jamii

  1. Makirita Amani

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa kitabu The Fountainhead (Jinsi ya Kuishi Maisha ya Ndoto Yako Licha ya Kupingwa na Jamii)

    Kila mtu huwa anakuwa na ndoto kubwa ya maisha yake katika hatua fulani ya maisha. Wengi hupata ndoto hizi kati ya miaka 7 mpaka kumi. Muulize mtoto yeyote kwenye umri huo na atakuambia wazi anataka kuwa nani akiwa mkubwa. Lakini mfuate mtoto huyo huyo miaka 10 baadaye na muulize anataka kuwa...
  2. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa nchi hubeba baraka ama laana tunapotoa neno tuangalie ni baraka kwa nchi na jamii nzima

    Ndio maana Bible inasema tuheshimu mamlaka ya nchi. Ukisoma zaidi utaona viongozi wamepewa baraka za nchi. Ila pale wanapoweza kuharibu kwa maneno machache basi hutengeneza laana.. Maombi yangu kwa Mungu amsaidie kila mkusanyiko ulipo neno la baraka litakase milele na nchi ibaki kwenye baraka...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kama Makonda yuko sahihi, basi alichofanya Mbowe hakina tofauti na alichofanya Mandela mwaka 2005 alipomtangaza mwanae muathirika kuokoa wengine

    Nimesema mara kwa mara humu kuwa baadhi ya viongozi tulionao wamenyimwa maarifa ili kwa kauli na matendo yao, wajiumbue na hatimae waanguke wao na chama chao. Kutokana na wao kukosa maarifa,matokeo yake wanafanya mambo ambayo mwisho wa siku yanawagharimu wao kama wao na wakati huo huo...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Pascal Mayalla: JamiiForums ndio mtandao bora kwenye utoaji elimu japokuwa wengine waliomba corona ije kupitia hukohuko

    Mwandishi wa habari nguli na mwanasheria Pascal Mayalla amesema mtandao wa JamiiForums ndiyo bora katika utoaji elimu pamoja na kwamba kuna baadhi ya members waliomba Corona ije nchini. Mayalla alikuwa anaongea katika kipindi cha Jicho Letu ndani ya habari kinachorushwa mubashara na Star TV...
  5. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Katika kuzuia maambukizi ya Covina-19 Waziri wa fedha wa Uingereza amewataka waajiri walipata mishahara ya wanaojitenga na jamii

    Wanaojitenge kwa siku 14 ili wasieneze ugonjwa wanatakiwa kulipwa pesa kamili za mshahara. Serikali itawarudishia pesa hizo waajiri kutokana na kodi ili kuepusha biashara na uchuni kuanguaka. On 17 March, the Chancellor announced an unprecedented package of government-backed and guaranteed...
  6. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Coronavirus: Jinsi wahalifu wa mtandaoni wanavyoongeza hofu katika jamii

    Wataalamu wa masuala ya usalama wamesema kuwa, mlipuko wa virusi vya corona umefanya wahalifu wa mtandaoni kutumia mwanya huu kutapeli watu pia. Wahalifu wa mtandaoni wanawalenga watu binafsi pamoja na sekta mbalimbali kama usafiri, utalii,afya ,elimu, bima na shughuli nyingine. Barua pepe za...
  7. technically

    JamiiForums Tanzania Serikali kipindi kama sasa ndio huwa inakumbuka umuhimu wa JamiiForums

    Sasa hivi wanavitaka vyombo vya habari ikiwemo JamiiForums kutoa elimu kwamba Corona imeingia watu wachukue tahadhari wakati mpaka leo wana kesi isiyoisha mahakamani. Vyombo vya habari kibao vimepigwa fine ili kuvinyamazisha ila leo vinakumbukwa. Tuishi kwa upendo na kwa kutowaonea wengine...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Hodii wenyeji

    Hellow Jamii Forum members,Jamani,nimefurahi sana kuwa hapa.naomba ukaribisho tafadhali.mgeni mie nawasalimu sana
  9. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Yehodaya nawaageni jamii forums nitakuwa masomoni tutaonana Sept.2020

    Wakuu jamii forums leo ndio siku yangu ya mwisho humu nawaaga nitakuwa busy sana masomoni hamtaniona humu jukwaani hadi september 2020. Mlionikosea nawasamehe bure kwa sharti na ninyi mnisamehe bure nilipowakosea I will miss you all
  10. Kibuje

    JamiiForums Tanzania Top 10 threads zenye wasomaji / wachangiaji wengi zaidi kwenye Jamii Forums

    Habari ya leo wanaJF, JamiiForums ina zaidi ya members 500k ambao kwa pamoja wamechangia zaidi ya threads (nyuzi) 1.3M huku posts zikiwepo zaidi ya 13M. Lengo letu kwa leo sio kufahamu idadi ya members wa JF bali ni kujua top 10 threads / nyuzi zenye wasomaji / wachangiaji wengi zaidi. Hii...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Tukiwa jamii iliyostaarabika, lipi ni kosa kubwa na zito zaidi kwetu kati ya kuua mtu au kuchana kitabu cha dini kama Quran au Biblia?

    Ukituhumiwa kuua mtu, (au kumnyang'anya mtu haki yake ya kuishi) tunategemea utafikishwa mahakamani na kujibu mashataka ya kosa la kuua. Inawezekana kabisa, hukumu ya kesi yako ikawa ni kuachiwa huru kwa kuwa katika ushahidi uliotolewa ulionyesha labda ulisingiziwa, au uliua kwa kujitetea maisha...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ni vyema serikali, Wananchi tukatambua ugonjwa wa akili na viashiria vyake

    Kwanza ugonjwa wa akili ni kitendo cha kuanzia kufanya matukio kinyume na utaratibu na Kwa kujiamini sana bila wewe kujijua unakosea Ila jamii inakuona wewe unakosea, unaweza ukawa unasikia sauti za watu wanakuita Ila huwaoni, unaweza ukawa unajibizana na sauti ambazo huzioni, unaweza ukawa...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Ni katika kundi gani katika jamii Bwana yule anaweza kupata walau asilimia 30 ya kura za kundi husika?

    Nikimtafakari Bwana mkubwa na jinsi anavyoendesha kijiji chetu tangu aingie ofisini,sioni ni katika kundi gani katika jamii ya wadanganyika ambako anaweza kupata walau asilimia 30 ya kura zote kutoka katika lolote miongoni mwa haya na mengineo ambayo sijayataja: 1.Wafanyakazi 2.Wafanyabiashara...
  14. britanicca

    JamiiForums Tanzania Sweden yapunguza misaada kwa Tanzania kuwa 75% kwa miaka mitano ijayo

    Sweden nao wameamua kujiridhisha pasina shaka kuwa Tanzania kuna Uminywaji wa haki za Binadamu na kupunguza misaada kwa Miaka mitano ijayo, maana yake Mpaka 2026 ambapo uwenda Magufuli akawa anatoka madarakani Nadhani baada ya Zitto kumaliza barua kwa USA sasa hii imeandikwa na Kiranga Source...
  15. bahati93

    JamiiForums Tanzania Je, mabinti wa shule walaumiwe kwa kushika mimba?

    Habare comrades Nimepanga kujibu swali nililouliza kwenye kichwa cha habari mwisho wa maandishi yangu kwenye huu uzi. Kwanza niweke bayana mabinti ntakaowazungumzia ni wale walio balehe wakiwa shule msingi au secondary. Kutokana na habari nyingi zilizopo juu ya umuhimu wa elimu na hasara kubwa...
  16. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Kwanini Benki ya Dunia hupenda kukopesha zaidi kwa ajili ya huduma za jamii na sio viwanda?

    Ukifuatilia mikopo mingi ya benki ya dunia iko zaidi kwenye. Huduma za jamii kama afya ,elimu,barabara,umeme,nk lakini kwenye viwanda mfano vya kuzalisha bidhaa za kuuza nje huwaoni, kulikoni?
  17. B

    JamiiForums Tanzania Member wa JamiiForums mpo wapi?

    Habari members, Hua najiuliza hili swali mara nyingi kwamba Member wa JF huwa mnachangia mada mkiwa wapi mnajifungia ndani au? Mana napanda daladala hampo, bar hampo, kila nnapokaa kwenye changanyikeni ya watu ambao wapo busy na simu zao wengi wapo Instagram, Twitter na mitandao mengine...
  18. USSR

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tunaojiandaa kumpa tena kura Rais Magufuli tukutane hapa

    Ndio ni mwaka wa uchaguzi na ukweli ni kuwa ilani tuliyomkabidhi Dkt. Magufuli imeshakamilika mpaka Leo 1/1/2020 na tuone sasa ipo haja ya kukutana na kujipongeza kwa kazi kubwa aliyofanya maana haikuwa rahisi. Yeye ni mwanadamu yawezekana kuna sehemu alijikwaa na kutukwaza Ila kwa kuwa...
  19. Wilinasi Petroleum

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania To all women friends, young to old sisters here on JamiiForums

    To all women friends, young to old sisters here on JamiiForums. Before starting I would like to congraturate every one here in JamiiForums for being rewarded by God to commence the beautiful and incredeble year, 2020. I know It was not an easy task to cross the 2019-2020 bridge, but for his...
  20. peter msuku

    JamiiForums Tanzania Jamii masikini yenye ardhi tajiri (Msangano Momba)

    JAMII MASKINI KWENYE ARDHI TAJIRI (MSANGANO MOMBA) BY MSUKU PETER UTANGULIZI Umasikini. Ni hali ya ukosefu wa mahitaji ya msingi ya binadamu kama vile malazi, mavazi na chakula. Lakini pia maji safi na salama, huduma za afya, kutokana na kukosa uwezo wa kununua au kulipia. Hii pia...
Back
Top Bottom