Kama mke wako ni pisi Kali na anafanya kazi kwenye makao makuu ya halmashauri au kwa DC nakuapia wale vijana wa idara pendwa wakimtaka hachomoi

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,927
Wale vijana kwenye ile idara kwanza ni wapole na sio wazungumzaji Sana Ila vikao vyote top vya DC au DED wanakuwepo. Na huwa hawaongei Sana ni wakimya Ila wenye nguvu za kimamlaka hatari.

Kama mke ni pis Kali wakimtaka watamla tuuuu huwezi bisha. Kwanza wanafahamika kwa uwazi kutokana na shughuli za kila siku za kiserikali halafu kitengo Chao kinaogopewa kinyama halafu kwasababu wana hela chafu na wako smart aisee nkeo piskali itakuwa tu jamaa yangu.

Hayo ndio maisha.
 
Vile vijamaa vinatembea na pistol kwenye vigari vyao Sasa vialimu vya kike vinapokutana nao kwenye majukumu flanflan sio kushoboka huko Yani kuliwa ni 22/7.
Nimekusoma

Ila wanakutanaga na vyuma kuna wanaume

Wengine wakishajua kinguvu hawawezi wao
Wana mshtakia mungu

Kuna mtu alikuwa mzito alikuwa anajipigia mke wa jamaa tena kibabe dharau

Mme akasoteshwa,akaamua kukaa pembeni

Yule kigogo mpk leo mtu wa kukaa kitandani tu

Sijui nn alifanyiwa😂😂😂

Ova
 
Bila shaka hii ni id nyingine ya gentamycine
Wale vijana kwenye ile idara kwanza ni wapole na sio wazungumzaji Sana Ila vikao vyote top vya DC au DED wanakuwepo. Na huwa hawaongei Sana ni wakimya Ila wenye nguvu za kimamlaka hatar.
Kama mke ni pis Kali wakimtaka watamla tuuuu huwezi bisha. Kwanza wanafahamika kwa uwazi kutokana na shughuli za kila siku za kiserikali halafu kitengo Chao kinaogopewa kinyama halafu kwasababu wana hela chafu na wako smart aisee nkeo piskali itakuwa tu jamaa yangu.
Hayo ndio maisha.
 
Kulikon mkuu, saa kumi za usiku sasa hivi, uko kitandani unawaza vitu viwili
1. Idara pendwa
2. Pisi kali ya mtu kuliwa

Mkuu maisha mepesi sana if you take it easy, na maisha ni magumu sana if you realy complicate it

Sent using Jamii Forums mobile app
Wale vijana kwenye ile idara kwanza ni wapole na sio wazungumzaji Sana Ila vikao vyote top vya DC au DED wanakuwepo. Na huwa hawaongei Sana ni wakimya Ila wenye nguvu za kimamlaka hatar.
Kama mke ni pis Kali wakimtaka watamla tuuuu huwezi bisha. Kwanza wanafahamika kwa uwazi kutokana na shughuli za kila siku za kiserikali halafu kitengo Chao kinaogopewa kinyama halafu kwasababu wana hela chafu na wako smart aisee nkeo piskali itakuwa tu jamaa yangu.
Hayo ndio maisha.
Kuna mtu anafikishiwa ujumbe.
Kama Kuna mtu Ana namba ya simu ya baba wa Binti AMBAYE aliposwa na kijana aliyebondwa nyundo 30 Jana naomba anipe, niendeleze taratibu za ndoa
 
Back
Top Bottom