Baada ya mchakato wa Yanga kuwa kampuni kupitishwa na Serikali, sasa timu itakuwa 51% inamilikiwa na wanachama na 49% inamilikiwa na muwekezaji/wawekezaji.
Binafsi ninatarajia kuona yafuatayo;
1. Yanga ikiishi kwenye kivuli cha Simba kwa kufuata nyayo zilezile za Simba walimopita.
2. Thamani...