Jinsi ya kumsaidia mwanao kujifunza Cognitive Skills

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,480
5,504
Cognitive skills na mbinu/uwezo wa kutazama jambo/kupokea taarifa, kuitafakari, kufanya maamuzi kuhifadhi kwenye kumbukumbu na kuielewa. Ni kitu ambacho mtoto anapaswa kujifunza tangu akiwa na umri dogo na kuendelea nalo hadi anapokuwa mtu mzima.

Kadiri uwezo wako wa kujifunza,kuelewa,kufikiri na kufanya maamuzi ndio na nafasi yako ya kufanikiwa katika maisha inavykuwa kubwa. Kwa mujibu wa taarifa ya Benki ya Dunia ya Maendeleo ya Dunia ya Mwaka 2019. WDR 2019, cognitive skills ni moja kati ya mahitaji makubwa katika soko la ajira katika karne ya 21 na kuendelea.

Hivyo basi ni muhimu kuwekeza katika kuhakikisha kwamba watoto wetu wanakuwa na good cognitive skills and social bhavioural skills ila waweze kushindana na dunia katika karne ya 21.

Ili kumwezesha mwanao kuwa na skills hizi ni lazima ubadili mfumo wa malezi. Kwanza unapaswa kumfahamu mwanao tangu akiwa na umri mdogo na kuhakikisha unakuwa naye karibu katika kumsaidia kuelewa mambo na kujifunza.

Hakikisha mwanao anapata elimu nzuri, hasa early childhood education ikiwa ni pamoja na kumsaidia kujifunza skills hizi mapema. Kisha kutambua uwezo wake hakikisha unampa nafsi ya kujifunza mambo anuai na ku-explore mazingira yake in a good way.

Tambua kwamba katika soko la ajira lililopo mabadiliko yanakuja kila siku hivyo basi inabidi umuandae mwanao kuwa mwepesi kujifunza na kubadilika kulingana na mazingira ikiwa ni pamoja na kumwezesha kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi,kujiamini na kujithamini ili kumwezesha kushinda changamoto za maisha na kuepuka msongo.

Mjengee desturi ya kujifunza,kujisomea na kujieleza kwa ufasaha ikiwa ni pamoja na kumpa nafasi ya kujitetea na kujadiliana nae kuhus changamoto za kimaisha na kielimu ili kumwezesha kuwa za skills nzuri za kuchambua mambo.

Karibuni tujadili kwa pamoja na kwa namna gani kama taifa tunaweza kutumia uwezo na rasilimali zilizopo katika kuwawezesha watoto wetu kukua katika vipaji vyao.
 
Cognitive skills na mbinu/uwezo wa kutazama jambo/kupokea taarifa, kuitafakari, kufanya maamuzi kuhifadhi kwenye kumbukumbu na kuielewa. Ni kitu ambacho mtoto anapaswa kujifunza tangu akiwa na umri dogo na kuendelea nalo hadi anapokuwa mtu mzima.

Kadiri uwezo wako wa kujifunza,kuelewa,kufikiri na kufanya maamuzi ndio na nafasi yako ya kufanikiwa katika maisha inavykuwa kubwa. Kwa mujibu wa taarifa ya Benki ya Dunia ya Maendeleo ya Dunia ya Mwaka 2019. WDR 2019, cognitive skills ni moja kati ya mahitaji makubwa katika soko la ajira katika karne ya 21 na kuendelea.

Hivyo basi ni muhimu kuwekeza katika kuhakikisha kwamba watoto wetu wanakuwa na good cognitive skills and social bhavioural skills ila waweze kushindana na dunia katika karne ya 21.

Ili kumwezesha mwanao kuwa na skills hizi ni lazima ubadili mfumo wa malezi. Kwanza unapaswa kumfahamu mwanao tangu akiwa na umri mdogo na kuhakikisha unakuwa naye karibu katika kumsaidia kuelewa mambo na kujifunza.

Hakikisha mwanao anapata elimu nzuri, hasa early childhood education ikiwa ni pamoja na kumsaidia kujifunza skills hizi mapema. Kisha kutambua uwezo wake hakikisha unampa nafsi ya kujifunza mambo anuai na ku-explore mazingira yake in a good way.

Tambua kwamba katika soko la ajira lililopo mabadiliko yanakuja kila siku hivyo basi inabidi umuandae mwanao kuwa mwepesi kujifunza na kubadilika kulingana na mazingira ikiwa ni pamoja na kumwezesha kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi,kujiamini na kujithamini ili kumwezesha kushinda changamoto za maisha na kuepuka msongo.

Mjengee desturi ya kujifunza,kujisomea na kujieleza kwa ufasaha ikiwa ni pamoja na kumpa nafasi ya kujitetea na kujadiliana nae kuhus changamoto za kimaisha na kielimu ili kumwezesha kuwa za skills nzuri za kuchambua mambo.

Karibuni tujadili kwa pamoja na kwa namna gani kama taifa tunaweza kutumia uwezo na rasilimali zilizopo katika kuwawezesha watoto wetu kukua katika vipaji vyao.
Mtoa mada umrnigusa sana.

Mimi nina mdogo wangu huwa namjaribu kwa maswali ambayo nayajua majibu yake nione namna atajibu.

Kuna siku nilimuuliza hivi kuna ubaya wowote endapo wewe dogo umeokota elfu tano na ukawatangazia watu wa hapo kuwa umeokota elfu tano?
.dogo akaniambia "mmh kila Ntu atasema ya kwake,hapo sema umeokota fedha alafu ataedai yake ndo ataje kiasi kama kweli yeye ni yake".
Nikajua yas dogo anakuja kuja.

Huwa namuuliza vitu vingi na anajibu vizuri ..

Sijui kama ninachofanya ndo ulichoongelea mtoa mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada umrnigusa sana.

Mimi nina mdogo wangu huwa namjaribu kwa maswali ambayo nayajua majibu yake nione namna atajibu.

Kuna siku nilimuuliza hivi kuna ubaya wowote endapo wewe dogo umeokota elfu tano na ukawatangazia watu wa hapo kuwa umeokota elfu tano?
.dogo akaniambia "mmh kila Ntu atasema ya kwake,hapo sema umeokota fedha alafu ataedai yake ndo ataje kiasi kama kweli yeye ni yake".
Nikajua yas dogo anakuja kuja.

Huwa namuuliza vitu vingi na anajibu vizuri ..

Sijui kama ninachofanya ndo ulichoongelea mtoa mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sawa mkuu jaribu pia na lugha ya kimataifa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vivyo ivo pia cognitive ability iambatane na physical ability ambapo mtoto anatakiwa kuachiwa uhuru wa kutosha wa kucheza kuliko kumlimit mtoto...mtoto kuwa huru katika kucheza husaidia kukua vizuri katika maungo yake na husaidia uchangamfu pia katika kukuza cognitive ability
 
vivyo ivo pia cognitive ability iambatane na physical ability ambapo mtoto anatakiwa kuachiwa uhuru wa kutosha wa kucheza kuliko kumlimit mtoto...mtoto kuwa huru katika kucheza husaidia kukua vizuri katika maungo yake na husaidia uchangamfu pia katika kukuza cognitive ability
Yes mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada nzuri kama hizi jf znakosa wachangiaji kabisaa lakn mada kama kula tunda sjui kimasihara Uzi unapepea tu na comments nyingi dah kuna tatizo mahali katika taiga letu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wao wenyewe hawajui hata cognitive skills ni nini maana hawana hizo skills na hawajali kuwa nazo. Wako bize na kukata mauno kimasihara.

Ombwe la ujinga linarithishwa na kuzunguka kizazi mpaka kizazi.

Hata wazazi wao si ajabu walijikita kwenye maswala ya ngono na ndoa za mitara ndio maana wamejengwa katika kufurahishwa na maswala ya ngono na ndoa. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo!

Ukitaka kuhakikisha kwamba robo tatu ya watanzania hawana uwezo wa kufikiri, itisha interview ya Kiswahili halafu uanze kuwahoji kuhusu jambo lolote.

Utabaini hawawezi hata kuzungumza. Hawana msamiati wa lugha na hawawezi kujieleza inavyopaswa. HAWAWEZI. COMPLETELY.

Wazazi walijikita kukuza kizazi cha watu wanaofurahishwa na maswala ya ngono na ubabaishaji. Ndio hawa tunaowaona leo hii.

Wazee wa kula kimasihara. PATHETIC.
 
Kabisaa Mkuu mabadilko yanaanza na sisi.mm na we we pia ukiwa makin hapa jf kuna watu wanashusha nondo balaa tena zenye kujenga uamuz n wako kupitia jukwaa la ulaji Wa kimasihara au ufuate mambo kama haya ya mleta mada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom