Licha ya kufanya makubwa Tanzania, kampuni ya mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, yaahidi kufanya zaidi na zaidi!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,498
113,602
Wanabodi,

Naomba nianze na facts:

1. Japo Tanzania, tangu tupate uhuru, tuna miradi mingi mikubwa ya uwezekazi iliyoanzishwa, na kuna makampuni mengi yamewekeza Tanzania, hakuna uwekezaji wowote mkubwa, zaidi ya uwekezaji wa kampuni ya mafuta ya TotalEnergies, kupitia mradi wake wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga nchini Tanzania, huu ndio mradi wenye thamani kubwa kuliko mradi mwingine wowote nchini Tanzania kwa sasa.

2. Japo kuna makampuni mengi yanayotoa huduma za mafuta, na vituo vingi vya mafuta, kampuni ya mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, ndio kampuni inayoongoza kwa kuwa na vituo vingi vya mafuta, ambapo mpaka sasa, ina vituo zaidi ya 100 vilivyotapakaa nchi nzima, tena vituo vya TotalEnergies, sio viko maeneo ya mijini tuu, viko hadi vijijini, siku moja nilikuwa maeneo ya vijijini huko Marangu, Moshi, nikashangaa kukutana na kituo cha kisasa cha TotalEnergies, pale kijijini Somanga!

3. Japo kuna aina mbalimbambali za mafuta ya petroli na dizeli, kuna Super, Regular, Unleaded, etc, mafuta yanayouzwa kwenye vituo vya TotalEnergies, ndio mafuta yanayoongoza kwa ubora, kutokana ma mafuta ya Total, kuongezwa kiambata cha TotalEnergies Excellium ambacho kinafanya mambo makubwa kwenye gari yako!

Hivyo, licha ya hii kampuni ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, kufanya makubwa haya, sasa imeahidi kufanya makubwa zaidi Tanzania.

Karibu unisome hapa
Nipashe Story- Event 3.jpg

Paskali.
 
Sawa bro. Ila wengine tunashangaa na kujiuliza tu. Twasikia tumeingiza mamilioni ya dola kwenye utalii. Mamilioni ya dola kwenye madini. Mamilioni ya dola kwenye.

Mbona hayo mamilioni ya dola haya transform maisha yetu?

Kila bidhaa ghali. Maisha yazidi kuwa magumu. Hayo mamilioni ya dola hivi anafaidi nani hasa bro??!
 
Hata wewe Paskal ukiwa na pesa kwenu usukumani jenga filling station muone mwenye deal lake hapo total wa kupasisha vituo, kituo chako kitaitwa total na watakusupply wao mafuta.

Nataka nikuweke sawa tu kama huelewi hili kwa sababu ya uzito wa bahasha ya kaki ni kwamba hao Total kama kampuni unaweza kukuta katika vituo vyote hivyo wao wanamiliki vituo 10 vilivyobaki ni deal za wahindi na wajanja wa mjini.

By the way kwa sasa nadhani mafisadi wa Lake oil wanaweza wakawa ndio wanaongoza kwa kuwa na hizi filling station kwa wingi, maana zimeota kama uyoga na hii wa awamu ya 6 hawa jamaa ni untouchable.
 
Sijaona hayo makubwa , takwimu, ajira, ukwasi, Kodi kwa serikali , ubia na Watanzania...
 
Sawa bro. Ila wengine tunashangaa na kujiuliza tu. Twasikia tumeingiza mamilioni ya dola kwenye utalii. Mamilioni ya dola kwenye madini. Mamilioni ya dola kwenye.

Mbona hayo mamilioni ya dola haya transform maisha yetu?

Kila bidhaa ghali. Maisha yazidi kuwa magumu. Hayo mamilioni ya dola hivi anafaidi nani hasa bro??!
Inafaidi nchi
 
Wanabodi,

Naomba nianze na facts:

1. Japo Tanzania, tangu tupate uhuru, tuna miradi mingi mikubwa ya uwezekazi iliyoanzishwa, na kuna makampuni mengi yamewekeza Tanzania, hakuna uwekezaji wowote mkubwa, zaidi ya uwekezaji wa kampuni ya mafuta ya TotalEnergies, kupitia mradi wake wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani, Tanga nchini Tanzania, huu ndio mradi wenye thamani kubwa kuliko mradi mwingine wowote nchini Tanzania kwa sasa.

2. Japo kuna makampuni mengi yanayotoa huduma za mafuta, na vituo vingi vya mafuta, kampuni ya mafuta ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, ndio kampuni inayoongoza kwa kuwa na vituo vingi vya mafuta, ambapo mpaka sasa, ina vituo zaidi ya 100 vilivyotapakaa nchi nzima, tena vituo vya TotalEnergies, sio viko maeneo ya mijini tuu, viko hadi vijijini, siku moja nilikuwa maeneo ya vijijini huko Marangu, Moshi, nikashangaa kukutana na kituo cha kisasa cha TotalEnergies, pale kijijini Somanga!

3. Japo kuna aina mbalimbambali za mafuta ya petroli na dizeli, kuna Super, Regular, Unleaded, etc, mafuta yanayouzwa kwenye vituo vya TotalEnergies, ndio mafuta yanayoongoza kwa ubora, kutokana ma mafuta ya Total, kuongezwa kiambata cha TotalEnergies Excellium ambacho kinafanya mambo makubwa kwenye gari yako!

Hivyo, licha ya hii kampuni ya TotalEnergies Marketing Tanzania Limited, kufanya makubwa haya, sasa imeahidi kufanya makubwa zaidi Tanzania.

Karibu unisome hapa
View attachment 2033250
Paskali.
Kabla ya kusifia sana naomba unipe faida ya hicho kiambata excellium kwenye mafuta?? Na mafuta yakikikosa yanakosaje ubora?
Mkuu Gallius , karibu pande hizi

P
 
Back
Top Bottom