Sababu za kiroho kwanini Simba wezindulia jezi zao kwenye like cha Mlima Kilimanjaro

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,118
27,112
Kwa wale wasio jua, Mlima Kilimanjaro ndio Mlima mrefu kupita yote duniani.

Kwa wale walio karirishwa la saba b watasema " Mlima Himalaya/Everest ndio Mlima mrefu kupita yote duniani"

Ni hivi Mount Kilimanjaro is the most FREE STANDING tallest mountain in the world

Mount Everest is a mountain range or a range of mountains.( Vilele vya milima vilivyo pandana au kubebana)

Mfano wake ni kama huu; kuna mtu ana meza kumi zenye urefu wa futi moja kila meza. Meza hizo atazibebanisha na kwa pamoja zitakuwa na urefu wa futi kumi.

Halafu mtu mwingine ana meza moja ndefu yenye urefu wa futi saba.

Mount Everest = meza kumi zilizo pandanishwa/ bebanishwa ambazo urefu wake jumla ni futi kumi.

Mlima Kilimanjaro = Meza moja ndefu ambayo urefu wake ni futi saba..

Ndio maana wataalamu wanasema Mount Kilimanjaro is the most tallest free standing mountain in the world.

Katika ulimwengu wa kiroho Mlima una ashiria mambo mengi mazito, moja Kati ya mambo hayo , unaashiria akili ya juu ama mamlaka ya juu zaidi..

Mlima Kilimanjaro una mambo mengi mazito sana ambayo so rahisi kuyataja yote hapa.

Kilele cha Mlima Kilimanjaro kinaashiria Mamlaka ya Juu zaidi katika uso wa sayari ya dunia.

Ndio Mlima huu ambao unatajwa kwenye biblia kama Mlima wa mashariki.

Moja kati ya taarifa za siri kuhusu Mlima Kilimanjaro ambazo malikia wa sheba aliziiba kutoka kwa mfalme suleiman na kisha kumpa mtoto wake Menelik ni kwamba Mlima.Kilimnjaro ndio physical portal inayo connect sayari dunia na:

1: Physical heavens.
2. Alliens planets ( including all planets inhabited by jinns like Planet Venus)

3. Other universes.
4. That mount kilimanjaro is the center of the universe.

5. Mlima Kilimanjaro ndipo mahali.kunako patikana kitu kinaitwa " the throne room of planet earth " ambayo ina direct connection with " the throne room of the heavens"

( Si uliambiwaga Adam alipewaga ufalme wa sayari ya dunia kisha shetani akaja kumpindua, basi kile kiti cha ufalme wa sayari ya dunia kinapatikana Mlima kilimanjaro inatajwa kwamba kina direct connection with the throne rooms of the heavens)

Mastar wanao kuja Mlima Kilimjanro they dont do that for nothing.

Ni mambo mengi yanayo uhusu Mlima Kilimanjaro hakika watu wa dini za wazungu na waarabu wangeijua siri ya Mlima kilimanjaro wasinge enda kuhiji uarabuni au israel..

Back to simba sport na kibegi.

Simba walienda juu ya kilele cha Mlima Kilimjanro kwa ajili ya kufanya tambiko/ibada maalumu kwa ajili ya kuomba mafanikio ya timu yao kitaifa na kimataifa.

Lisipo fanyika tambiko jingine zito la.ku.counter tambiko la Simba basi wanaweza kufanya maajabu mwaka huu kuanzia kitaifa ( kuwavua ubingwa Yanga) hadi kimataifa.

Milima ina mabalaa mazito sana hakuna dua/ matambiko yenye nguvu kama yanayo fanyika milimani.

Musa = alifanya dua/matambiko yake Mlimani.

Yesu = Mlimani.

Mtume = Pangoni ambako pia ni sehemu ya Mlima...

Nini kifanyike: uongozi wa Yanga lazima ufanye kitu na kitu hicho lazima kikafanyikie juu ya kilele cha Mlima Kilimjanro...

Engineer Hersi Said ongea na watu wako wa kamati ya ufundi or else mniite mbwa niko pale nimekaa
 
Kwa wale wasio jua, Mlima Kilimanjaro ndio Mlima mrefu kupita yote duniani.

Kwa wale walio karirishwa la saba b watasema " Mlima Himalaya/Everest ndio Mlima mrefu kupita yote duniani"

Ni hivi Mount Kilimanjaro is the most FREE STANDING tallest mountain in the world

Mount Everest is a mountain range or a range of mountains.( Vilele vya milima vilivyo pandana au kubebana)

Mfano wake ni kama huu; kuna mtu ana meza kumi zenye urefu wa futi moja kila meza. Meza hizo atazibebanisha na kwa pamoja zitakuwa na urefu wa futi kumi.

Halafu mtu mwingine ana meza moja ndefu yenye urefu wa futi saba.

Mount Everest = meza kumi zilizo pandanishwa/ bebanishwa ambazo urefu wake jumla ni futi kumi.

Mlima Kilimanjaro = Meza moja ndefu ambayo urefu wake ni futi saba..

Ndio maana wataalamu wanasema Mount Kilimanjaro is the most tallest free standing mountain in the world.

Katika ulimwengu wa kiroho Mlima una ashiria mambo mengi mazito, moja Kati ya mambo hayo , unaashiria akili ya juu ama mamlaka ya juu zaidi..

Mlima Kilimanjaro una mambo mengi mazito sana ambayo so rahisi kuyataja yote hapa.

Kilele cha Mlima Kilimanjaro kinaashiria Mamlaka ya Juu zaidi katika uso wa sayari ya dunia.

Ndio Mlima huu ambao unatajwa kwenye biblia kama Mlima wa mashariki.

Moja kati ya taarifa za siri kuhusu Mlima Kilimanjaro ambazo malikia wa sheba aliziiba kutoka kwa mfalme suleiman na kisha kumpa mtoto wake Menelik ni kwamba Mlima.Kilimnjaro ndio physical portal inayo connect sayari dunia na:

1: Physical heavens.
2. Alliens planets ( including all planets inhabited by jinns like Planet Venus)

3. Other universes.
4. That mount kilimanjaro is the center of the universe.

5. Mlima Kilimanjaro ndipo mahali.kunako patikana kitu kinaitwa " the throne room of planet earth " ambayo ina direct connection with " the throne room of the heavens"

( Si uliambiwaga Adam alipewaga ufalme wa sayari ya dunia kisha shetani akaja kumpindua, basi kile kiti cha ufalme wa sayari ya dunia kinapatikana Mlima kilimanjaro inatajwa kwamba kina direct connection with the throne rooms of the heavens)

Mastar wanao kuja Mlima Kilimjanro they dont do that for nothing.

Ni mambo mengi yanayo uhusu Mlima Kilimanjaro hakika watu wa dini za wazungu na waarabu wangeijua siri ya Mlima kilimanjaro wasinge enda kuhiji uarabuni au israel..

Back to simba sport na kibegi.

Simba walienda juu ya kilele cha Mlima Kilimjanro kwa ajili ya kufanya tambiko/ibada maalumu kwa ajili ya kuomba mafanikio ya timu yao kitaifa na kimataifa.

Lisipo fanyika tambiko jingine zito la.ku.counter tambiko la Simba basi wanaweza kufanya maajabu mwaka huu kuanzia kitaifa ( kuwavua ubingwa Yanga) hadi kimataifa.

Milima ina mabalaa mazito sana hakuna dua/ matambiko yenye nguvu kama yanayo fanyika milimani.

Musa = alifanya dua/matambiko yake Mlimani.

Yesu = Mlimani.

Mtume = Pangoni ambako pia ni sehemu ya Mlima...

Nini kifanyike: uongozi wa Yanga lazima ufanye kitu na kitu hicho lazima kikafanyikie juu ya kilele cha Mlima Kilimjanro...

Engineer Hersi Said ongea na watu wako wa kamati ya ufundi or else mniite mbwa niko pale nimekaa
Likud huwa nakuelewaga sana kiasi kwamba natamani kila siku utoe uzi niwe naenjoy
 
Siwezi kukubali na wala siwezi kukataa kwasababu mambo ya kiroho sina uzoefu nayo ila tu naomba kujua yafuatayo.

1) wale waliobeba begi kupeleka kileleni, je walibeba na jezi ndani au begi tupu? Na je baada ya kufika kuna jambo lolote la kiimani (kiroho) lililofanyika?
2) kuna picha ambayo ilikuwa inasambaa kuonesha kuwa Yanga walishawahi kuweka jezi kileleni, je zile ni za msimu wa nyuma au wa sasa? Na kama ni za msimu wa nyuma je kwenye msimu husika Yanga ilivuna mafanikio yapi kwa kuweka jezi kileleni?
 
1. Kwenye begi= jezi + vifaa vya tambiko .

2. Sina hakika ilikuwa mwaka gani. Mwaka juzi Yanga baada ya kuchukua ubingwa walizunguka na gari sehemu mbalimbali za dsm ( lilikuwa tambiko lile)
 
Kwa wale wasio jua, Mlima Kilimanjaro ndio Mlima mrefu kupita yote duniani.

Kwa wale walio karirishwa la saba b watasema " Mlima Himalaya/Everest ndio Mlima mrefu kupita yote duniani"

Ni hivi Mount Kilimanjaro is the most FREE STANDING tallest mountain in the world

Mount Everest is a mountain range or a range of mountains.( Vilele vya milima vilivyo pandana au kubebana)

Mfano wake ni kama huu; kuna mtu ana meza kumi zenye urefu wa futi moja kila meza. Meza hizo atazibebanisha na kwa pamoja zitakuwa na urefu wa futi kumi.

Halafu mtu mwingine ana meza moja ndefu yenye urefu wa futi saba.

Mount Everest = meza kumi zilizo pandanishwa/ bebanishwa ambazo urefu wake jumla ni futi kumi.

Mlima Kilimanjaro = Meza moja ndefu ambayo urefu wake ni futi saba..

Ndio maana wataalamu wanasema Mount Kilimanjaro is the most tallest free standing mountain in the world.

Katika ulimwengu wa kiroho Mlima una ashiria mambo mengi mazito, moja Kati ya mambo hayo , unaashiria akili ya juu ama mamlaka ya juu zaidi..

Mlima Kilimanjaro una mambo mengi mazito sana ambayo so rahisi kuyataja yote hapa.

Kilele cha Mlima Kilimanjaro kinaashiria Mamlaka ya Juu zaidi katika uso wa sayari ya dunia.

Ndio Mlima huu ambao unatajwa kwenye biblia kama Mlima wa mashariki.

Moja kati ya taarifa za siri kuhusu Mlima Kilimanjaro ambazo malikia wa sheba aliziiba kutoka kwa mfalme suleiman na kisha kumpa mtoto wake Menelik ni kwamba Mlima.Kilimnjaro ndio physical portal inayo connect sayari dunia na:

1: Physical heavens.
2. Alliens planets ( including all planets inhabited by jinns like Planet Venus)

3. Other universes.
4. That mount kilimanjaro is the center of the universe.

5. Mlima Kilimanjaro ndipo mahali.kunako patikana kitu kinaitwa " the throne room of planet earth " ambayo ina direct connection with " the throne room of the heavens"

( Si uliambiwaga Adam alipewaga ufalme wa sayari ya dunia kisha shetani akaja kumpindua, basi kile kiti cha ufalme wa sayari ya dunia kinapatikana Mlima kilimanjaro inatajwa kwamba kina direct connection with the throne rooms of the heavens)

Mastar wanao kuja Mlima Kilimjanro they dont do that for nothing.

Ni mambo mengi yanayo uhusu Mlima Kilimanjaro hakika watu wa dini za wazungu na waarabu wangeijua siri ya Mlima kilimanjaro wasinge enda kuhiji uarabuni au israel..

Back to simba sport na kibegi.

Simba walienda juu ya kilele cha Mlima Kilimjanro kwa ajili ya kufanya tambiko/ibada maalumu kwa ajili ya kuomba mafanikio ya timu yao kitaifa na kimataifa.

Lisipo fanyika tambiko jingine zito la.ku.counter tambiko la Simba basi wanaweza kufanya maajabu mwaka huu kuanzia kitaifa ( kuwavua ubingwa Yanga) hadi kimataifa.

Milima ina mabalaa mazito sana hakuna dua/ matambiko yenye nguvu kama yanayo fanyika milimani.

Musa = alifanya dua/matambiko yake Mlimani.

Yesu = Mlimani.

Mtume = Pangoni ambako pia ni sehemu ya Mlima...

Nini kifanyike: uongozi wa Yanga lazima ufanye kitu na kitu hicho lazima kikafanyikie juu ya kilele cha Mlima Kilimjanro...

Engineer Hersi Said ongea na watu wako wa kamati ya ufundi or else mniite mbwa niko pale nimekaa
Kongole kwa mada nzuri. Binafsi nimekuelewa
 
Napenda(ga) Sana kusoma mada zako mkuu, lakini Kwa macho ya Rohoni naona Yanga imefungua njia ya kufanya makubwa kimataifa ndo maana hata jezi ilienda kuzinduliwa nje ya nchi (ikulu) hii ni kumaanisha kua imepata kibali....

Anyway muda utaongea nitafurahi pia kuona Simba na Yanga zote zikifanya mabalaa kimataifa..
 
Napenda(ga) Sana kusoma mada zako mkuu, lakini Kwa macho ya Rohoni naona Yanga imefungua njia ya kufanya makubwa kimataifa ndo maana hata jezi ilienda kuzinduliwa nje ya nchi (ikulu) hii ni kumaanisha kua imepata kibali....

Anyway muda utaongea nitafurahi pia kuona Simba na Yanga zote zikifanya mabalaa kimataifa..
Kilimanjaro ni Mamlaka ya Juu kuliko zote juu ya uso wa dunia
 
Back
Top Bottom