jamii

  1. Ndengaso

    Tunaiomba jamii forums ndani ya kai ios

    Habari, leo nimenunua kitochi janja kiukweli kipo simple na kinacover mambo mengi compare na kitochi jinga cha nokia, ili nikifahamu vizuri ilibidi nimeweka smartphone langu kubwa kwenye droo na kwakweli sijalimiss sana..Ila Kwenye hili pilau pendwa kilichomiss ni jamiiforums app, ingependeza...
  2. talentbrain

    NIDA: Taasisi iliyofeli kuingiliana na jamii

    Habari zenu watanzania wenzangu. Ni Mara ya pili naanzisha Uzi (makala) hapa inayoihusu taasisi hii nyeti imeyopewa mamlaka makubwa na serikali yetu kutupatia vitambulisho vya Taifa. Kwa umuhimu wa vitambulisho hivi ni wazi taasisi hii ni muhimu sana kwa watanzania wote. Huwezi kupata passport...
  3. Carleen

    Wanandoa jitahidini sana mfichiane madhaifu yenu mbele ya jamii

    Hi guys..! Natumaini mpo salama sana.! Nilishauriwa nipunguze kuandika humu, ila Mungu ndiye ajuaye mbona nashindwa? Najikuta tu natamani kuwaandikia humu ili mfurahi ama la mjifunze jambo, Mshauri wangu na rafiki yangu..! nimeuelewa ushauri wako barabara, but please understand me, writing is...
  4. GENTAMYCINE

    Wana JamiiForums wote ' tuliokwazika ' na Bondia Hassan Mwakinyo ' tumsamehe ' kwani hatimaye amemuomba Radhi ' Legend ' Rashid Matumlla

    Nikiwa kama Mmoja wa Watu niliochukizwa kama siyo kukasirishwa na Kitendo Bondia Mwakinyo cha Kumdhihaki Bondia mwenye Historia iliyotukuka hapa Tanzania Rashid Matumla hadi GENTAMYCINE nikaanzisha Uzi wa Kumsema ambao uliibua Hasira Kali za Watanzania zilizosambaa sehemu mbalimbali hatimaye leo...
  5. ChoiceVariable

    Nashauri serikali ianzishe Mfuko wa Maendeleo ya Huduma za Jamii, (Social Services Development Fund)

    Somo tajwa hapo juu lahusika. Naishauri serikali ianzishe Mfuko wa Maendeleo ya Huduma za Jamii (Social Services Development Fund), mfuko huu uwe na jukumu la ku-mobilise funds za kugharamia masuala ya elimu kama kujenga shule za msingi, vyumba vya madarasa, vyoo nk Pili, mfuko uwe unatoa pesa...
  6. Sky Eclat

    Kusaidia jamii inayokuzunguka

    Wengi wetu hatuelewi matatizo katika jamii inayotuzunguka. Si lazima uwe tajiri ili uweze kuisaidia jamii. Kidogo ulichonacho kinaweza kubadilisha maisha ya mtu. Nilikuwa ninaangalia African Channel siku moja, nilimuona baba mmoja Mnigeria ni tajiri anayeishi Marekani. Huyu tajiri biashara yake...
  7. Fya-fyafya

    Mchezo wa Kibati, Mchezo hatari na chanzo cha madeni Kwenye jamii pale ambapo usipokuwa makini

    Mchezo wa kibati ni mchezo wa waaminifu ambao watu wawili au zaidi hucheza kwa kupeana hela/ fedha kwa zamu. Zamu hizo hufanyika kwa mzunguko wa siku fulani kutokana na makubaliano ya wachezaji wenyewe. Hapa nchini, katika makundi tofauti ya jamii, mchezo huu umekuwa maarufu sana kwa kuchezwa...
  8. Frediluu

    Hongera JamiiForums, hongera Maxence Melo

    Kuna watu wanachonga sana humu JF kuhusu tuzo aliyopewa Mr. Max eti hakustahili??? Wanadhani ndani ya hii nchi kinaweza kutokea kilichotokea kwa Max?? thubutu zao. Nawashukuru sana walioandaa hizo tuzo maana ni kama waliona namna isivyowezekana kwa Max kuipata hapa nyumbani. Wangeandaa ya...
  9. J

    BBC waipongeza JamiiForums, wadai ndio tegemeo pekee la habari za uhakika nchini Tanzania, wampongeza Melo na watendaji wake

    BBC wameipongeza JamiiForums kwa kuwa kimbilio la wananchi kupata habari za ukweli na uhakika Sasa Maxence Melo anahojiwa mubashara kuhusu tuzo anayoipokea nchini Marekani. Chanzo: BBC Dira ya Dunia
  10. Mwl.RCT

    Mahafali ya Chuo kikuu Dodoma; Rais Magufuli atunukiwa shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa katika Sayansi ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Shahada hiyo imetolewa na Rais Mstaafu Benjamini Mkapa katika mahafali ya 10 ya chuo hicho. ==== Rais Magufuli awasili...
  11. CalvinKimaro

    Mambo 10 ambayo mngesusia mngeeleweka na kukubalika na jamii

    1. Matibabu nje ya nchi kwa gharama za serikali. Haifai kulalamika kuwa jimboni matibabu ni duni wakati unatibiwa nje kwa gharama inayotosha kujenga zahanati yenye vifaa na madawa jimboni kwako. Ni heshima kususia hii huduma yenye ubaguzi na ubadhirifu. 2. Posho na marupurupu bungeni...
  12. Mstahiki Mea

    JamiiForums imeleta mapinduzi makubwa Tanzania

    -Jukwaa hili hutoa nafasi kwa mtumiaji wake yeyote kuchapisha, mambo mbalimbali, kama vile habari, mijadala, na mafunzo mbalimbali, na hivi ndivyo ninavyolijua jukwaa hili. Aidha, jukwaa hili pamoja na kuwa ni chombo cha habari pia huweza kutumika kama sehemu ya mijadala au mafunzo mbalimbali...
  13. R

    Natafuta mshirika wa kuanzisha naye asasi (NGO) ya kusaidia jamii

    Habari zenu, Ni matumaini yangu mu wazima kabisa na wenye safi na salama. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ni kwamba namtafuta mtu ambaye yupo makini na ambaye anapenda kuwasaidia wanajamii katika masuala mbalimbali ya kijamii ili tuwenze kuanzisha asasi ambayo itakuwa...
  14. Victor Mlaki

    Natamani siku moja nione JamiiForums kama social media platform inayomuingizia pesa kila mwanachama

    Nina imani kubwa sana na uongozi wa Jamii forum na ninadhani imani yangu inaweza ikawa kubwa kuliko ilivyo sasa. Sijawahi kujuta kuwa mwanachama wa jamii hii pana yenye muono wa aina yake katika kuibua mwamko kwa jamii kuhusu masuala mbalimbali ya kiuchumi, kijamii na kisiasa. Nimejifunza mengi...
  15. bahati93

    Ni vyema kuwatambua Sycophant katika zama hizi

    Habari wanajamii, Kutokana na malezi au asili ya mtu kunapelekea kuwepo kwa aina mbalimbali za binadamu wenye tabia za kufanana. Katika uzi huu nitajikita kueleza kinaga ubaga cha type ya binadamu ambayo kitaalamu wanaitwa sycophant. Kama una udadisi utakuwa ushawahi kutana na psychopath hadi...
  16. Suley2019

    Je, ni ipi nafasi ya wasanii wa kizazi kipya kumulika uhalisia wa jamii yetu?

    Habarini za muda huu wakuu. Natumai mu wazima wa afya. Kijana wenu nimejitupa jamvini leo nikiwa nahitaji tujadili kidogo namna sanaa ya nchi yetu inavyokwenda. Kijana wenu nilijaaliwa kusoma fasihi ya Kiswahili na sanaa kwa uchache sana. Aidha, katika harakati hizo za kusoma fasihi...
  17. B

    Siasa za kujua Generation ya Chini yako unafanya nini kushepu JAMII

    Moja ya Michezo ambayo waTanzania hatukuamua kuinvest Kwa sababu hatuna miundombinu ya viwanja ni Mieleka Kwa waduvi wa mambo ilitakiwa kuwa makini kuhakikisha watu hawatujudge kuwa Tuko tayari kubadilika wakati bado tunataka kulalamika vitu ambavyo ni Ovious Saikolojia hii ya hawa makamanda ni...
  18. Daisy Llilies

    Uniforms zinazoendana na mazingira ya jamii

Back
Top Bottom