X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,680
- 12,254
Ndugu zangu kama kichwa Cha habari kinavyo jieleza, kijana wenu nimerudi tena najua hapa jamiiforums ni junguu kuu lisiloisha ukoko, ambamo ndani yake Kuna watu wa Kariba na hali tofauti tofauti. Nipo mkoani Dar es salaam kwasasa.
Nilipambana nikasoma udereva wa awali hivyo kuendesha gari najua, hivi sasa ndoto zangu ni kuendesha magari makubwa ya mizigo, iwe semi, na gari nyinginezo zinazo fanana na hizo.
Kikubwa ninacho omba kama Kuna mtu anaendesha gari hizo, ama anazo naomba anisaidie tusafiri wote walau wiki Moja TU au hata mwezi ikiwezekana. Ili nipate nafasi ya kuizoea hiyo gari.
Kwenye swala la chakula na mahitaji yangu mengine ya kibinaadam nitajitegemea.
Nimatumaini yangu maombi haya yatamfikia mtu sahihi na atanisaidia Kwa kadri ya anavyoona inafaa.
Nb.
Sijawahi kuomba msaada humu Jf nikapata 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 eh Mungu fanya miujiza nilitukuze Jina lako...🙏🙏
Nilipambana nikasoma udereva wa awali hivyo kuendesha gari najua, hivi sasa ndoto zangu ni kuendesha magari makubwa ya mizigo, iwe semi, na gari nyinginezo zinazo fanana na hizo.
Kikubwa ninacho omba kama Kuna mtu anaendesha gari hizo, ama anazo naomba anisaidie tusafiri wote walau wiki Moja TU au hata mwezi ikiwezekana. Ili nipate nafasi ya kuizoea hiyo gari.
Kwenye swala la chakula na mahitaji yangu mengine ya kibinaadam nitajitegemea.
Nimatumaini yangu maombi haya yatamfikia mtu sahihi na atanisaidia Kwa kadri ya anavyoona inafaa.
Nb.
Sijawahi kuomba msaada humu Jf nikapata 😭😭😭😭😭😭😭😭😭 eh Mungu fanya miujiza nilitukuze Jina lako...🙏🙏