kali

  1. MK254

    Gov’t allocates Ksh.1.9 billion for purchase of school desks from jua kali artisans

    The Government has allocated Ksh.1.9 billion for the purchase of locally assembled desks to both public primary and secondary schools. In a notice published in the local dailies on Tuesday, the Ministry of Education invited interested local juakali workshops and artisans to apply for the job to...
  2. M

    Computer4Sale Laptop kali sana core i5 Dell inauzwa

    p
  3. Dam55

    Wapenzi wa CHADEMA ndio kundi la watu wenye hasira sana kwa sasa

    Wafuasi na wapenzi wa CHADEMA. Kwa maoni yangu binafsi kwasasa hapa nchini wafuasi na wapenzi wa CHADEMA ndio kundi la watu wenye Hasira kali zaidi. Watu hawa wamegawanyika sehemu mbili 1: Tabaka la Uongozi wa CHADEMA. Viongozi wa hiki chama ni watu wenye Hasira kali Sana, Chuki, husuda...
  4. olele

    Matangazo (advertisement) makali ya kwenye TV

    Tangazo la coca cola kwenye kombe la dunia la mwaka 2010 (sina hakika sana) Jamaa (mchepuko) yuko ndani na mke wa mtu, mwenye mke karudi ghafla, akajificha kwenye kabati la nguo, mwenye mke akakaa chumbani anaangalia mpira, Goli limefungwa jamaa akaanza kushangilia, mara gafla anaona mtu...
  5. Moto wa volcano

    Mabinti wanaoikaribia 30 wana kiu kali ya ndoa

    Mabinti ambao wako Dakika za majeruhi wanakaribia kuinusa miaka 30 wana kiu kali ya ndoa, ukiwa naye kimahusiano hata kama mahusiano mabichi yana wiki mbili ataanza kauli za kuhusu ndoa, wako desperate sana. Yuko tayari kukupiga hata limbwata akuteke.
  6. Tulimumu

    Poleni sana Clouds FM na TV kwa adhabu kali mliyo pewa

    Nime sikitishwa sana na adhabu ya kuzima mitambo na kutofanya biashara kwa muda wa siku saba yaani wiki moja kwa kile kilicho elezwa kuwa mlitangaza habari za kweli lakini hamkuwa na mamlaka ya kutangaza. Poleni sana. Habari zile zili tangazwa na vyombo vingine na mitandao ya kijamii na zilitoka...
  7. J

    CCM Wilaya ya Tabora yampa onyo kali Komanya kwa kuwatishia wajasiliamali na askari ili wanunue vitambulisho!

    Katibu wa CCM wilaya ya Tabora mjini ndugu Mrema amemtaka mkuu wa wilaya hiyo mh Komanya kuacha mara moja tabia ya kuwavamia wajasiriamali akiwa na polisi na kuwataka wanunue vitambulisho kwa lazima. Mrema amesema wamempa onyo DC Komanys kwa sababu kila wakimwita kwenye vikao anapiga chenga...
  8. LIKUD

    Msichana huyu Single Mother ana nyota kali sana. Juzi nimekutana naye jana nimeingiza sales Milioni 27 dukani kwangu Kariakoo

    Kuna watu watasema " oooh mods Uzi huu upelekeni jukwaa la intelligence kwa sababu Una madini mazito Sana" Haya Bana. Nianze kwa kusema Singo mazas sio wabaya kihivyo Kama tunavyo jaribu kutaka Ku uaminisha Uma. Pili niombe radhi kwa Singo mazas wote walio kwazika na threads zangu za nyuma...
  9. Barbarosa

    Wagombea wa CHADEMA hawajui kujaza Fomu za Uchaguzi, hii kali

    Tundu Lisu yuko kila mahali, vitisho kila kona lakini anashindwa vitu vidogo sana kama tu kusimamia na kuhakikisha vinakwenda sawa, akina Halima Mdee wapo kila mahali kila siku Mahakamani kujifanya Wanasheria sasa kwa nini hawawasaidii wagombea wao? Wakati mwingine nafikiri chadema hata...
  10. Mndengereko

    Mtoto mkali alafu anauza dawa ya nguvu za kiume

    Wajumbe heshima kwenu, let me declare my interest sio mtu wa kupenda totoz za mtandaon juzi kati kuna manzi moja nilikutana nayo mtandaon FB (old is good) ni wa moto sana yaani picha alizokuwa anapost huwezi ukamuangalia kwa nusu dk, lazima ale muda wako kidogo, baada ya kuzama na mwonekane wake...
  11. Prof Koboko

    CHADEMA acheni kulala, chukueni hatua kali sana dhidi ya uhalifu huu wa kihuni

    Binafsi si Mwanachama cha chama chochote cha siasa ila napenda mabadiliko ya kimfumo na harakati chanya. Sipendi kunyamazia upuuzi popote pale. Huyu mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo inaonekana kama vile amekalia kadi ya CCM. Ni mara ya pili sasa anapokea Wahuni wanaojitambulisha kua ni wagombea...
  12. GENTAMYCINE

    Hadi Kesho nisipoona Clouds Media Group, MCT, TCRA na Serikali ( Wizara ) husika vimemchukulia hatua Kali Mtangazaji Adam Mchomvu nitawadharau mno

    Hatuwezi kumuacha Mpuuzi Mmoja kwasababu tu ya Mibange yake na Malezi yake ya hovyo hovyo atuchafulie Tasnia yetu nzima nchini Tanzania.
  13. Surya

    Series (Hollywood series) kali za kuangalia

    Mimi ni mpenzi sana wa movie za wazungu napenda sana kuangalia.. Toka utoto wangu nilikua nikishika remote lazima nipitie chaneel za kizungu kuangalia kama kutakua na movie nzuri niangalia, Nilipofika darasa la saba, nilianza kuangalia kila movie anayoitoa Dj Afro, jamaa ni anajua na siku zote...
  14. Nafaka

    List Ya Movie Sound track Kali ambacho zinaishi

    Kwa wale waliowahi kutazama series ya Jumong hii ni sound track number 7, ni moja ya soundtrack kali wabongo wameicopy na kuitumia kwenye movie nyingi sana Kwa waliotazama series ya Spartacus nadhani mtakuwa mnaikumbuka hii theme nadhani inaiwa Sura theme ni bonge la theme. Hii utaikuta kwenye...
  15. M

    ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

    Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV. Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani. ITV wakamzimia sauti. Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi...
  16. F

    Tamthilia kali kuliko zote bongo. Hii ndiyo kiboko ya bongo movie, lazima uipende

    TAMTHILIA: CERTIFIED PERSON OF MY LIFE (CPL) (MTU ALIYETHIBITISHWA KWA MAISHA YANGU) MWANDISHI/MTUNZI: MANSHYNE Email address: manshinef@gmail.com instagram: @manshynee Sehemu ya 01. DARASANI: Ilikua ni muda wa kipindi cha ujasiriamali kwa Wanafunzi wanaosomea kozi ya biashara. Lecturer...
  17. Its Pancho

    Hakuna video kali mpaka kesho kama ya Harmonize

    Nadiriki kusema mwaka huu na mwaka kesho na kuendelea hakuna video itayokuja kuwa Kali zaidi ya hii ya Harmonize mpaka kesho. Director hanscana ni muuaji mnoo yaani kitu kipo kama movie quality ni HD. Story nzuri. Huwezi amini location ni Manyara ,Babati Japo audio sio nzuri ila hiki kichupa...
  18. English Learner

    Anahitajika Afisa Masoko - Pombe Kali

    Habari Wadau, Anahitajika mtu mwenye sifa zifuatazo: Awe na uzoefu wa kuuza pombe kali (Spirits) walau boksi 2,000 kwa mwezi Awe mwaminifu na muadilifu Awe tayari kufanya kazi Singida, Dodoma na Rukwa Awe na umri kati ya miaka 25-35 Kama una sifa zilizotajwa nitumie email kupitia...
  19. J

    GE2020 Kahama Mjini wanaCCM 60 wanaogombea Ubunge wapewa onyo kali kwa kujihusisha na rushwa

    Wagombea 60 wa ubunge jimboni Shinyanga Mjini wamepewa onyo kali baada ya kujihusisha na vitendo vya rushwa. Katibu wa CCM mkoani Shinyanga amesema atalifutilia mbali zoezi la kura za maoni kama wagombea wataendeleza vitendo hivyo haramu vya kununua kura Chanzo: ITV habari Maendeleo hayana...
  20. SteveMollel

    Movies kali za weekend hii (Session 06)

    Ni matumaini yangu mko poa. Ni ‘weekend’ sasa, muda ambao tunapata mapumziko, hivyo basi si vibaya kama tukipata wasaa wa kupakua na kutazama filamus kadhaa kwa ajili ya burudani na pia kujifunza. Bila kupoteza muda, tuzame kwenye hizi hapa ambazo naamini hautajutia ukizipatia muda na bundle...
Back
Top Bottom