The Government has allocated Ksh.1.9 billion for the purchase of locally assembled desks to both public primary and secondary schools.
In a notice published in the local dailies on Tuesday, the Ministry of Education invited interested local juakali workshops and artisans to apply for the job to...
Wafuasi na wapenzi wa CHADEMA. Kwa maoni yangu binafsi kwasasa hapa nchini wafuasi na wapenzi wa CHADEMA ndio kundi la watu wenye Hasira kali zaidi.
Watu hawa wamegawanyika sehemu mbili
1: Tabaka la Uongozi wa CHADEMA. Viongozi wa hiki chama ni watu wenye Hasira kali Sana, Chuki, husuda...
Tangazo la coca cola kwenye kombe la dunia la mwaka 2010 (sina hakika sana)
Jamaa (mchepuko) yuko ndani na mke wa mtu, mwenye mke karudi ghafla, akajificha kwenye kabati la nguo, mwenye mke akakaa chumbani anaangalia mpira, Goli limefungwa jamaa akaanza kushangilia, mara gafla anaona mtu...
Mabinti ambao wako Dakika za majeruhi wanakaribia kuinusa miaka 30 wana kiu kali ya ndoa, ukiwa naye kimahusiano hata kama mahusiano mabichi yana wiki mbili ataanza kauli za kuhusu ndoa, wako desperate sana. Yuko tayari kukupiga hata limbwata akuteke.
Nime sikitishwa sana na adhabu ya kuzima mitambo na kutofanya biashara kwa muda wa siku saba yaani wiki moja kwa kile kilicho elezwa kuwa mlitangaza habari za kweli lakini hamkuwa na mamlaka ya kutangaza. Poleni sana. Habari zile zili tangazwa na vyombo vingine na mitandao ya kijamii na zilitoka...
Katibu wa CCM wilaya ya Tabora mjini ndugu Mrema amemtaka mkuu wa wilaya hiyo mh Komanya kuacha mara moja tabia ya kuwavamia wajasiriamali akiwa na polisi na kuwataka wanunue vitambulisho kwa lazima.
Mrema amesema wamempa onyo DC Komanys kwa sababu kila wakimwita kwenye vikao anapiga chenga...
Kuna watu watasema " oooh mods Uzi huu upelekeni jukwaa la intelligence kwa sababu Una madini mazito Sana" Haya Bana.
Nianze kwa kusema Singo mazas sio wabaya kihivyo Kama tunavyo jaribu kutaka Ku uaminisha Uma.
Pili niombe radhi kwa Singo mazas wote walio kwazika na threads zangu za nyuma...
Tundu Lisu yuko kila mahali, vitisho kila kona lakini anashindwa vitu vidogo sana kama tu kusimamia na kuhakikisha vinakwenda sawa, akina Halima Mdee wapo kila mahali kila siku Mahakamani kujifanya Wanasheria sasa kwa nini hawawasaidii wagombea wao?
Wakati mwingine nafikiri chadema hata...
Wajumbe heshima kwenu, let me declare my interest sio mtu wa kupenda totoz za mtandaon juzi kati kuna manzi moja nilikutana nayo mtandaon FB (old is good) ni wa moto sana yaani picha alizokuwa anapost huwezi ukamuangalia kwa nusu dk, lazima ale muda wako kidogo, baada ya kuzama na mwonekane wake...
Binafsi si Mwanachama cha chama chochote cha siasa ila napenda mabadiliko ya kimfumo na harakati chanya. Sipendi kunyamazia upuuzi popote pale.
Huyu mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo inaonekana kama vile amekalia kadi ya CCM. Ni mara ya pili sasa anapokea Wahuni wanaojitambulisha kua ni wagombea...
Mimi ni mpenzi sana wa movie za wazungu napenda sana kuangalia..
Toka utoto wangu nilikua nikishika remote lazima nipitie chaneel za kizungu kuangalia kama kutakua na movie nzuri niangalia,
Nilipofika darasa la saba, nilianza kuangalia kila movie anayoitoa Dj Afro, jamaa ni anajua na siku zote...
Kwa wale waliowahi kutazama series ya Jumong hii ni sound track number 7, ni moja ya soundtrack kali wabongo wameicopy na kuitumia kwenye movie nyingi sana
Kwa waliotazama series ya Spartacus nadhani mtakuwa mnaikumbuka hii theme nadhani inaiwa Sura theme ni bonge la theme.
Hii utaikuta kwenye...
Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV.
Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani. ITV wakamzimia sauti.
Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi...
TAMTHILIA: CERTIFIED PERSON OF MY LIFE (CPL)
(MTU ALIYETHIBITISHWA KWA MAISHA YANGU)
MWANDISHI/MTUNZI: MANSHYNE
Email address: manshinef@gmail.com
instagram: @manshynee
Sehemu ya 01.
DARASANI:
Ilikua ni muda wa kipindi cha ujasiriamali kwa Wanafunzi wanaosomea kozi ya biashara. Lecturer...
Nadiriki kusema mwaka huu na mwaka kesho na kuendelea hakuna video itayokuja kuwa Kali zaidi ya hii ya Harmonize mpaka kesho.
Director hanscana ni muuaji mnoo yaani kitu kipo kama movie quality ni HD.
Story nzuri.
Huwezi amini location ni Manyara ,Babati
Japo audio sio nzuri ila hiki kichupa...
Habari Wadau,
Anahitajika mtu mwenye sifa zifuatazo:
Awe na uzoefu wa kuuza pombe kali (Spirits) walau boksi 2,000 kwa mwezi
Awe mwaminifu na muadilifu
Awe tayari kufanya kazi Singida, Dodoma na Rukwa
Awe na umri kati ya miaka 25-35
Kama una sifa zilizotajwa nitumie email kupitia...
Wagombea 60 wa ubunge jimboni Shinyanga Mjini wamepewa onyo kali baada ya kujihusisha na vitendo vya rushwa.
Katibu wa CCM mkoani Shinyanga amesema atalifutilia mbali zoezi la kura za maoni kama wagombea wataendeleza vitendo hivyo haramu vya kununua kura
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana...
Ni matumaini yangu mko poa. Ni ‘weekend’ sasa, muda ambao tunapata mapumziko, hivyo basi si vibaya kama tukipata wasaa wa kupakua na kutazama filamus kadhaa kwa ajili ya burudani na pia kujifunza.
Bila kupoteza muda, tuzame kwenye hizi hapa ambazo naamini hautajutia ukizipatia muda na bundle...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.