TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 929
- 1,276
Wakuu heshima kwenu, nipo mahali sahihi kwa wakati sahihi, na jukwaa sahihi. Tupo watu wengi humu zaidi ya 10000, so hebu tupeane mawazo, huenda mimi sikuwa nayo, mwenzangu akawanayo. Jamii yetu inachangamoto gani zinazohitajika kutatuliwa, ambapo changamoto hizo hupelekea kupata fursa ya biashara.
Nakuomba kuwa huru kuzitaja na ikipendeza ukaweza na solution yake, naamini wadau wanapata mawazo ya kuanzisha biashara kuhusu mtaji sio kigezo, kigezo changamoto ipi itaweza kutatuliwa na kupeleka kupata fedha. Naanza na mimi, kwa sasa kwa mkoa wa Dar kuna changamoto ya wadada wa kazi, hivyo endapo utaanzisha day care naamini utapata watu wengi saana, ila hiyo day care ilenge watu wa kipato cha chini na cha Kati.
Nina uzoefu kwa hilo na linanipa faida, maana niliacha kuuza viatu nikaamia kwenye day care Mungu si Athumani wala Kingwendu, kukunja laki tano sita kwa mwenzi si haba. Panapo majaaliwa nitakuja na mchanganuo na hatua nilizozipitia kuanzia moja hadi mia moja kuweza kumiliki Nussery School and Day Care.
Turudi kwenye mada wadau tufunguke, karibuni
Nakuomba kuwa huru kuzitaja na ikipendeza ukaweza na solution yake, naamini wadau wanapata mawazo ya kuanzisha biashara kuhusu mtaji sio kigezo, kigezo changamoto ipi itaweza kutatuliwa na kupeleka kupata fedha. Naanza na mimi, kwa sasa kwa mkoa wa Dar kuna changamoto ya wadada wa kazi, hivyo endapo utaanzisha day care naamini utapata watu wengi saana, ila hiyo day care ilenge watu wa kipato cha chini na cha Kati.
Nina uzoefu kwa hilo na linanipa faida, maana niliacha kuuza viatu nikaamia kwenye day care Mungu si Athumani wala Kingwendu, kukunja laki tano sita kwa mwenzi si haba. Panapo majaaliwa nitakuja na mchanganuo na hatua nilizozipitia kuanzia moja hadi mia moja kuweza kumiliki Nussery School and Day Care.
Turudi kwenye mada wadau tufunguke, karibuni