Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,712
- 5,700
Ni Pastor mkubwa wa kanisa kubwa la kilokole kule Nigeria linaitwa Deeper Life, anasifika kwa kuhuburi injili ya utakatifu na kuishi maisha matakatifu.
Mwanzoni kulingana na baadhi ya shuhuda za watu inasemekana yeye ni mtumishi wa kweli wa Mungu, ila siku hizi mbili tatu nimeona picha zake mtandaoni alivyo kule India na watu anaoanza ku- associate nao, mmh.
Sina uhakika sana na online media news, kama ni kweli ameanguka, mmh nimeshangaa!
Mwanzoni kulingana na baadhi ya shuhuda za watu inasemekana yeye ni mtumishi wa kweli wa Mungu, ila siku hizi mbili tatu nimeona picha zake mtandaoni alivyo kule India na watu anaoanza ku- associate nao, mmh.
Sina uhakika sana na online media news, kama ni kweli ameanguka, mmh nimeshangaa!