Jinsi ya kutengeneza sanitaizer ukiwa nyumbani!

Jinsi ya kutengeneza sanitaizer ukiwa nyumbani!

rodian

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2016
Posts
246
Reaction score
323
images.jpg
Habari wakuu, naomba niwape elimu kidogo juu ya utengenezaji wa Saniteizer ukiwa nyumbani kwako.Maana naona tayari wameshafanya dili kwenye maduka ya dawa.

Aina ya kwanza
*Mahitaji*
🔸Vineger chupa nzima
🔸alcohol yenye 90-80 unaweka mls 100 na kuendelea
🔸glycerin hii tunayochanga na mafuta ya kupaka
🔸Maji safi na salama lita moja
*Matayarisho*
Changanya mahitaji yote kwenye chombo kimoja utikise kisha acha dk 5 na baada ya hapo sanitaizer yako tayari.
2: *Aina ya pili*
MAHITAJI
🔸bleach(jik) mls 100
🔸glycerin
🔸maji lita moja
3: *Aina ya tatu*
MAHITAJI
🔸Spirit Mls 100 hizi zinazotumika hospital
🔸glycerin
🔸Maji lita moja
4: *Aina ya nne*
MAHITAJI
🔸Dettol ya maji mls 100
🔸Sabuni ya kuoshea mikono ya maji mils 100
🔸Maji lita moja.
*ZINGATIO*
🔹 *Kwanini utumie pombe kali(Spirit) ni kwakuwa zina amount kubwa za alcohol na bacteria au kirusi hakiwezi kuishi kwenye aclohol nyingi.
🔹 *Kwanini vineger ni kwakuwa ina acid nyingi na bacteri au virusi haviwezi kuishi hapo*
🔹 *Kwanini Bleach au Jik kwa sababu ina sodium hypochlorite ambayo huua vijidudu*
🔹 *Kwanini gylcerin kwa sababu ina fanya ngozi kuwa smooth maana michanganyiko yote hiyo bila kitu kilainishi mikono itakauka na kukamaa maana michangayiko yenye asili ya acid na alcohol ukausha ngozi*
🔹 *Dettol inatumika kwa kuwa ingredients zake nyingi zina ua bacteria na vijidudu na hii ndio kazi ya dettol hasa*
🔹 *Spirit ni kwakuwa ina kiwango kikubwa cha alcohol hata ukiivuta tu una lewa ndio sababu hospital hutumia hii na kuiweka jivii iwe ya blue tusiinywe maana ikiwa plain ni pure wote aisee ni kali hakuna kidudu kinachoweza kuishi mbele ya siprit*
🔹 *Maji Ndio kitu pekee kinachoweza kuzichujua hizo chemical ili kuondoa athari kwa binadamu kwenye ngozi kama vile muwasho,mzio,ukavu n.k*
MATUMIZI
♦ *Unaweza kutumia wakati wote muda wa kuexpire yaan mwisho wa matumizi ni wiki mbili na usiiache wazi.Asante
 
Msidanganywe. Sanitizers bila alcohol ya 70 percent ni sawa na unafanya kazi bure.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu usichanganye parcentage na proof! 40% ABV Ni 70° proof, na 57% ABV is 100 proof. Kwaiyo 30,35% na kuendelea inapungua kidogo ndio maana kunavipimo hapo juu.
 
Habari wakuu, naomba niwape elimu kidogo juu ya utengenezaji wa Saniteizer ukiwa nyumbani kwako.Maana naona tayari wameshafanya dili kwenye maduka ya dawa.

Aina ya kwanza
*Mahitaji*
[emoji842]Vineger chupa nzima
[emoji842]vodkta,au highlife hizi ni pombe kali zina alcohol nyingi mno zipo kama 30 na point unaweka mls 100 na kuendelea
[emoji842]glycerin hii tunayochanga na mafuta ya kupaka
[emoji842]Maji safi na salama lita moja
*Matayarisho*
Changanya mahitaji yote kwenye chombo kimoja utikise kisha acha dk 5 na baada ya hapo sanitaizer yako tayari.
2: *Aina ya pili*
MAHITAJI
[emoji842]bleach(jik) mls 100
[emoji842]glycerin
[emoji842]maji lita moja
3: *Aina ya tatu*
MAHITAJI
[emoji842]Spirit Mls 100 hizi zinazotumika hospital
[emoji842]glycerin
[emoji842]Maji lita moja
4: *Aina ya nne*
MAHITAJI
[emoji842]Dettol ya maji mls 100
[emoji842]Sabuni ya kuoshea mikono ya maji mils 100
[emoji842]Maji lita moja.
*ZINGATIO*
[emoji843] *Kwanini utumie pombe kali(Spirit) vodka,highlife,konyagi ni kwakuwa zina amount kubwa za alcohol na bacteria au kirusi hakiwezi kuishi kwenye aclohol nyingi na hizo ni pombe zenye kiasi cha alcohol zaidi ya 10*
[emoji843] *Kwanini vineger ni kwakuwa ina acid nyingi na bacteri au virusi haviwezi kuishi hapo*
[emoji843] *Kwanini Bleach au Jik kwa sababu ina sodium hypochlorite ambayo huua vijidudu*
[emoji843] *Kwanini gylcerin kwa sababu ina fanya ngozi kuwa smooth maana michanganyiko yote hiyo bila kitu kilainishi mikono itakauka na kukamaa maana michangayiko yenye asili ya acid na alcohol ukausha ngozi*
[emoji843] *Dettol inatumika kwa kuwa ingredients zake nyingi zina ua bacteria na vijidudu na hii ndio kazi ya dettol hasa*
[emoji843] *Spirit ni kwakuwa ina kiwango kikubwa cha alcohol hata ukiivuta tu una lewa ndio sababu hospital hutumia hii na kuiweka jivii iwe ya blue tusiinywe maana ikiwa plain ni pure wote aisee ni kali hakuna kidudu kinachoweza kuishi mbele ya siprit*
[emoji843] *Maji Ndio kitu pekee kinachoweza kuzichujua hizo chemical ili kuondoa athari kwa binadamu kwenye ngozi kama vile muwasho,mzio,ukavu n.k*
MATUMIZI
[emoji815] *Unaweza kutumia wakati wote muda wa kuexpire yaan mwisho wa matumizi ni wiki mbili na usiiache wazi.Asante
Shukran kwa kutupa elimu hii yenye manufaa kwa afya zetu. Glycerin inatakiwa iwe kiasi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante kwa elimu mkuu.
Naomba kuuliza, mtu anaweza kusafisha mikono akashika chakula na kukila bila kumletea matatizo kiafya, sasa huu mchanganyiko inamaanisha na wenyewe hauna madhara ukiingia kinywani?
 
Msidanganywe. Sanitizers bila alcohol ya 70 percent ni sawa na unafanya kazi bure.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa mkuu, Alcohol ( Ethanol lazima iwe 70% na Zaidi na maji ni lazima yawe DISTILLED WATER ili upate Sanitiser yenye Purity ya between 98 -99% , Vinginevyo ni kujidanganya, kuna formulation ya kutumia Hydrogen Peroxide Au Chlorinated Lime ( Chlorine )

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu, naomba niwape elimu kidogo juu ya utengenezaji wa Saniteizer ukiwa nyumbani kwako.Maana naona tayari wameshafanya dili kwenye maduka ya dawa.

Aina ya kwanza
*Mahitaji*
🔸Vineger chupa nzima
🔸vodkta,au highlife hizi ni pombe kali zina alcohol nyingi mno zipo kama 30 na point unaweka mls 100 na kuendelea
🔸glycerin hii tunayochanga na mafuta ya kupaka
🔸Maji safi na salama lita moja
*Matayarisho*
Changanya mahitaji yote kwenye chombo kimoja utikise kisha acha dk 5 na baada ya hapo sanitaizer yako tayari.
2: *Aina ya pili*
MAHITAJI
🔸bleach(jik) mls 100
🔸glycerin
🔸maji lita moja
3: *Aina ya tatu*
MAHITAJI
🔸Spirit Mls 100 hizi zinazotumika hospital
🔸glycerin
🔸Maji lita moja
4: *Aina ya nne*
MAHITAJI
🔸Dettol ya maji mls 100
🔸Sabuni ya kuoshea mikono ya maji mils 100
🔸Maji lita moja.
*ZINGATIO*
🔹 *Kwanini utumie pombe kali(Spirit) vodka,highlife,konyagi ni kwakuwa zina amount kubwa za alcohol na bacteria au kirusi hakiwezi kuishi kwenye aclohol nyingi na hizo ni pombe zenye kiasi cha alcohol zaidi ya 10*
🔹 *Kwanini vineger ni kwakuwa ina acid nyingi na bacteri au virusi haviwezi kuishi hapo*
🔹 *Kwanini Bleach au Jik kwa sababu ina sodium hypochlorite ambayo huua vijidudu*
🔹 *Kwanini gylcerin kwa sababu ina fanya ngozi kuwa smooth maana michanganyiko yote hiyo bila kitu kilainishi mikono itakauka na kukamaa maana michangayiko yenye asili ya acid na alcohol ukausha ngozi*
🔹 *Dettol inatumika kwa kuwa ingredients zake nyingi zina ua bacteria na vijidudu na hii ndio kazi ya dettol hasa*
🔹 *Spirit ni kwakuwa ina kiwango kikubwa cha alcohol hata ukiivuta tu una lewa ndio sababu hospital hutumia hii na kuiweka jivii iwe ya blue tusiinywe maana ikiwa plain ni pure wote aisee ni kali hakuna kidudu kinachoweza kuishi mbele ya siprit*
🔹 *Maji Ndio kitu pekee kinachoweza kuzichujua hizo chemical ili kuondoa athari kwa binadamu kwenye ngozi kama vile muwasho,mzio,ukavu n.k*
MATUMIZI
♦ *Unaweza kutumia wakati wote muda wa kuexpire yaan mwisho wa matumizi ni wiki mbili na usiiache wazi.Asante
hamna kitu hapo , alcohol inayopendekezwa ni 91% Isopropyl alcohol
 
Back
Top Bottom