Wakuu naomba tushirikishane quotes kali kutoka bongo movies.
Jua unachojua, jua wanachojua na pia jua wasichojua"Jua unachojua, usichojua,jua wanaojua"-- Chafu tatu
Movie halisi ha watoto wa mtaa na kitaa, hawa si wa categorize kama Bongo Movie ila ni watanzania