jamii

  1. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mzazi mwenzangu ananitishia kwenda kunishtaki Ustawi wa Jamii

    Habari za wakati huu waungwana? Jamanimwenzenu nina changamoto nimeipata kuhusiana na mzazi mwenzangu. Iko hivi huyu mwanamke tumezaa mtoto ambae kwa sasa ana umri wa mwaka mmoja na miezi 7. Kiukweli toka ajifungue huyu mtoto nimekuwa nikitoa pesa za matunzo vizuri tu bila shida, ofcoz naye...
  2. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Twiter kuna wapwa na wakulingwa tuinuane huku tunainuka pamoja kama jamii moja

    Hii ndiyo raha ya kuwa mwanachama wa jamii forum, wote ni ndugu hakuna cha wapwa wala wakulingwa tunainuka kama jamii moja. Jamii forum inabaki kuwa uwanja mpana wa jamii wenye kutoa hoja kuntu katika mawanda yote ya jamii yetu. "Tunainuka pamoja kama Jamii"
  3. lbaraka

    JamiiForums Tanzania Ni jamii ipi ndo "the first mathematicians and engineers" kati ya Greeks, Babilonians na Egyptians?

    Salamu wana jukwaa wa humu: Nimekisoma kitabu cha The Richest Man in Babylon, by George S. Clason na kinasema kwamba wanasayansi, wanamahesabu wa kwanza kabisa ni wao. Nijuavyo mimi, watu wa kwanza kabisa kuanza kutumia hesabu ni wamisri hasa kwenye ujenzi wa pyramids zile. Kuna source...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Mbunge: Serikali haijawasilisha shilingi bilioni 1.5 za makato ya wafanyakazi kwenye Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

    "Kuna Bil 1.5 za makato ya wafanyakazi hazijawasilishwa, Serikali inachofanya inalipa mishahara lakini kwenye Mifuko ya Hifadhi za Jamii ile pesa haipelekwi, hii ni hatari mtu anapostaafu ili alipwe pesa zake anaambiwa michango yako huku haikuletwa" Mbunge ,Tunza Malapo. Chanzo: Darmpya Blog...
  5. APA CHICAGO

    JamiiForums Tanzania Tusikwepe wajibu wetu katika jamii yetu

    Kuna watu wengi wanakwepa majukumu yao katika jamii yetu kwa kisingizio kuwa haya au hayo ni mambo ya kisiasa. Binafisi huwa ninawaza watu hawa uelewa wao wa mambo ni mdogo sana au wameamua kwa makusudi wawe vipofu? Tuelewane kidogo iko hivi siasa ndiyo inaendesha kila kitu katika maisha yetu...
  6. Mjomba Fujo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Picha zinatisha: Maasai watwangana na jamii ya Kipsigis Narok nchini Kenya, wanne wapoteza maisha

    Mgogoro wa mifugo umeleta mapigano ya jamii hizi mbili zenye uhasama wa muda mrefu.
  7. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yaanzisha kipindi cha kuelimisha jamii kuhusu sera zake. Kinaitwa IJUE CHADEMA. Kuanza rasmi Mei 25

    Lengo kuu likiwa ni kuwafahamisha wananchi wote jinsi Chadema ilivyo , muundo wake , viongozi wake waliopita na waliopo , sera zake , ilikotoka na inakoelekea . Kwa kuanzia kipindi hicho kitarushwa live kwenye mitandao yote ya kijamii , huku mipango ya kukirusha kwenye TV mbali mbali zenye...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee: Mifuko ya Jamii hoi, pensheni hatihati kulipwa

    May 22, 2020 Bungeni Dodoma Tanzania DAKIKA 17 ZA HALIMA MDEE BUNGENI LEO Mh. Halima James Mdee mbunge wa CHADEMA aichambua taarifa ya CAG aliyepita na CAG mpya ambao wote wameonesha jinsi taasisi kubwa kama Mifuko ya Jamii na National Housing kushindwa kujiendesha. Mifuko ya Jamii ipo hoi...
  9. Firmino bobby

    JamiiForums Tanzania Jinsi JamiiForums ilivyobadilisha maisha yangu (Mrejesho)

    Muda mrefu nimekua msomaji tu wa mada zenu nikifuatilia karibu kila post inayowekwa katika mtandao huu, nina circle ndogo sana ya marafiki na watu ninao fahamiana nao kwa muda mrefu sasa hali inayo ni fanya muda mwingi ninao upata niwe nautumia kuwasomeni enyi wakuu wangu, ninavyo vingi vya...
  10. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Uongo na Njama: Jinsi Marekani inavyodanganya watu wake na jamii ya kimataifa kuhusu virusi vya Corona

    Katika hospitali ya Elmhurst jimbo la New York nchini Marekani, mchana na usiku, madaktari na manesi wanajitolea kuokoa maisha ya wagonjwa wa COVID-19, ambao hofu za kuhuzunisha zinaonekana machoni mwao, lakini bado wanashindwa kumsaidia kila mmoja. Nje ya hospitali, friji kubwa zimepangwa kwa...
  11. chichiboy1

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ni sahihi bajeti ya kampeni CCM kuelekezwa kwenye huduma za Afya ya Jamii

    Ni dhahiri kwamba kampeni za uchaguzi mkuu huambatana na gharama kubwa sana. Vyama vya siasa vimekuwa vikitumia gharama kubwa kuandaa mikutano, fulana, kofia, vipeperushi, takrima za hapa na pale n.k. Kufuatia janga la Covid19, ambalo linaonekana kuendelea kuwepo katika jamii, napendekeza, kwa...
  12. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa, Familia na Jamii

    Ndoa ni msingi na chanzo cha familia ambapo familia ni kilele cha jamii. Ndoa huleta familia na familia hufanya jamii. Tokeo la familia na jamii ni ndoa. Ndoa inahusu mtu mwanaume na mtu mwanamke ambao wanakubaliana kadiri ya akili. Uhusiano huu baina ya watu wawili, mwanaume na mwanamke ni...
  13. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Matangazo ya vifo yatolewe na ndugu na hati ya kifo iambatanishwe wakati wa kuposti JamiiForums

    Tuheshimu vifo vya watu ni ndugu tu waruhusiwe kuleta tangazo jamii forums na liambatanishwe na cheti cha kifo tusianze kuzuliana vifo humu na kukejeli marehemu Uongozi Wa jamii forums zingatieni hill kifo huwa hakitangazwi kiholela tu
  14. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Natoa ombi kwa uongozi wa JamiiForums mumualike Naibu Waziri wa Afya aje afafunue na kujibu dukuduku na maswali ya watanzania

    Natoa hii rai sababu sasa tunakoelekea ni pabaya maana idadi ya maambukizi ya wagonjwa wa Covid -19 inazidi kuongezeka. Mgonjwa wa kwanza kulipotiwa ilikuwa ni March 16 na leo ni April 19 kakini idadi inavyoendekea kuongezeka inatia hofu naashaka kwa sisi wananchi wa hali ya chini. Napendekeza...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Asante sana JamiiForums, naingiza zaidi ya 50,000 kwa mwezi

    Wakuu habari zenu, Naomba nitoe shukrani zangu za dhati kwa uongozi mzima wa JamiiForums maana nimekuwa nikifaidika kila mwezi kwa kupata kipato cha kununulia vocha mjini. Niliweka post humu JF inayohusu kupeleka watu kwenye machimbo mbalimbali original ya bidhaa kwa bei ya jumla nikasema...
  16. The Alchemist

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Personalities: Aina za mtu kwenye mtu na mahusiano na jamii.

    Mwanadamu ni kiumbe wa tabia (a creature of habit). Huwa kile ambacho hukifanya kwa muda. Kila anachofanya huwa. Leo nizungumzie Kwa ufupi personalities za mtu kulingana na mazingira na madhara ya kutokumwona mtu katika tabia anayotaka kuonekana anayo. 1) Personality ya mtu mwenyewe: Hii ni...
  17. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Wajibu wa Walimu kwa jamii na kwa Taifa katika kipindi hiki cha msambao wa ugonjwa wa COVID-19

    Ualimu ni taaluma yenye mawanda na matao mapana sana huenda kuliko taaluma nyingine nyingi zilizopo. Mwalimu licha ya kuwajibika kwa taaluma yake, wateja wake (wanafunzi), mwajiri wake, bado anao wajibu pia kwa jamii inayomzunguka na kwa Taifa lake kwa ujumla. Mwalimu anapaswa kuwa mtoa...
  18. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kesi namba 456 ya 2016 JamiiForums vs Jamhuri, Kisutu: Maxence Melo ahukumiwa Mwaka jela au faini ya Tsh. Mil 3. Mwenzake aachiwa huru

    Kesi namba 456 ya mwaka 2016 inawakabili Mkurugenzi wa Jamii Media Ndg. Maxence Melo na mwana hisa mwenzake Micke William itasomwa leo Aprili 08, 2020 mbele ya Hakimu Thomas Simba kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam. Hukumu hii awali ilipangwa kutolewa Novemba 26, 2019...
  19. MIXOLOGIST

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya tarehe, miaka, na nyakati katika jamii mbali mbali shida ni nini?

    Habari wana JF na poleni sana na ugonjwa huu wa corona, hakika tutavuka kwa kudra za Mola. Kama mada inavyojieleza nimetafakari sana nimejiuliza maswali mengi kwanini tarehe, miaka na nyakati zinatofautiana kutoka jamii moja hadi nyingine. Wachina wana mwaka wao na mwaka mpya wao, waislam wanazo...
  20. B

    JamiiForums Tanzania Wasanii waungana kutoa wimbo wa kuelimisha jamii kuhusu Corona

    April 4, 2020 CORONA : WASANII WAUNGANA STUDIO KWA MARCO CHALI KUTOA NYIMBO YA KUELIMISHA JAMII Wanamuziki wakongwe wameamua kuingia studio ili kutengeneza wimbo maalum kuelimisha umma juu ya.janga la gonjwa la Covid - 19. Source : millard ayo
Back
Top Bottom