kiroho

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Emanueli misalaba

    JamiiForums Tanzania Mwaka kogwa imembeba nini kwa mizania ya kiroho?

    Wana Jf Salaam , bila shaka mko poa poa na weekend hii. Kwa mda sasa nimekua nikisikia hii sherehe ya mwaka kogwa ambayo huazimishwa huko Makunduchi, Juzi ilibidi nimpigie simu mtu anaishi huko ili nimuombe anipe picha kamili huwa ikoje, aliniambia, 1. Kabla ya siku ya kwanza ya mwaka kogwa...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kama unaamini mambo ya kiroho utakubali kuwa Urais wa JMT unamtafuta Tundu Lissu

    Siko hapa kubishana na mtu. Na kama wewe ni moja kati ya wale wasioamini Matendo Makuu ya Bwana Mungu, Mungu wa Israeli basi pita kimya kimya tu. Sitaki kusema mengi ila huu uzi tutaurejea miaka michache ijayo. Kwamba walio wazima na wenye nyenzo zote anaondoka harafu watu waliokuwa wanyonge...
  3. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kosa hili la Kiroho limewafanya wakristo wengi kuishi maisha magumu

    Habari, Ukisikiliza nyimbo nyingi za Injili, ukisikiliza maombi ya wakristo wengi au ukisikiliza ibada za shukrani hukosi kusikia neno "Sikustahili." Mtu kapata division one anatoa sadaka huku akilia anasema hakustahili, akiolewa, akioa, akinunua hata pikipiki au gari used mtu husema...
  4. LIKUD

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuchapiwa ni jambo la kiuokoo/kifamilia (kiroho zaidi). Fanya yafuatayo kuepuka kizazi chako kuchapiwa

    Nimeandika uzi huu baada ya suala la Haji kutamalaki. Ni hivi kuchapiwa mke most of the time huwaga ni laana ya familia, ukoo au hata kabila. Ndio maana ukijaribu kufuatilia kwa ukaribu kuhusu wanaume wanao chapiwa utagundua kwamba katika familia au ukoo wa mwanaume huyo kuna historia ya...
  5. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Kiroho zaidi: Huenda hii ndio sababu ya kiroho kwanini wadau wa mpira walikuwa wanasema Feisal ana takiwa kucheza Barcelona

    Feisal ndio mchezaji anae ongoza kwa kupewa sifa ambazo hana.. Mashabiki wa Yanga= Feisal hawezi cheza timu yoyote nje ya Yanga akitoka Yanga anaenda Madrid. Manara = Feisal sio mchezaji wa nchi hii. Amunike = Feisal anatakiwa kuchezea Barcelona. But ndio uhalisia huo? Sio kweli. Ukweli ni...
  6. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Je, wajua miti ni sumaku inayovuta nguvu za kiroho? Panda miti nyumbani kwako

    Anaandika, Robert Heriel Kuhani katika Hekalu Jeusi. Andiko hili lamfaa kila mtu. Lugha iliyotumika ni laini. Sio Kali kama nilivyozoea Kwa mada zangu nyingi. Kisayansi Miti ni moja ya viumbe hai muhimu katika Ecosystem (kutegemeana Kwa viumbe hai n mfu ili kufanya Maisha yaendelee katika...
  7. Mwanaume wa kiroho

    JamiiForums Tanzania Mambo usiyoyajua kuhusu ulimwengu wa kiroho

    Nina ushahidi tosha juu ya ulimwengu wa kiroho sana ila sasa ningependa kukushirikisha juu ya watoto wa kiroho na jinsi wanavyopatikana . Mara nyingi wanapatikana katika ndoto pale unapoota unazini au unafanya mapenzi huwa no kweli katika ulimwengu wa kiroho na unapata watoto kabisa niamini...
  8. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Kiroho lipeni kodi kwa wakati ili kuepuka fedheha katika jamii

    Hapa nina wazungumzia Wachungaji, Masheikh, Mapadre na wote ambao ni viongozi wa kiroho, heshima yenu ni kubwa mno katika jamii na mnategemewa kuwa mfano mbora katika jamii yetu. Siyo wote ambao mna nyumba zenu binafsi, hivyo kuwalazimu kupanga na kujistiri katika nyumba hizi na kufanya makazi...
  9. Naantombe Mushi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiroho, kama humsaliti mke wako yeye pia hawezi kukusaliti

    Hii nakupa chukua.. Hamna uchafu unaokuja mahali pasafi hata siku moja. Ndiyo maana unakuta mtu kama roho yako imejaa Yesu, mtu hata akuendee kwa waganga hakupati, hii pia nakupa chukua. Issue ya ku cheat pia naona imekaa kiroho zaidi. Mwanaume ukiwa unachepuka maana yake unakaribisha roho ya...
  10. NetMaster

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wenye hadhi ya mama mdogo nawapata kirahisi, hii inaweza kuhusiana na mambo ya koroho?

    Wanawake wenye jina la mama mdogo nawapata kirahisi, hii inaweza kuhusiana na mambo ya koroho? Ni jina la yule mama mdogo ambaye wamezoena zaidi na mama ukiachana na wadogo zake wengine wawili wa kike. Nakumbuka sekondari form 3 hadi 4 kuna binti alikuwa na hilo jina aliniganda na tulipendana...
  11. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania EALA: Waliopitishwa CCM, ni Kwa Haki!, Tulioachwa ni kwa Haki, Tumezidiwa Vigezo!. Thanks4 for Support, Nimekubali Matokeo Kiroho Safi! Kazi Iendelee!

    Wanabodi, Ubunge wa EALA ni mara yangu ya pili kujaribu kugombea kupitia CCM, mara ya kwanza nilijaribu Ubunge jimbo la Kawe, nikashauriwa ili kuchaguliwa ni lazima 'uwaone' wajumbe 'ujitambulishe', 'wakujue' ndio utapata kura za wajumbe!. Kusema ukweli, mimi sikumuona mjumbe yoyote...
  12. Faana

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje Mwanamke Aliyeolewa na Anasali Makanisa ya Kiroho na Kinabii Anaonekana na Mume wa Mtu Lodge

    Nimemsikia mtu mmoja hapa Mawasiliano daladala terminal akiongea kwenye simu na mwenzake kuwa kuna wawili hao wameonekana mitaa yenye utata na huku wakitokea madhehebu anayoabudu shuhuda, nguvu ya ya asili inaweza kuwa na influence ya kiasi hicho mpaka Mungu asahaulike!?
  13. S

    JamiiForums Tanzania Kwa jicho la tatu Kuzimu iko/ndiyo Tanzania. Maana maovu yanapendwa kuliko mema

    Acha niorodheshe baadhi ya maovu yaliowahi kufanyika ama yanayofanyika hapa Tanzania na kushangiliwa au kunyamaziwa na jamii. 1. JPM alivunja katiba hadharani ktk Mambo mengi sana , watanzania kimyaaa!!! Sri Lanka na Sudan wameweza 2. Mwgulu amewahi kutoa kejeli kwa watanzania kuwa asiyetaka...
  14. Samson Ernest

    JamiiForums Tanzania Je, tunapaswa kuacha kusumbukia mambo ya mwili na kujizamisha na mambo ya kiroho peke yake?

    “Kwa sababu hiyo nawaambieni, Msisumbukie maisha yenu, mle nini au mnywe nini; wala miili yenu, mvae nini. Maisha je! Si zaidi ya chakula, na mwili zaidi ya mavazi?” Mt 6:25 SUV. Hebu tuliangalie hili jambo, je tunapaswa tu kuwa bize na mambo ya Mungu na kuacha mambo mengine yanayohusu kazi...
  15. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Safari ya Maisha ya Kiroho ya Hayati Dkt. John Magufuli

    Safari ya Maisha ya Kiroho ya Dr. John P. Magufuli wa Tanzania Askofu mkuu Protase Rugambwa, ameongoza Ibada ya Misa Takatifu kwa ajili ya kumwombea Hayati Dr. John Pombe Magufuli wa Tanzania. Baada ya Ibada ya Misa, ilifuatia dua iliyoongozwa na Bwana Abdul Hamid Ahmed na mwishoni, Balozi...
  16. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Hii ya kuchinja watu kiroho, imekaaje kisheria?

    Leo nilimiss kusikiliza redio baada ya zaidi ya miaka Miwili. Maana Nina vyanzo mbadala vya taarifa. 'Nikagugo' redio ya kusikiliza nikajikuta nasikiliza redio moja ya kiroho Kondoo wa Bwana walikuwa wanatoa ushuhuda jinsi yanavyomkabili adui yao ibirisi. Kilichonishtua Mwanamama mmoja jasiri...
  17. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Sababu za kiroho kwanini watu wengi walitamka kwamba utawala wa Mwendazake hautafika mbali

    Wakati wa mwendazake karibu Kila mtu alikuwa akitamka kwamba utawala wa mwendazake hautofika mbali. Ilikuwa unaweza ukakutana na kajamaa kametoka kijijini kwako huko Isungachupi , hakajui chochote kuhusu utabiri lakini kanakwambi Kwa confidence kabisa kwamba " Ndugu yangu wee huyu jamaa...
  18. President of China

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupata nguvu za kiroho

    Za siku nyingi wana JF. Nimekuwa nikitafakari kwa muda sasa namna nitakavyo weza kufundisha somo hili tajwa. Leo nimeona niweze kutoa utangulizi wa mambo ya kiroho na kuweza kuzipata guvu zake. Watawala wengi duniani na makundi mbalimbali huzitumia nguvu za kiroho katika kujinufaisha kwenye...
  19. MEXICANA

    JamiiForums Tanzania Kulikoni mfuasi wa Gwajima, Amos Komba kaanzisha huduma yake ya kiroho?

    Habarini wana JF, Nmekutana na huduma mpya ya huyu mtumishi ambaye juzi kati alikasimishwa madaraka ya kusimamia makanisa ya Ufufuo na Uzima Dar. Nmeona kama ana ameanzisha huduma nyingine inaitwa Clinic ya mwanakondoo, sasa sjui wamezinguana vipi na ASKOFU Gwajima wakati huyu alikuwa...
  20. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Urithi wa nyumba ya babu yenye nguvu za kiroho. Je, iuzwe hata kwa hasara, ipangishwe, ichukuliwe mkopo benki ama kifanyike kipi?

    Hello wanajamvi, great thinkers. Wiki chache zilizopita kuna babu yangu upande wa mama alifariki Katika mali alizoacha kuna nyumba na warithi ni watoto zake akiwemo mama yangu, mama wadogo zangu wawili na wajomba zangu wawili. Sasa tatizo linapokuja ni kwamba hakuna anaetaka kurithi hio...
Back
Top Bottom