Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
TPA wameshindwa kuendesha bandari na sasa imekodishwa kwa wawekezaji.
SGR imekwama kukamilika kwa wakati kwa nchi kukosa wasimamizi wa ujenzi wenye ujuzi wanaothamini ukamilikaji wa miradi kwa wakati kuepusha hasara au kuongezeka kwa gharama
Mwendo kasi wamejenga barabara nyingi huko DSM lakini barabara moja tu iliyokamilika imetushinda kusimamia ilete tija.
Je, Mradi wa kuzalisha umeme wa mwalimu Nyerere tutauweza au tunakabidhi kwa mwekezaji aendeshe?
SGR imekwama kukamilika kwa wakati kwa nchi kukosa wasimamizi wa ujenzi wenye ujuzi wanaothamini ukamilikaji wa miradi kwa wakati kuepusha hasara au kuongezeka kwa gharama
Mwendo kasi wamejenga barabara nyingi huko DSM lakini barabara moja tu iliyokamilika imetushinda kusimamia ilete tija.
Je, Mradi wa kuzalisha umeme wa mwalimu Nyerere tutauweza au tunakabidhi kwa mwekezaji aendeshe?