Mimi leo nimefikiria nimegundua
Ndani ya uzalendo kuna imani kali.
Kuwa mzalendo sio rahisi kwasababu uzalendo umebebwa na imani kali ya mambo chanya.
Chukulia mfano mzalendo wetu Martin Ruther Jr. Imani aliyokuwa nayo huyu jamaa kwa Marekani sio mchezo.
Mbunge Catherine Magige amekuwa akiishi na kijana Madoda, Ex TRA Staff ambae alikuwa mkulima na pia anamiliki kampuni ya mikopo. Madoda walitengana na mke wake waliezaa watoto watatu kabla ya umauti haujamkuta. Walianza maisha na mkewe na Mungu aliwabariki kufikia walipofikia.
Walitofautiana...
Kwa upande wangu mimi muvi za animation nilizokubali kuna:
1. How to Train ze Dragon
2. The Monsters
3. The Croods
4. Aladdin.
Mimi nimeanza na hizo na wewe kama mdau wa animation ongezea basi.
===========================================================================================
Public...
Hawa wote Wana asili ya uzungu uzungu, Kila mmoja alitengeneza hits nyingi, Ila pfunk alikuwa akisaidiwa na bizman kwa Sana , Sasa he Nani Alikuwa Mkali zaidi, nimesahau track nyingine lakini hizi ni baadhi
Miika Mwamba
1.Mabinti wa Kitanga - misosi
2.Twenzetu - chegge
3.Wanok nok - mandojo
4...
Pisi kali huwa inakupa uhakika wa kuja mpaka mida ya kukaribia. Halafu dakika za mwisho kabisa inazingua bila kutoa sababu au kutoa sababu za kijinga.
TFF walitupa uhakika wiki nzima mpaka leo asubuhi kuelelea mchana. Imekuja kuzingua dakika za majeruhi na haijatoa sababu kabisaaaaa.
Pisi...
Nimesikiliza hip hop zooote Tanzania,hakuna rap kali kama hii ngoma ya Fr Nelly. Huwa naiskiza mara moja kwa wiki kuitoa kasoro bado sijafanikiwa huu mwaka wa 3.
3 May 2021
Matema Beach,
Tanzania
MELI ZA TANZANIA ZAKUMBWA NA DHORUBA KALI KTK ZIWA NYASA
Kutoka Ziwa Nyasa meli mbili zinazomilikiwa na Mamlaka ya Bandari ya Tanzania zimekumbana na dhoruba kali inayoambatana na mvua kubwa.
Meli ya abiria MV Mbeya II imepigwa na mawimbi makali jioni hii...
Kuna tukio leo limenitokea. ngoja nisimulie hapa nipate kujua kiundani, nimefanyiwa makusudi au bila kujua.
Leo mida ya jioni nilikua maeneo fulani kitaa nipo na washikaji zangu tunapiga story, ilikua nje ya ukumbi wa Games (PlayStation)
tulikua watatu tunapiga story tumekaa kwenye bench na...
Moja kati ya wasanii wachache wa Hiphop nchi hii naoweza kukaa na kuwasikiliza ni Stereo aka Singasinga aka Chundabadi.
Katoa album kali sana inaitwa Experience, naweza sema ni kati ya album kali sana za Hiphop ya kizazi hiki.
Nachoshangaa ukienda YouTube hakuna wimbo uliofikisha views 100...
Kariakoo baba lao.
Nilikua nimeenda kununua Tende pale Msimbazi msikiti wa Idrisa kwa ajili ya iftar (kufuturisha).
Sasa wakat naondoka nikapita mitaa ya katikati mule, nikaona meza moja Raba kali kinoma, zile wanaziiitaga Air Jordan, Nike, NBA snickers. Kuulizia bei zake akaanzia 20,000...
Habari za weekend wakuu. Bila kupoteza mda naomba kujulishwa majina ya movie kali hasa zinazoelezea historia ya kweli either ya mapinduzi au historia tu ya kitu fulani.Pia naomba kujulishwa movie gani kali za kivita au ngumi.
ASANTENI SANA.
NB: MOVIE ZA KIJASUSI NAPENDA ZAIDI.
Wakali wa series mje na vyuma vikali vya moto hapa jf amkosekani tupeane.
Izo chini nsha zicheki ziko poa sana na binafsi nazielewa za mtindo huo zenye mwendelezo na sio za kuunga matukio kama 24 hrs.mseries za action kama izo na upelelez wa kusaka wahalifu like prison break hua zina nikosha...
Prof. J. Mzee wa Mitulinga leo ndani ya 360 amekili kurudi mchangani alikotoka baada ya kuiambia 360 kuwa mashabiki wake wakae mkao wa kula kwani zile singo zilikuwa cha mtoto. Profesa huyo ambaye hata historia yake ya shule haijulikani vizuri kama aliishia fomu foo au wapi amejinasibu kuleta...
Contempo.(hiden roof) ni mtindo mpya wa ujenzi wa nyumba Tanzania lakini wengi wanaishia kupata hasara kwasababu wanajenga bila kua na michoro ya kitaalamu hivyo zinaishia kuvuja.
Ili ujenge mtindo huu unatakiwa kwanza kuwasiliana na wataalamu wa ramani wakuandalie mchoro hutapata shida...
Naona binti huyu amekuwa sijui Rayvany mla watoto hajamuona.
Hivi anafanya mishe gani huyu mtoto kwa sasa. Ni binti ambaye hana skendo za kipumbavu kama wenzake
" Ni Tanzania tu TFF ndiyo imekuwa wapole ila kwa Kitendo alichofanya Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Fredrick Mwakalebela huku akijua tena Kikanuni tu the right channels za Kupeleka Malalamiko yake Hukumu aliyopewa ni halali yake kabisa *
" Kitendo cha Uongozi wa Yanga SC kujitokeza Kumtetea...
Mh. Rais amesema Wizara ya Tamisemi ina matumizi ya ovyo ya pesa za Serikali, yenyewe haikusanyi ni mwendo wa matumizi kwa kwenda mbele hivyo kamwagiza Waziri Jafo afuatilie vizuri matumizi ya wizara yake na kama akishindwa Basi asaidiwe(atumbuliwe)
Ushauri.
Mh Seleman Jafo jipange...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.