kali

  1. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Jack Daniel, mtengenezaji wa pombe kali kilisababishwawna hasira.

  2. Magari ya Biashara

    JamiiForums Tanzania House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu

    Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini Ina vyumba vitatu kimoja master Jiko, sebule, dinning na public toilet Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000 Hati miliki mkononi Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283...
  3. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mipira ya kondomu yenye hitilafu yazua hisia kali Zambia

    Mbunge mmoja wa Zambia amelinganisha usambazi wa mipira ya kondomu nchini humo na glavu kutokana na bidhaa hizo mbili kushindwa kuafikia viwango vya usalama na ‘mauaji ya kimbari’. ‘’Kile ambacho wizara ya afya inakifanya ni mauaji ya kimbari'' mbunge Mwansa Mbulakulima aliambia BBC. Unapoweka...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Nyimbo mpya ya Harmonize(wapo) ni kali sana

    Goood guuud safi sana kali aiseee
  5. Tripo9

    JamiiForums Tanzania Chimbo la suti kali Kariakoo jamani. Kwa bei poa, nipendeze na mimi

    Nataka nika point kitu kikali, kitu cha suti kwa bei nzuri lakini. Chimbo gani Kariakoo waungwana?
  6. Millionaire Mindset

    JamiiForums Tanzania Karibu kwenye njia ya mwendokasi kuelekea utajiri na mafanikio, huku ni spidi kali kama unaogopa basi shika

    Njia ya mwendokasi ni njia spidi kali, kuingia njia hii lazima kwanza uachane na hofu, ukihofu mara nyingi utakanyaga pedali ya breki bila sababu, na spidi yako itapungua na utapitwa na kuachwa nyuma. Njia hii ina changamoto nyingi, na ndiyo maana watu wengi wanaamua kupita kwenye njia ya mguu...
  7. Mchochezi

    JamiiForums Tanzania Homeland Vs The Blacklist ipi kali hapo?

    Wakuu sijawahi kutazama hizo series, na hapa sasa hivi ninazo zote mbili, naombeni ushauri wenu nianze na series ipi?
  8. D

    JamiiForums Tanzania Njaa ikiwa kali uzalendo unapungua

    Hadi vijijini watu hawajali tena kuhusu miundo mbinu. Wizara husika chukueni hatua kwa haraka mkichelewa mtavuna mabua.
  9. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Rekodi kali za dunia zilizowekwa na Waafrika. Shikamoo SWESWE

    Sweswe Mungu anakuona ujue
  10. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Ingawa ni wakati mgumu wa hisia kali za majonzi na simanzi, Wamama jitahidini kudhibiti maneno yenu mbele ya waombolezaji

    H.abari za wakati huu kaka na Dada zangu wote wa humu JamiiForums. Ndugu zangu watanzania hususan akina mama na dada zangu; Wataalam wa saikolojia wanakwambia kwamba binadamu mtu mzima huwa mkweli wa maneno yake anapokuwa katika hali kuu mbili. Kwanza akiwa amelewa pombe, Pili akiwa mwenye...
  11. Sibonike

    JamiiForums Tanzania Pisi kali - Nini maana yake?

    Pisi kali lina trend sana sasa hivi. Nini hasa maana yake? Mwanamke mzuri? Huenda kila mtu anaelewa kivyake. Ingawa kuna wadada wanajiita na kujisifu kuwa wao ni Pisi kali, kuna wengine wanaona kuwaita Pisi kali ni kuwadharau na kuwadhalilisha Wewe una maoni gani?
  12. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Kuna uhusiano gani kati ya wauza alkasusu na itikadi kali ya kidini?

    Sijawahi kuona mtu ambaye anauza alkasusu akiwa amevaa suti, au jezi, au mavazi mengine yoyote. Wote huvaa ki Aswar Sunnah, suruali fupi na kanzu. Wanavaa sare. Je, kuna uhusiano gani kati ya wauza alkasusu na itikadi kali za dini? Je, hawa wauza alkasusu wanafanya biashara au kuna majukumu...
  13. F

    JamiiForums Tanzania IGP Sirro, yule askari aliyefanya udhalilishaji mkubwa wa kijinsia dhidi ya Ester Matiko achukuliwe hatua kali za kisheria na za kijeshi

    IGP, Habari za Mtwara. Nafikiri umeiona Clip inasambaa ya Askari wako akifanya udhalilishaji mkubwa wa kijinsia wakati wa kampeni - ameonekana akimdhalilisha waziwazi kabisa Ester Matiko Mgombea Ubunge jimbo la Tarime mjini wakati wa kampeni za uchaguzi Mkuu. Kwa sababu wewe IGP umesema wazi...
  14. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Vita ya Tundu Lissu vs Magufuli na Vita ya Kambona vs Nyerere, ipi Kali?

    Jaribio la mapinduzi la mwaka 1964 lilihusishwa kwa sehemu kubwa na Oscar Kambona. Hapa wakituhumiwa Kambona na Lusinde kuvunja kitengo maalum cha intelijensia kilichoitwa SPECIAL BRANCH na kujaza UVCCM (wakati huo TYL) 1 ambao hawakuwa na mafunzo na ujuzi wowote hivyo kukwamisha upatikanaji wa...
  15. luangalila

    JamiiForums Tanzania Wakazi wa Mikocheni, poleni kwa Mvua

    Habarini za Usiku, Mvua zinazo shambulia Jiji la DSM linashambulia mitaa mbali mbali ya jiji, leo nilipita mitaa ya MIKOCHENI kwa WARIOBA nilichokishuhudia pale leo ni wazi serikali inapaswa ichukue jambo Leo kwa warioba kuna bajaji ilisombwa na maji kutoka barabarani ikapelekwa ng'ambo ya...
  16. GLOBAL CITIZEN

    JamiiForums Tanzania Pesa bhana, kama Mwanamke Mzuri vile (Pisi Kali) usipompa attention anakukimbia

    Kwanza kabisa napenda kuwasalimu Jf family. Ni tumaini langu u buheri wa afya. Kama sivyo nakuombea upate afya njema ili uendelee na kazi zako zakusaka noti. Leo nataka nikuonyeshe jambo kuhusu pesa na pengine itakusaidia kubadili fikra zako vile unavyoiwazia pesa. Kwa wanaosoma nyuzi...
  17. E

    JamiiForums Tanzania Hili ndio litakua hiphop kali na lenye beat funiko mwaka 2020

    Haina ubishi wakuu hakika hili ndio litakua hiphop kali na lenye beat funiko mwaka 2020. Beat lake tu ni hatari. Kama una sabufa lako jirani hapo jaribu kuconnect utasikia bonge la dundo.
  18. E

    JamiiForums Tanzania Hili ndio song kali kuliko masong yote Tanzania kwasasa

    Wakuu kiukweli tukubali tukatae hili ndio song Kali kuliko yote Tanzania kwasasa. Ukilitizama hili song unatamani uendelee kutazama tu.
  19. Prof Koboko

    JamiiForums Tanzania GE2020 IGP Simon Sirro, mchukulie hatua kali OCD wilaya ya Hai

    Ni wazi kabisa kwamba huyu OCD amelichafua na kulidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana Jeshi la polisi nchini. Haiwezekani kiongozi ambaye ni well trained kwenye maduka ya kijeshi anaongea ujinga kiasi hicho. Polisi ni kazi ya shurba siku zote, ukitaka kuifanya upendavyo wewe utamaliza watu. Ni...
  20. E

    JamiiForums Tanzania Ramani kali ya nyumba ya kuishi

    Habari za leo wakuu, Kama nilivyo ahidi kwamba bado naendelea na mradi wa uchoraji wa ramani. Ambapo nimefanikiwa kuchora ramani za nyumba 20 mpaka sasa. Na hii ni moja ya nyumba moja ambayo naendelea kuipamba zaidi.
Back
Top Bottom