Maharage ana uwezo kweli kuendesha shirika la kitaalam kama TANESCO?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,335
24,232
1695283545465.png

Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.

Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme kwa wananchi, jamii na biashara kwa ujumla.

Wakati wa miaka ya Magufuli, umeme haukuwa unakatwa ovyo pamoja na miaka ya upungufu wa maji.

Sasa basi ndio tunajiuliza kama bwana Maharage asiye na technical background, anaiweza kazi aliyopewa?

Bodi na management iliyokuwepo kabla ya kina Maharage & co. hawajaingia, mbona ilikuwa ina tenda kazi vizuri tu?

Serikali kwa sasa inavuna matokeo ya kubadili badili viongozi isivyoleta tija katika mashirika strategic kama TANESCO.
Unaondoa proffessionals na kuingiza mediocre characters.

At least one mediocre characters , January Makamba, is out.
Serikali ijitathmini na ifanye kazi na proffessionals husika, katika uongozi wa TANESCO.


UPDATE
Bwana Maharage Ally Chande, rasmi sasa AMEONDOLEWA TANESC na Rais Samia Suluhu na kupelekwa TTCL, mahali pa mawasiliano(ina shabibiana na DSTV).
Asant mama, unapitia maoni ingawaje watu kama Nape wanaidharau.
 
Tutalaumu sana lakini hata aje nani lile shirika na serikali hawana uwezo wa kuzalisha umeme wa uhakika na kusambaza kwa bei nzuri nchi nzima, dawa ni moja tuu, waruhusu makampuni binafsi washiriki hiyo biashara na kuiondolea TANESCO monopoly.

Sio lazima wauze TANESCO, waruhusu tuu private sector na waweke sera nzuri za kuwalinda wanunuzi, mashirika ya umeme na wadau wote wa umeme bila upendeleo, nakuhakikishia tatizo la umeme litakuwa ni kama kuongelea stone age, tatizo la kukosa umeme au maji dunia ya leo ni kwa watu wasio na akili tuu
 
Tutalaumu sana lakini hata aje nani lile shirika na serikali hawana uwezo wa kuzalisha umeme wa uhakika na kusambaza kwa bei nzuri nchi nzima, dawa ni moja tuu, waruhusu makampuni binafsi washiriki hiyo biashara na kuiondolea TANESCO monopoly.

Sio lazima wauze TANESCO, waruhusu tuu private sector na waweke sera nzuri za kuwalinda wanunuzi, mashirika ya umeme na wadau wote wa umeme bila upendeleo, nakuhakikishia tatizo la umeme litakuwa ni kama kuongelea stone age, tatizo la kukosa umeme au maji dunia ya leo ni kwa watu wasio na akili tuu
Unasema kweli , lakini mi nasema hapa ni swala la Technical Management ya shirika.
Wizara ya Nishati na TANESCO haviwezi kuendeshwa na vilaza halafu tutegemee matokeo mazuri.
Ni muda mrefu hatuna mgawo wa umeme, na infrastructure ni ile ile iliyokuwepo miaka hii kumi.
Siyo bure Serikali ndiyo inatuangusha kwa kuwaweka vilaza kuongoza sekta sensitive kama Nishati.
 
Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.

Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme kwa wananchi, jamii na biashara kwa ujumla.

Wakati wa miaka ya Magufuli, umeme haukuwa unakatwa ovyo pamoja na miaka ya upungufu wa maji.

Sasa basi ndio tunajiuliza kama bwana Maharage asiye na technical background, anaiweza kazi aliyopewa?

Bodi na management iliyokuwepo kabla ya kina Maharage & co. hawajaingia, mbona ilikuwa ina tenda kazi vizuri tu?

Serikali kwa sasa inavuna matokeo ya kubadili badili viongozi isivyoleta tija katika mashirika strategic kama TANESCO.
Unaondoa proffessionals na kuingiza mediocre characters.

At least one mediocre characters , January Makamba, is out.
Serikali ijitathmini na ifanye kazi na proffessionals husika, katika uongozi wa TANESCO.
Jina tu linasema HAPANA!
 
Unasema kweli , lakini mi nasema hapa ni swala la Technical Management ya shirika.
Wizara ya Nishati na TANESCI haviwezi kuendeshwa na vilaza halafu tutegemee matokeo mazuri.
Ni muda mrefu hatuna mgawo wa umeme, na infrstructure ni ile ile iliyokuwepo miaka hii kumi.Siyo bure Serikali ndiyo inatuangusha kwa kuwaweka vilaza kuongoza sekta sensitive kama Nishati.
Safi sana ndo ukweli wenyewe huo.midiocre wote watolewe
 
Unasema kweli , lakini mi nasema hapa ni swala la Technical Management ya shirika.
Wizara ya Nishati na TANESCI haviwezi kuendeshwa na vilaza halafu tutegemee matokeo mazuri.
Ni muda mrefu hatuna mgawo wa umeme, na infrstructure ni ile ile iliyokuwepo miaka hii kumi.Siyo bure Serikali ndiyo inatuangusha kwa kuwaweka vilaza kuongoza sekta sensitive kama Nishati.
SHida ni CCM nzima hapo kuanzia mwenyekiti wao mkuu hadi mwenyekiti wa shina.

Hawa hawana Idea tena mpya
 
Unasema kweli , lakini mi nasema hapa ni swala la Technical Management ya shirika.
Wizara ya Nishati na TANESCI haviwezi kuendeshwa na vilaza halafu tutegemee matokeo mazuri.
Ni muda mrefu hatuna mgawo wa umeme, na infrstructure ni ile ile iliyokuwepo miaka hii kumi.Siyo bure Serikali ndiyo inatuangusha kwa kuwaweka vilaza kuongoza sekta sensitive kama Nishati.
Naona umefikia kwenye personal attack

Taasisi kama Tanesco haihitaji technical manager, inahitaji visionary leader

Hata Musa alitukanwa wakati wakielekea nchi ya ahadi

Ni technical people ndio wamefikisha Tanesco hapo
 
Naona umefikia kwenye personal attack

Taasisi kama Tanesco haihitaji technical manager, inahitaji visionary leader

Hata Musa alitukanwa wakati wakielekea nchi ya ahadi

Ni technical people ndio wamefikisha Tanesco hapo
Soma vizuri uelewe, its Technical Management.
Poor Technical Management toka Ministry level, TANESCO Board level, na mwisho Management level ndio hovyo kabisa.
 
Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.

Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme kwa wananchi, jamii na biashara kwa ujumla.

Wakati wa miaka ya Magufuli, umeme haukuwa unakatwa ovyo pamoja na miaka ya upungufu wa maji.

Sasa basi ndio tunajiuliza kama bwana Maharage asiye na technical background, anaiweza kazi aliyopewa?

Bodi na management iliyokuwepo kabla ya kina Maharage & co. hawajaingia, mbona ilikuwa ina tenda kazi vizuri tu?

Serikali kwa sasa inavuna matokeo ya kubadili badili viongozi isivyoleta tija katika mashirika strategic kama TANESCO.
Unaondoa proffessionals na kuingiza mediocre characters.

At least one mediocre characters , January Makamba, is out.
Serikali ijitathmini na ifanye kazi na proffessionals husika, katika uongozi wa TANESCO.



Muulize Zembwela na Kitenge wakaulize mamlaka za uteuzi.
 
Matatizo ya umeme nchini ni historical, nchi imekua, watu wameongezeka lakini vyanzo vya umeme vikabaki vile vile.

Sasa kwa hali ya sasa hata awekwe malaika kuongoza tanesco mgao ama upungufu wa umeme uko pale pale kwa sababu mahitaji ni makubwa kuliko vyanzo vya uzalishaji.

Magufuli aliwaza mbali kuona kwamba hakuna namna nyingine zaidi ya kujenga mwalimu Nyerere HPP. Ndie mtu pekee kwenye kizazi hiki na kijacho aliyethubutu kuhakikisha anakabiliana na changamoto za umeme.

Kwa sasa mkombozi ni JNHPP hakuna namna nyingine hata aletwe malaika.
 
Tutalaumu sana lakini hata aje nani lile shirika na serikali hawana uwezo wa kuzalisha umeme wa uhakika na kusambaza kwa bei nzuri nchi nzima, dawa ni moja tuu, waruhusu makampuni binafsi washiriki hiyo biashara na kuiondolea TANESCO monopoly.

Sio lazima wauze TANESCO, waruhusu tuu private sector na waweke sera nzuri za kuwalinda wanunuzi, mashirika ya umeme na wadau wote wa umeme bila upendeleo, nakuhakikishia tatizo la umeme litakuwa ni kama kuongelea stone age, tatizo la kukosa umeme au maji dunia ya leo ni kwa watu wasio na akili tuu
Mbona kipindi cha Mwendazake umeme haukuwa wa mgao? Wala haukukatika katika kama kipindi hiki?

Wao walizalisha kutoka wapi? Bwana yule alituambia vifaa vya umeme/mitambo ilikuwa imechakaa na akaahidi anavifanyia matengenezo mara bla bla za miaka yote eti havikufanyiwa maintenance je hayo matengenezo bado hayajaisha????

Ukweli ni wa mtoa mada. Wanawekwa watu unprofessional na vilaza ndo matokeo yake hayo. They're busy with their own deals.No one who cares about the public !
 
Matatizo ya umeme nchini ni historical, nchi imekua, watu wameongezeka lakini vyanzo vya umeme vikabaki vile vile.

Sasa kwa hali ya sasa hata awekwe malaika kuongoza tanesco mgao ama upungufu wa umeme uko pale pale kwa sababu mahitaji ni makubwa kuliko vyanzo vya uzalishaji.

Magufuli aliwaza mbali kuona kwamba hakuna namna nyingine zaidi ya kujenga mwalimu Nyerere HPP. Ndie mtu pekee kwenye kizazi hiki na kijacho aliyethubutu kuhakikisha anakabiliana na changamoto za umeme.

Kwa sasa mkombozi ni JNHPP hakuna namna nyingine hata aletwe malaika.
Kwa Ufupi tu ingekuwa ni nchi ambayo ipo seriously Makamba na timu yake nzima ingepelekwa mahakamani Kwa kulidanganya Taifa na kulitia hasara, alituambia mitambo ni chakavu, mara kukunguru wanaharibu miundombinu, mara blablaaa kaja na hoja nyingi za kuomba apewe tirioni kadhaaa na Mama, mama akamtosa mwisho wa siku ni Giza Kila Kona...wajanja washasepa na maokoto...
 
Matatizo ya umeme nchini ni historical, nchi imekua, watu wameongezeka lakini vyanzo vya umeme vikabaki vile vile.

Sasa kwa hali ya sasa hata awekwe malaika kuongoza tanesco mgao ama upungufu wa umeme uko pale pale kwa sababu mahitaji ni makubwa kuliko vyanzo vya uzalishaji.

Magufuli aliwaza mbali kuona kwamba hakuna namna nyingine zaidi ya kujenga mwalimu Nyerere HPP. Ndie mtu pekee kwenye kizazi hiki na kijacho aliyethubutu kuhakikisha anakabiliana na changamoto za umeme.

Kwa sasa mkombozi ni JNHPP hakuna namna nyingine hata aletwe malaika.
Lazima tuwe na forward looking na strategic Energy policy.
Tukiendelea kukumbatia vilaza wa kisiasa, haya ndio matokeo yake.
Makamba kawaweka mediocre performers katika wizara sensitive na sasa tunaona, umeme hamna, fuel(diesel na petroli) hakuna,
Sasa tuambiwe nini kuelewa kuwa matatizo ni watu tuliowaweka?
 
View attachment 2756773
Maharage Ally Chande amekuwa MD wa TANESCO kwa takriban miaka miwili sasa.

Kama kuna vigezo vya kumpima utendaji, basi kwa sasa vimekuwa juu kwa MD wetu maana utendaji unapimwa na output, umeme kwa wananchi, jamii na biashara kwa ujumla.

Wakati wa miaka ya Magufuli, umeme haukuwa unakatwa ovyo pamoja na miaka ya upungufu wa maji.

Sasa basi ndio tunajiuliza kama bwana Maharage asiye na technical background, anaiweza kazi aliyopewa?

Bodi na management iliyokuwepo kabla ya kina Maharage & co. hawajaingia, mbona ilikuwa ina tenda kazi vizuri tu?

Serikali kwa sasa inavuna matokeo ya kubadili badili viongozi isivyoleta tija katika mashirika strategic kama TANESCO.
Unaondoa proffessionals na kuingiza mediocre characters.

At least one mediocre characters , January Makamba, is out.
Serikali ijitathmini na ifanye kazi na proffessionals husika, katika uongozi wa TANESCO.
Mama Abdul anatupeleka shimoni!
Anamuondoa Mwenyekiti wa Bodi Engineer Kyaruzi anamuweka Omar Isa(former CEO of BRN) na January Makamba anateua Bankers kuwa Board members;akina Mafuru na Mchechu et al!
Wanapeleka mawazo kwa Rais eti wanataka kufumua gridi ya taifa kwa trilioni 11!!
Nyie....
 
Back
Top Bottom