Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Wale vijana kwenye ile idara kwanza ni wapole na sio wazungumzaji Sana Ila vikao vyote top vya DC au DED wanakuwepo. Na huwa hawaongei Sana ni wakimya Ila wenye nguvu za kimamlaka hatari.
Kama mke ni pis Kali wakimtaka watamla tuuuu huwezi bisha. Kwanza wanafahamika kwa uwazi kutokana na shughuli za kila siku za kiserikali halafu kitengo Chao kinaogopewa kinyama halafu kwasababu wana hela chafu na wako smart aisee nkeo piskali itakuwa tu jamaa yangu.
Hayo ndio maisha.
Kama mke ni pis Kali wakimtaka watamla tuuuu huwezi bisha. Kwanza wanafahamika kwa uwazi kutokana na shughuli za kila siku za kiserikali halafu kitengo Chao kinaogopewa kinyama halafu kwasababu wana hela chafu na wako smart aisee nkeo piskali itakuwa tu jamaa yangu.
Hayo ndio maisha.