jamii

  1. bahati93

    Je, mabinti wa shule walaumiwe kwa kushika mimba?

    Habare comrades Nimepanga kujibu swali nililouliza kwenye kichwa cha habari mwisho wa maandishi yangu kwenye huu uzi. Kwanza niweke bayana mabinti ntakaowazungumzia ni wale walio balehe wakiwa shule msingi au secondary. Kutokana na habari nyingi zilizopo juu ya umuhimu wa elimu na hasara kubwa...
  2. YEHODAYA

    Kwanini Benki ya Dunia hupenda kukopesha zaidi kwa ajili ya huduma za jamii na sio viwanda?

    Ukifuatilia mikopo mingi ya benki ya dunia iko zaidi kwenye. Huduma za jamii kama afya ,elimu,barabara,umeme,nk lakini kwenye viwanda mfano vya kuzalisha bidhaa za kuuza nje huwaoni, kulikoni?
  3. B

    Member wa JamiiForums mpo wapi?

    Habari members, Hua najiuliza hili swali mara nyingi kwamba Member wa JF huwa mnachangia mada mkiwa wapi mnajifungia ndani au? Mana napanda daladala hampo, bar hampo, kila nnapokaa kwenye changanyikeni ya watu ambao wapo busy na simu zao wengi wapo Instagram, Twitter na mitandao mengine...
  4. USSR

    GE2020 Tunaojiandaa kumpa tena kura Rais Magufuli tukutane hapa

    Ndio ni mwaka wa uchaguzi na ukweli ni kuwa ilani tuliyomkabidhi Dkt. Magufuli imeshakamilika mpaka Leo 1/1/2020 na tuone sasa ipo haja ya kukutana na kujipongeza kwa kazi kubwa aliyofanya maana haikuwa rahisi. Yeye ni mwanadamu yawezekana kuna sehemu alijikwaa na kutukwaza Ila kwa kuwa...
  5. Wilinasi Petroleum

    To all women friends, young to old sisters here on JamiiForums

    To all women friends, young to old sisters here on JamiiForums. Before starting I would like to congraturate every one here in JamiiForums for being rewarded by God to commence the beautiful and incredeble year, 2020. I know It was not an easy task to cross the 2019-2020 bridge, but for his...
  6. peter msuku

    Jamii masikini yenye ardhi tajiri (Msangano Momba)

    JAMII MASKINI KWENYE ARDHI TAJIRI (MSANGANO MOMBA) BY MSUKU PETER UTANGULIZI Umasikini. Ni hali ya ukosefu wa mahitaji ya msingi ya binadamu kama vile malazi, mavazi na chakula. Lakini pia maji safi na salama, huduma za afya, kutokana na kukosa uwezo wa kununua au kulipia. Hii pia...
  7. Am a star

    JamiiForums inavyobadilisha maisha yangu kwa kunipa wazo la (THD)

    TOPTRUST HELP DESC (A standby force) “ 0693354479 “ Baada ya kupitia nyuzi nyingi humu nilipata wazo! nikachukua hatua ya kukusanya taarifa zote muhimu za jiji la DAR ES SALAAM kuhusu huduma wanazohitaji watu ili kurahisisha maisha yao na kuokoa muda. sasa naweza kukusaidia Kila eneo...
  8. Sky Eclat

    Kuna ukweli wowote kuhusu salamu ya jamii huendana na uchumi wao

    Salamu ya jamii yeyote inaendana na uchumi wao. Mfano salamu ya Shikamoo ina asili ya Pwani maana yake niko chini ya miguu yako. Hivi ndivyo watumwa na wapagazi walivyosalimia ma bwana wakubwa. Habari za asubuhi, ina maana huna uhakika wa habari asubuhi ile, unaweza kusikia kuna mgonjwa au...
  9. Sky Eclat

    Jela inapokuwa na manufaa kwa jamii

    Kuna bwana mmoja Mtanzania ni fundi huko Ulaya. Ana kampuni yake ndogo na van la kazi. Huwa anaajiri cash in hand wengi kutoka Romania na Poland. Ifundi wa huyu bwana ni: 1. Fundi bomba, hutengeneza mabomba yaliyoharibika na pia kufunga mashine za kufulia. 2. Fundi umeme na gas, hutengeneza...
  10. K

    HAPPY NEW YEAR WANA JAMII FORUMS

    Niwatakie Happy New Year wote. Mwaka huu uwe mwaka wa mafanikio kwa kila Mwanajamiiforums. Tujielekeze katika kuelemisha jamii na kutoa ushauri kwa kila jambo ambalo lina manufaa. Tujiepushe na matusi na udhalilishaji kwa jamii. Tupendane na kushirikiana katika kila jambo. Narudia tena HAPPY...
  11. omugabire

    Top 20 ya JamiiForums

    Top 20 ya members wenye meseji nyingi kuliko wote jamii forums 1. RUTASHUBANYUMA(JF-Expert member) Message: 169,603 2. NUMBISA( JF-Expert member) Message: 151,963 3. MSHANA JR(platnum member) Message: 127,933 4. SHUNIE(JF-Expert member) Message: 118,537 5. SHIMBA YA BUYENZE( JF- Expert...
  12. Ndengaso

    Tunaiomba jamii forums ndani ya kai ios

    Habari, leo nimenunua kitochi janja kiukweli kipo simple na kinacover mambo mengi compare na kitochi jinga cha nokia, ili nikifahamu vizuri ilibidi nimeweka smartphone langu kubwa kwenye droo na kwakweli sijalimiss sana..Ila Kwenye hili pilau pendwa kilichomiss ni jamiiforums app, ingependeza...
  13. talentbrain

    NIDA: Taasisi iliyofeli kuingiliana na jamii

    Habari zenu watanzania wenzangu. Ni Mara ya pili naanzisha Uzi (makala) hapa inayoihusu taasisi hii nyeti imeyopewa mamlaka makubwa na serikali yetu kutupatia vitambulisho vya Taifa. Kwa umuhimu wa vitambulisho hivi ni wazi taasisi hii ni muhimu sana kwa watanzania wote. Huwezi kupata passport...
  14. Carleen

    Wanandoa jitahidini sana mfichiane madhaifu yenu mbele ya jamii

    Hi guys..! Natumaini mpo salama sana.! Nilishauriwa nipunguze kuandika humu, ila Mungu ndiye ajuaye mbona nashindwa? Najikuta tu natamani kuwaandikia humu ili mfurahi ama la mjifunze jambo, Mshauri wangu na rafiki yangu..! nimeuelewa ushauri wako barabara, but please understand me, writing is...
  15. GENTAMYCINE

    Wana JamiiForums wote ' tuliokwazika ' na Bondia Hassan Mwakinyo ' tumsamehe ' kwani hatimaye amemuomba Radhi ' Legend ' Rashid Matumlla

    Nikiwa kama Mmoja wa Watu niliochukizwa kama siyo kukasirishwa na Kitendo Bondia Mwakinyo cha Kumdhihaki Bondia mwenye Historia iliyotukuka hapa Tanzania Rashid Matumla hadi GENTAMYCINE nikaanzisha Uzi wa Kumsema ambao uliibua Hasira Kali za Watanzania zilizosambaa sehemu mbalimbali hatimaye leo...
  16. ChoiceVariable

    Nashauri serikali ianzishe Mfuko wa Maendeleo ya Huduma za Jamii, (Social Services Development Fund)

    Somo tajwa hapo juu lahusika. Naishauri serikali ianzishe Mfuko wa Maendeleo ya Huduma za Jamii (Social Services Development Fund), mfuko huu uwe na jukumu la ku-mobilise funds za kugharamia masuala ya elimu kama kujenga shule za msingi, vyumba vya madarasa, vyoo nk Pili, mfuko uwe unatoa pesa...
  17. Sky Eclat

    Kusaidia jamii inayokuzunguka

    Wengi wetu hatuelewi matatizo katika jamii inayotuzunguka. Si lazima uwe tajiri ili uweze kuisaidia jamii. Kidogo ulichonacho kinaweza kubadilisha maisha ya mtu. Nilikuwa ninaangalia African Channel siku moja, nilimuona baba mmoja Mnigeria ni tajiri anayeishi Marekani. Huyu tajiri biashara yake...
  18. Fya-fyafya

    Mchezo wa Kibati, Mchezo hatari na chanzo cha madeni Kwenye jamii pale ambapo usipokuwa makini

    Mchezo wa kibati ni mchezo wa waaminifu ambao watu wawili au zaidi hucheza kwa kupeana hela/ fedha kwa zamu. Zamu hizo hufanyika kwa mzunguko wa siku fulani kutokana na makubaliano ya wachezaji wenyewe. Hapa nchini, katika makundi tofauti ya jamii, mchezo huu umekuwa maarufu sana kwa kuchezwa...
  19. Frediluu

    Hongera JamiiForums, hongera Maxence Melo

    Kuna watu wanachonga sana humu JF kuhusu tuzo aliyopewa Mr. Max eti hakustahili??? Wanadhani ndani ya hii nchi kinaweza kutokea kilichotokea kwa Max?? thubutu zao. Nawashukuru sana walioandaa hizo tuzo maana ni kama waliona namna isivyowezekana kwa Max kuipata hapa nyumbani. Wangeandaa ya...
  20. J

    BBC waipongeza JamiiForums, wadai ndio tegemeo pekee la habari za uhakika nchini Tanzania, wampongeza Melo na watendaji wake

    BBC wameipongeza JamiiForums kwa kuwa kimbilio la wananchi kupata habari za ukweli na uhakika Sasa Maxence Melo anahojiwa mubashara kuhusu tuzo anayoipokea nchini Marekani. Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Back
Top Bottom