kampuni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya TBL yakubali kufuata maelekezo ya Serikali kununua shayiri nchini

    KAMPUNI YA TBL YAKUBALI KUFATA MAELEKEZO YA SERIKALI Dodoma, Tanzania. Serikali imewahakikishia wakulima wa shayiri kupata soko la uhakika kwa kuiuzia moja kwa moja Kampuni ya Bia Tanazania TBL . Akizungumza baada ya kikao chake na viongozi wa TBL kilichohudhuriwa na Naibu Waziri wa...
  2. L

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya China yaanzisha kiwanda cha kutengeneza magari ya betri nchini Rwanda

    Kampuni ya China ya Tailing Electric Vehicle imeanzisha kiwanda cha kutengeneza pikipiki na baiskeli za magurudumu matatu nchini Rwanda kwa nia ya kuchangia kupunguza hewa chafu duniani na kukuza uchumi wa kijani. Kiwanda hiki kilichopo eneo la viwanda la Gahanga, wilayani Kicukiro kimeanza...
  3. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Napendekeza king’amuzi kimoja kwa kampuni zote za ving’amuzi

    Kwahiyo ukiwasha king’amuzi hicho itakuja menu ya kampuni unayotaka kuangalia, utachagua either Dstv, Startimes, Azam, Zuku, Digitek nk; na pia endapo kampuni nyingine yeyote itataka kujiunga kuongezwa kwenye menu, inafanyika software update ya kuiongeza automatically unapokiwasha king’amuzi...
  4. Tempus Fugit

    JamiiForums Tanzania Yajue mambo matano (5) yanayoweza kufanya kampuni yako ifutwe na mamlaka nchini Tanzania

    Mnamo mwaka 2019 Tanzania ilifanya marekebisho ya sheria yake ya Makampuni ya mwaka 2002 na kuleta mambo kadhaa mapya. Marekebisho hayo yaliletwa na sheria ya “The written laws (Miscellaneous Amendments) (No.3) Act, 2019" Kifungu cha 10 cha sheria hii kilileta kifungu kipya cha 400A katika...
  5. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Walter Elias Disney: Baba wa filamu za animation na mwanzilishi wa kampuni maarufu duniani ya 'Disney'

    Walter Elias Disney Alizaliwa Chicago 1901, Disney alianza mapema sana kuvutiwa na maswala ya uchoraji. Aliingia kwenye madarasa ya sanaa ya michoro waksti wa utoto wake na alipotimiza miaka 18 alifanikiwa kupata kazi aliyokuwa kama commercial illustrator. Alihamia California mapema miaka ya...
  6. kmbwembwe

    JamiiForums Tanzania Hivi tungekodi kampuni ya Uingereza kuchunguza makinikia tungejua tulichojua?

    Ndugu zangu Watanzania, kuna watu bado hawajui au hawaamini kama ukoloni na ubeberu ni matokeo ya hila kubwa ya nchi za magharibi na raia wao ikiwepo marekani. Kuna ushirika mkubwa kati ya nchi za kibeberu na makampuni mbalimbali ya nchi hizo linapokuja suala la kuendelea kumiliki uchumi wa...
  7. Mukulu wa Bakulu

    JamiiForums Tanzania TPDC yaingia mkataba na Kampuni ya Uingereza ya Baker Botts kwa ajili ya ushauri wa Kisheria

    Zile zama za makampuni ya nje kupiga hela kwa mgongo wa ushauri zimerudi. TPDC imeingia mkataba ya kampuni ya Uingereza za Baker Botts kwa ajili ya ushauriwa kisheria kwenye mikataba ya gesi. Hivi Tanzania bado hatuna kampuni zenye uwezo wa kutoa ushauri wa kisheria hadi tutoe Ulaya...
  8. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Taratibu za kampuni kupata namba ya lipa kwa Mpesa/tigo pesa

    Habari wakuu. Nipo mbali na ofisi za hii mitandao. Naomba kujua taratibu za kampuni kupata namba za lipa kwa mpesa/tigopesa. Natanguliza shukrani.
  9. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Karibuni tujadli kuhusu zabuni

    Habari za weekend; Kwa wali wanaosalia najua mmewahi kumuomba Mungu awapatie Mkate wenu wa Kila siku. Leo nataka tuzungumzie kuhusu TENDER au kwa Kiswahili TENDA.Tenda huwa zinakuja kwa lugha tofauti kama vile INVITATION TO TENDER,EXPRESSION OF INTERESTS,REQUEST FOR PROPOSAL,REQUEST FOR...
  10. Gabriel minde

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya udereva either kwenye kampuni au mtu binafsi

    Naitwa Gabriel minde natokea dar es salaam Nina uzoefu na kazi ya udereva natafuta kazi ya udereva leseni yangu class A,A2,B,D,E,F Nina uzoefu na hii kazi nipo tayari kufanya kazi kwenye kampuni au mtu binafsi, naombeni kazi wakuu namba yangu hii apa 0689090019 nipo tayari kufanya kazi
  11. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Kampuni inakufaje? Insolvency and Bankruptcy

    Habari, Leo natka nilete mada ndogo ndani ya mada ndogo Katika media tumewahi kukutana na maneno Insolvent na Bankruptcy. Pia kama ni mfanya biashara umewahi kusikia pia neno KUFILISIKA au KUFILISIWA au KUFILISI. Umewahi pia kusikia mali za kampuni zikipigwa mnada au kampuni kuwekwa chini ya...
  12. BilioneaPATIGOO

    JamiiForums Tanzania Kampuni gani nzuri ya mabasi ya kwenda sehemu hizi?

    Mpanda au Katavi, tushirikishane kampuni gani ya basi zuri la kwenda mikoa/wilaya hizo kutokea mkoa wa Dar es Salaam. Natanguliza shukrani.
  13. Ene magari

    JamiiForums Tanzania Dereva wa Uber na Bolt natafuta gari la mkataba

    Kwa jina Naitwa Ernest ni dereva Uber na Bolt mwenye uzoefu katika kazii hii nina leseni yenye madaraja yote nilikuwa natafutaa Gari ya kazi iwe yenye private namba Au commercial kwa ajili ya kazi ' Kwa mawasailiano zaidi Ernest : +255628729873 Naomba ushirikiano wenu
  14. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Afghanistan: Mawasiliano ya Simu Kupatikana Saa Saba Kwa Siku, Kampuni Zaamrishwa

    Taliban ambao wanaendelea kuiongoza Afghanistan wameweka sheria kali za matumizi ya simu kwa watu wa kaskazini magharibi mwa nchi hiyo ambapo huduma ya simu itapatikana kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa tisa mchana. Hatua hiyo imechukuliwa baada ya Wataliban kujua kuwa simu hutumika...
  15. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Samia azindua kiwanda cha kampuni ya Kenya kule Zanzibar

    Mama endelea kuboresha uhusiano kabla miaka kumi yako kuisha aje mchawi mwenye majungu na kuvuruga yote...... A Kenyan company is setting up a $51.3 million (about Sh115 billion) factory in Zanzibar as it targets to get a pie of the world’s $920 billion textile market. The global textile...
  16. C

    JamiiForums Tanzania Naunga Mkono Betting, Kampuni za Kamali, Endeleeni Kuja kwa Wingi Tanzania!

    Taifa kama taifa ni LAZIMA litafute namna ya kuchukua pesa za wanaobet ili kuziingiza kwenye mfumo unaoleweka wa kiuchumi!!! Tukitumia mfano wa mtu anayefahamika na wengi kwa mfano, Diamond Platnumz, hivi karibuni amezindua kampuni ya betting... yaani kampuni ya watu kucheza kamali! Kwa hili...
  17. kidadari

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu kampuni ya upimaji na uuzaji wa viwanja ya Cdqlink investment company

    Nimeifuatilia hii kampuni kwa kweli inauza viwanja kwa bei rafiki na wanaruhusu kulipa kidogokidogo ila changamoto inakuja kwenye page yao wanayotumia ya instagram wamelimit coments kiasi wateja hawawezi coments zaidi ya kuwasiliana kwa namba za simu tuu. Kampuni inajitanabaisha kua...
  18. Upepo wa Pesa

    JamiiForums Tanzania Je, kampuni mbili zinaweza kusajiliwa chini ya kampuni moja?

    Naomba mnieleweshe. Kama mtu anataka fungua kampuni A na B ina maana lazima awe na bank acc mbili na kila moja ifanye kazi kivyake. Je, inawezekana hizi kampuni mbili zika sajiliwa chini ya kampuni moja? Mfano badala ya kuwa na kampuni A na B ukawa na kampuni C na hii kampuni C iwe na hizo...
  19. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Disruptive Subdermals nchini Sweden yatengeneza chip itakayowezesha kuhifadhi taarifa za chanjo ya Corona ndani ya miwili wa binadamu

    Sweden, Kampuni ya DSurptive Subdemals nchini Sweden imetengeneza chip itakayoingizwa mwilini mwa binadamu ili kuweza kuhifadhi na kuhakiki taarifa za muhusika kuhusu kupokea chanjo dhidi ya ugonjwa wa Covid-19. Teknolojia hiyo inatumia NFC, ambayo pia hutumika kwenye mifumo mbali mbali ya...
  20. B

    JamiiForums Tanzania Inatafutwa kampuni ya kununua yenye leseni ya clearing and forwarding

    Habari wakuu. Kuna jamaa yangu amekaa sana nje, shughuli aliyokuwa anafanya huko nje ni ya clearing and forwarding, Ila kutokana na huu ugonjwa shughuli zimepoa sana. Anategemea kurudi nchini hivi karibuni, na kuendelea na clearing and forwarding. Anatafuta kampuni ya kununua isiyokuwa na...
Back
Top Bottom