungano mpya wa kisiasa dhidi ya nrm, alilipata nchini kenya ambako alifanya ziara hivi karibuni...
  18. L

    Hii imekaaje? Clouds Radio na EFM kuendesha kamari katika vipindi vyao?

    Kumekuwa na tabia watangazaji wa vipindi vya redio Clouds na E.fm kuchezesha kamari katika kila vipindi. Kwa nyakati tofauti watangazaji hao wamekuwa wanawashawishi wasikilizaji wao wawe mamilionea kwa kuwaambia watume pesa kwa namba wanazozitaja huku wakitaja dau. Mwisho wa vipindi huwapigia...
  19. Valencia_UPV

    Taliban hawana pesa ya kuendesha Serikali

    Taliban na mbwembwe zote zile Sasa hv wanamlilia Tena US awasaidie kuendesha nchi. Saudia kanyuti Kama hawajui ======= Taliban took Afghanistan but face cash squeeze By JOSH BOAK WASHINGTON (AP) — The Taliban face a frontal challenge in cementing control of Afghanistan: Money...
  20. M

    SOFTWARE Tumia Mfumo(System/Erp) moja kuendesha Biashara yako(Odoo Erp)

    Hapo zamani, TAASISI au COMPANY zilikuwa zinatumia mifumo(systems) nyingi (zaidi ya mmoja) katika kuratibu shughuli za kila siku. Kwa Mfano Taasisi au Kampuni moja yenye departments tano(5) (Finance, Human resources, Sales, Marketing, Procurement e.t.c) lazima iwe na mifumo(systems) tano(5)...
Back
Top Bottom