kali

  1. katoto kazuri

    JamiiForums Tanzania Zuchu anajua kuimba kuliko Alikiba?

    Jamani nashangaa kuona hili hivi mnasema alikiba hajui kuimba kuliko zuchu? nyimbo ya alikiba salute ya mwezi huu imekata vizuri tu. na hii ya bibie inaitwa nyumba ndogo kazi kwenu nani mkali
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Zaidi ya watu 130 wapoteza maisha kutokana na joto kali Canada

    Watu zaidi ya 130 wamefariki nchini Canada kutokana na joto lisilo la kawaida kupiga ambalo limevunja rekodi ya kiwango cha joto. Polisi wa British Columbia wamepokea taarifa za vifo tangu Jumatatu, vifo vingi vikijumuisha wazee. Wanasema kiwango hicho cha joto kupiga katika eneo hilo...
  3. guzman_

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamani tuache masihara. Hizi pisi kali ni hatari kuliko Corona

    Leo juma3 ila mood yangu haiko sawa. Takribani miezi 8 nyuma nilifahamiana na kadada kamoja kamodo kazuri keupe ila takoless nikarusha nyavu baada ya kama wiki kakajaa. Baada ya kufahamiana sana ndo nikajua kalisoma IFM na ni yupo tu amepanga anafukuzia kazi mjini hapa. Inshort alikuwa kama...
  4. Bam1

    JamiiForums Tanzania MSaada: Mtoto wangu anapata joto kali

    Habari Doctors naomba msaada wenu, Mtoto wangu anaumwa siku ya sita mpaka sasa lakini anachoumwa ni joto kali la mwili hospital 🏥 wakipima anakuwa na 38.8 za joto na vipimo vyote wamepima Hana tatizo lolote. Lakini mama yake ana mimba ya miezi nane sasa watu wananiambia wenda ikawa joto la...
  5. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi awa Katibu Mkuu UVCCM

    Ni Wazi sasa hawa Vijana wamechoka. Kenani Kihongosi DC wa Iramba ateuliwa kuwa Katibu Mkuu UVCCM. Yule Msanii aliyekua Arusha wananchi wakamlalamikia. ==== Chama cha Mapinduzi (CCM) kimemteua Mkuu wa Wilaya ya Iramba, Kenani Kihongosi kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM)...
  6. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Video: Bibi atoa ya moyoni kuhusu unyanyasaji wa Ole Sabaya Arusha

    Hakika watu walisema kuwa wakizuiliwa kusema ya moyoni basi hata mawe yatasema. Leo hii jijini Arusha kina mama wameamua kuyatoa yaliyo jaa mioyoni mwao juu ya Sabaya.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Kutunza mazingira: Serikali ivilazimishe Viwanda vya Pombe kali kununua chupa zake zilizotumika

    Salam wakuu. Nimewaza sana kwanini viwanda vya pombe Kali (Distilled spirits) kama konyagi, kvant, vodka, dompo, wana design chupa nzuri sana tena zenye mionekano bomba. Lakini cha kushangaza chupa hizo baada ya matumizi hutelekezwa na kuwa kero kwa uchafuzi wa mazingira yetu. Sasa sijui...
  8. MKANDAHARI

    JamiiForums Tanzania Harufu kali ya mkojo wa mtoto inasababishwa na nini?

    Habari za humu ndani ndugu wataalam, Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu, nina mtoto wa mwaka na nusu, kuna kitu nimekinotisi kwenye mkojo wake. huwa mkojo wake unakuwa na harufu kali sana kuliko kawaida. Kwa mfano akijikojolea tu ndani ya dk zisizozidi 2 mkojo wake unatoa harufu kali sana...
  9. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: CHADEMA wafanya sherehe Mjini Morogoro

    Huu ndio uzuri wa Chama cha siasa kinachosimamia misingi ya haki, huwa mnajiachia tu kwa vile hakuna kulogana wala kinyongo. Hebu jionee mwenyewe.
  10. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Ndani ya uzalendo kuna imani kali ya mambo chanya

    Mimi leo nimefikiria nimegundua Ndani ya uzalendo kuna imani kali. Kuwa mzalendo sio rahisi kwasababu uzalendo umebebwa na imani kali ya mambo chanya. Chukulia mfano mzalendo wetu Martin Ruther Jr. Imani aliyokuwa nayo huyu jamaa kwa Marekani sio mchezo.
  11. Nduka Original

    JamiiForums Tanzania Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

    Mbunge Catherine Magige amekuwa akiishi na kijana Madoda, Ex TRA Staff ambae alikuwa mkulima na pia anamiliki kampuni ya mikopo. Madoda walitengana na mke wake waliezaa watoto watatu kabla ya umauti haujamkuta. Walianza maisha na mkewe na Mungu aliwabariki kufikia walipofikia. Walitofautiana...
  12. hooligan01

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa filamu za animations/cartoons (animated films)

    Kwa upande wangu mimi muvi za animation nilizokubali kuna: 1. How to Train ze Dragon 2. The Monsters 3. The Croods 4. Aladdin. Mimi nimeanza na hizo na wewe kama mdau wa animation ongezea basi. =========================================================================================== Public...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Miika Mwamba vs. Pfunk Majani: Nani alikuwa na biti kali?

    Hawa wote Wana asili ya uzungu uzungu, Kila mmoja alitengeneza hits nyingi, Ila pfunk alikuwa akisaidiwa na bizman kwa Sana , Sasa he Nani Alikuwa Mkali zaidi, nimesahau track nyingine lakini hizi ni baadhi Miika Mwamba 1.Mabinti wa Kitanga - misosi 2.Twenzetu - chegge 3.Wanok nok - mandojo 4...
  14. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Mashabikiwa wataka TFF waombe radhi na kuwarudishiwa Viingilio vya Mchezo wa Simba na Yanga ulioahirishwa

    Pisi kali huwa inakupa uhakika wa kuja mpaka mida ya kukaribia. Halafu dakika za mwisho kabisa inazingua bila kutoa sababu au kutoa sababu za kijinga. TFF walitupa uhakika wiki nzima mpaka leo asubuhi kuelelea mchana. Imekuja kuzingua dakika za majeruhi na haijatoa sababu kabisaaaaa. Pisi...
  15. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Haijawahi kutokea rap song kali Afrika kama ya Father Nelly

    Nimesikiliza hip hop zooote Tanzania,hakuna rap kali kama hii ngoma ya Fr Nelly. Huwa naiskiza mara moja kwa wiki kuitoa kasoro bado sijafanikiwa huu mwaka wa 3.
  16. B

    JamiiForums Tanzania Meli mbili Ziwa Nyasa zakumbwa na dhoruba kali

    3 May 2021 Matema Beach, Tanzania MELI ZA TANZANIA ZAKUMBWA NA DHORUBA KALI KTK ZIWA NYASA Kutoka Ziwa Nyasa meli mbili zinazomilikiwa na Mamlaka ya Bandari ya Tanzania zimekumbana na dhoruba kali inayoambatana na mvua kubwa. Meli ya abiria MV Mbeya II imepigwa na mawimbi makali jioni hii...
  17. Surya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamani wengine tuna hisia kali

    Kuna tukio leo limenitokea. ngoja nisimulie hapa nipate kujua kiundani, nimefanyiwa makusudi au bila kujua. Leo mida ya jioni nilikua maeneo fulani kitaa nipo na washikaji zangu tunapiga story, ilikua nje ya ukumbi wa Games (PlayStation) tulikua watatu tunapiga story tumekaa kwenye bench na...
  18. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Stereo Singasinga album yako kali sana, inabidi ujiongeze

    Moja kati ya wasanii wachache wa Hiphop nchi hii naoweza kukaa na kuwasikiliza ni Stereo aka Singasinga aka Chundabadi. Katoa album kali sana inaitwa Experience, naweza sema ni kati ya album kali sana za Hiphop ya kizazi hiki. Nachoshangaa ukienda YouTube hakuna wimbo uliofikisha views 100...
  19. Mlolongo

    JamiiForums Tanzania Kariakoo: Nimenunua Raba kali kinoma kwa 15,000/=. Madukani huwa naona zinauzwa 70,000/=

    Kariakoo baba lao. Nilikua nimeenda kununua Tende pale Msimbazi msikiti wa Idrisa kwa ajili ya iftar (kufuturisha). Sasa wakat naondoka nikapita mitaa ya katikati mule, nikaona meza moja Raba kali kinoma, zile wanaziiitaga Air Jordan, Nike, NBA snickers. Kuulizia bei zake akaanzia 20,000...
  20. ANT DRUGS

    JamiiForums Tanzania Majina ya movie kali

    Habari za weekend wakuu. Bila kupoteza mda naomba kujulishwa majina ya movie kali hasa zinazoelezea historia ya kweli either ya mapinduzi au historia tu ya kitu fulani.Pia naomba kujulishwa movie gani kali za kivita au ngumi. ASANTENI SANA. NB: MOVIE ZA KIJASUSI NAPENDA ZAIDI.
Back
Top Bottom