Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,705
- 36,154
Habari!
Hata Marais Kuna wakati huombana ushauri.
Katika familia yetu tuko 8 kwa mama mmoja na kwa baba jumla tuko 17.
So far, kuna brother wetu wa kwanza kabisa yeye ndiye mwenye pesa kuliko wote . Yeye ni mkulima mkubwa kidogo. Nikimaanisha mvuno mmoja million 20 hakosi. Pia ana kijiwe cha uganga wa kitabu plus miti huo ndio humpa pesa zaidi ya kilimo.
Mimi ni mtumishi wa umma niko Dar na kuna brother mwingine diwani yuko huko huko mkoani .
Yule brother mkubwa na Mimi baba na mama yetu mmoja.
Tulikosana na brother nikiwa form two kuelekea forn Three na alinifanyia kisasi kutaka kuniua kichawi the same year (namaanisha mara tu tulipotoka kukosana).
Ile issue ikaisha MUNGU akanipigania jamaa akashindwa.
Baadaye mwaka 1 mbele mzazi wangu namaanisha baba mzazi akanitenga na kuutangazia ukoo na familia yake kuwa Mimi si mtoto wake kwakuwa nimeacha njia/dini yake.
Mimi kwa msimamo sijarudi nyuma nikasonga na Imani yangu wasamaria wakanisapoti mpaka nikamaliza kidato cha 6 na walipotaka kuendelea kunisapoti university nilikataa . Mimi binafsi sipendi sana msaada maana msaada wowote lazima ukupunguzie uhuru au utu wako
Nikakomaa kivyangu mpaka nikapata kazi . Sasa niko stable.
Sasa watoto wa brother mkubwa ambaye tulikosana wakija dar wanapita kwangu Muda mwingine wanakaa hata wiki . Ikimbukwe hapo sijawasiliana na baba yao miaka 15.
Sasa majuzi baba yao (brother) kanipigia simu akinishukuru jinsi ninavyowapokea watoto wake wanaponitembelea wakitokea chuo maana wanasoma hapahapa Dar
Pili alikuwa akini remind nitambue undugu wetu wa damu ambao hauwezi kuvunjika kwa hali yoyote.
Hilo sio tatizo, Mimi sina kinyongo na mtu.
Tatizo ni kwamba huyu grand brother anatuhumiwa kurudisha maisha ya wanafamilia wengine nyuma. Ukoo una hali ngumu sana kiuchumi, ufukara uliokithiri
Hata jamaa aliyepata Udiwani nyota yake imezimwa, Sasa ana hali ngumu, sometimes kawa kama mtu aliyevurugwa. Sometimes hata pesa ya kula hana anakwenda kula kwa dada .
Sometimes hata simu hana. Imagine diwani anakosa simu anasaidiwa kiswaswadu na dada.
Mimi kidogo ndio nina mwanga.
Sasa huyu mtu ambaye anatuhuma za kuwaangusha watu chini je, moyo wake hauwazi mabaya juu yangu?
Au baada ya kushindwa kuniangusha kaamua ajisalimishe kwangu?
Au anajipendekeza kwangu akijua naweza kuwasapoti watoto wake kupata kazi wakimaliza chuo?
Je, mchawi anaweza kubadili maamuzi na kuwa rafiki? Huyu mtu alifanya attempt kadhaa za kuutaka uhai wangu lakini alifeli miaka kadhaa iliyopita.
Historia iko hivi huyu mtu kwakuwa ana madaraka kadhaa wa kadhaa katika dini na serikalini na pesa anazo basi hana unyenyekevu kwa ndugu zake lakini sasa kwangu kawa mpole , mpaka meseji za salamu ananitumia.
Kuna nini hapa?
MUNGU kaleta upatanisho au ananivuta bado roho yake inawaza mabaya kwangu?
Hata Marais Kuna wakati huombana ushauri.
Katika familia yetu tuko 8 kwa mama mmoja na kwa baba jumla tuko 17.
So far, kuna brother wetu wa kwanza kabisa yeye ndiye mwenye pesa kuliko wote . Yeye ni mkulima mkubwa kidogo. Nikimaanisha mvuno mmoja million 20 hakosi. Pia ana kijiwe cha uganga wa kitabu plus miti huo ndio humpa pesa zaidi ya kilimo.
Mimi ni mtumishi wa umma niko Dar na kuna brother mwingine diwani yuko huko huko mkoani .
Yule brother mkubwa na Mimi baba na mama yetu mmoja.
Tulikosana na brother nikiwa form two kuelekea forn Three na alinifanyia kisasi kutaka kuniua kichawi the same year (namaanisha mara tu tulipotoka kukosana).
Ile issue ikaisha MUNGU akanipigania jamaa akashindwa.
Baadaye mwaka 1 mbele mzazi wangu namaanisha baba mzazi akanitenga na kuutangazia ukoo na familia yake kuwa Mimi si mtoto wake kwakuwa nimeacha njia/dini yake.
Mimi kwa msimamo sijarudi nyuma nikasonga na Imani yangu wasamaria wakanisapoti mpaka nikamaliza kidato cha 6 na walipotaka kuendelea kunisapoti university nilikataa . Mimi binafsi sipendi sana msaada maana msaada wowote lazima ukupunguzie uhuru au utu wako
Nikakomaa kivyangu mpaka nikapata kazi . Sasa niko stable.
Sasa watoto wa brother mkubwa ambaye tulikosana wakija dar wanapita kwangu Muda mwingine wanakaa hata wiki . Ikimbukwe hapo sijawasiliana na baba yao miaka 15.
Sasa majuzi baba yao (brother) kanipigia simu akinishukuru jinsi ninavyowapokea watoto wake wanaponitembelea wakitokea chuo maana wanasoma hapahapa Dar
Pili alikuwa akini remind nitambue undugu wetu wa damu ambao hauwezi kuvunjika kwa hali yoyote.
Hilo sio tatizo, Mimi sina kinyongo na mtu.
Tatizo ni kwamba huyu grand brother anatuhumiwa kurudisha maisha ya wanafamilia wengine nyuma. Ukoo una hali ngumu sana kiuchumi, ufukara uliokithiri
Hata jamaa aliyepata Udiwani nyota yake imezimwa, Sasa ana hali ngumu, sometimes kawa kama mtu aliyevurugwa. Sometimes hata pesa ya kula hana anakwenda kula kwa dada .
Sometimes hata simu hana. Imagine diwani anakosa simu anasaidiwa kiswaswadu na dada.
Mimi kidogo ndio nina mwanga.
Sasa huyu mtu ambaye anatuhuma za kuwaangusha watu chini je, moyo wake hauwazi mabaya juu yangu?
Au baada ya kushindwa kuniangusha kaamua ajisalimishe kwangu?
Au anajipendekeza kwangu akijua naweza kuwasapoti watoto wake kupata kazi wakimaliza chuo?
Je, mchawi anaweza kubadili maamuzi na kuwa rafiki? Huyu mtu alifanya attempt kadhaa za kuutaka uhai wangu lakini alifeli miaka kadhaa iliyopita.
Historia iko hivi huyu mtu kwakuwa ana madaraka kadhaa wa kadhaa katika dini na serikalini na pesa anazo basi hana unyenyekevu kwa ndugu zake lakini sasa kwangu kawa mpole , mpaka meseji za salamu ananitumia.
Kuna nini hapa?
MUNGU kaleta upatanisho au ananivuta bado roho yake inawaza mabaya kwangu?