hoja

  1. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CCM wanakwenda bungeni kufanya nini? Mbona wajenga hoja ni wapinzani pekee? Ni kweli kwamba wanadhibitiwa na viongozi wao?

    Ukifuatilia bunge la Tanzania utagundua kwamba wabunge wa ccm ni kama mabubu , jambo kubwa wanalofanya bungeni ni kugonga meza na kusherehesha kauli ya Ndioooo , kama wanavyotakiwa na chama chao ili kuunga mkono bajeti hata kama ina mapungufu kwa 95% Hivi ni kweli kwamba wanatishwa na viongozi...
  2. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Corona: Bunge lilipuuza hoja ya Mch. Msigwa

    Mwezi uliopita wakiwa Bungeni, Mchungaji Msigwa wa CHADEMA alilitaka Bunge lijadili kama dharura issue ya Corona ambapo wangetoka na azimio kama wawakilishi wetu. Hoja hio ikapingwa kwakua tu ilitolewa na MTU ambaye "sio wa kwetu" na kupitisha hoja ya "kipuuzi" ya kumjadili @Zito na World...
  3. technically

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ajibu hoja za Marekani, Asijifiche kwenye hoja za uzalendo, Kwanza sio Mzalendo

    Marekani haijamtuma mtu kuua watu kufunga watu na kuteka watu hapana, Marekani haijatuma mtu kuwashambulia watu kwa risasi hapana, Marekani haijamtuma kuzima vyombo vya habari na kuzuia siasa kwa wapinzani kwa miaka 5 hapana, Kama serikali haijawatuma hao watu kwanini hafanyi upelelezi kuleta...
  4. jmushi1

    JamiiForums Tanzania Kutumia Dola ni kukosa hoja?

    Wanajamvi, hivi kutumia dola dhidi ya wapinzani wako siyo dalili za kuishiwa na hoja kwenye taifa linalojinadi kufuata mfumo wa kidemokrasia? Sidhani kama ni sahihi kumfananisha Trump na siasa zetu kwenye suala la matumizi ya dola. Hakuna usawa wa mifano hiyo hata chembe! Mambo mengi ambayo...
  5. OLS

    JamiiForums Tanzania Hoja kuhusu uhalali (legibility) wa kuwa mbunge

    67.-(1) Bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika ibara hii, mtu yeyote atakuwa na sifa za kustahili kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa Mbunge endapo- ni raia wa Jamhuri ya Muungano aliyetimiza umri wa miaka ishirini na moja, na ambaye anajua kusoma na kuandika katika Kiswahili au Kiingereza; Suala...
  6. jd41

    JamiiForums Tanzania Kufukuzwa Membe CCM: Hakika siasa ni Mchezo kama ilivyo Karata na Draft

    Wanabodi Salaam. Ikiwa taarifa za kufukuzwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu. Bernard Camilius Membe zikiwa bado zinatikisa mimbari ya siasa Tanzania, nimejikuta ninakumbuka matukio machache kabla ya uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2015. Ikumbukwe wakati ule mgombea aliekuwa anapewa nafasi...
  7. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Nadandia kwa mbele hoja ya Rais kuhusu bima ya afya kuwekeza kwenye viwanda vya madawa

    Mh. Raisi J.P. Magufuli nakusalimu na kukupongeza kwa wazo au ushauri wako kwa Mfuko wa Taifa wa bima ya Afya (NHIF) wa kuwekeza makusanyo yao ya michango ya wateja kwenye sekta ya afya hasa kwenye viwanda vya madawa n.k. Mimi nilikuwa na ombi moja ktk kuboresha wazo lako. Naomba NHIF itangaze...
  8. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Profesa René Dumont aliyethubutu kumpinga wazi Nyerere kwenye suala la vijiji vya ujamaa kwa hoja nzito ambayo tayari imetimia

    Nyerere miaka ya 1970 aliwahi kumualika Profesa Mfaransa Rene Dumont mtu aliyebobea kwenye uchumi wa kilimo aliyesifiwa mno kwa uwezo kwenye eneo hilo la uchumi wa kilimo duniani. Alipofika alitembezwa sehemu mbalimbali vijijini. Wakati huo operation ya vijiji vya ujamaa ndio ilikuwa imepamba...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Hoja nzito: Sumaye asema CHADEMA badala ya kupambana na CCM kwa Hoja wao wanashindana na polisi ambao hawatawaweza

    Aliyekuwa mwenyekiti wa kanda ya Pwani na mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA mzee Sumaye amesema mara kadhaa aliwashauri viongozi wenzake wapambane na CCM kwa hoja lakini walimpuuza. Sumaye anasema CHADEMA wamejikita kushindana na polisi ambao kamwe hawatawaweza kwa kuwa askari wanatimiza majukumu...
  10. Yericko Nyerere

    JamiiForums Tanzania Naunga mkono hoja ya Nape, Msigwa na Zitto kuhusu "mabadiliko ya TISS"

    Leo nataka nishereheshe moja ya hoja ya Mh. Nape Nnauye Bungeni aliyoitoa tarehe 10 February 2018 ikiungwa mkono na wabunge Mh Msigwa na Mh Zitto Kabwe ya kupendekeza mabadiliko ya mfumo wa Usalama wa Taifa nchini Tanzania. Nape alitoa hoja hii wiki moja baada ya mimi na yeye kukutana pale...
  11. bahati93

    JamiiForums Tanzania Tahadhari nauli ya SGR itakuwa juu

    Habari Comrade, Nimekuwa nikihisi nauli ya SGR itakuwa kubwa hivyo natoa tahadhari kwa Comrade wenzangu msije pata mshituko siku zitakapotangazwa. Waweza kuwa unajiuliza kwa nini mtu huyu anadhani nauli itakuwa kubwa?, Sababu ni hizi UCHUMI kutokana na shilingi kupoteza thamani itakuwa na...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini bunge lisiwaandikie Benki ya Dunia kupinga hoja za Mbunge Zitto badala ya "kutamani" kuchukua njia ya mkato?

    Bahati nzuri Bunge letu limesheheni wabobezi na ngumbaro wachache, sasa kwanini hoja za Zitto zisijibiwe kwa hoja? Zitto ameiandikia Benki ya Dunia katika nafasi yake kama Mbunge na siyo kiongozi wa chama. Hivyo Bunge lina nafasi nzuri ya kumkanusha Zitto kwa kuiandikia WB ukweli ulivyo badala...
  13. bahati93

    JamiiForums Tanzania Je, mabinti wa shule walaumiwe kwa kushika mimba?

    Habare comrades Nimepanga kujibu swali nililouliza kwenye kichwa cha habari mwisho wa maandishi yangu kwenye huu uzi. Kwanza niweke bayana mabinti ntakaowazungumzia ni wale walio balehe wakiwa shule msingi au secondary. Kutokana na habari nyingi zilizopo juu ya umuhimu wa elimu na hasara kubwa...
  14. bahati93

    JamiiForums Tanzania Kwanini Jangwa la Sahara ni chanzo cha umasikini Tanzania

    Hongereni kwa kuvuka mwaka wanajamii. Hii hali ya kushindwa kukidhi mahitaji muhimu kwa binadamu imekuwa ikusumbua sana nchi maarufu zipatikanazo CHINI YA JANGWA SAHARA. Hali hii sasa inafafanuliwa kama hali ya kuishi chini ya dola moja na umoja wa mataifa hii hali ni umaskini. Kumekuwa na...
  15. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania Wanaosema Rais Magufuli anapendelea Chato wanatakiwa wajibu hoja

    Wanaosema Muheshimiwa Rais anawapendelea wananchi wa Wilaya ya Chato kwa kutekeleza miradi mikubwa wilayani humo hata kaamua kwenda kula Christmas nyumbani kwao waje na hoja hizi (sisi wa Nyamagana hatuna swali, hata zile millioni mia alizotuahidi Mwanza Sekondari zimeshafika project inaendelea)...
  16. bahati93

    JamiiForums Tanzania Wayahudi wakwepa kero kwao msimu wa Christmas waja Tanzania

    World citizen good morning, Kuna ugeni mkubwa wa watalili kutoka Israel umeingia bongo land ni taarifa nimepata hivi karibuni, nadhani wengi watakuwa wanakerwa na sherehe ya Christmas huko kwao wakaona isiwe tabu ngoja tuwapishe mkimaliza tutarudi, kutokana na Watanzania wengi kutokujua...
  17. DAT BOY SU

    JamiiForums Tanzania Kama kawaida wazee wa kudandia hoja wameshadandia issue ya mikopo kwa wanafunzi

    Hili swala la wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam kucheleweshewa fedha zao za mikopo ni swala nyeti na mtambuka, busara inahitajika katika kuliendea jambo hili pasina kuleta sintafahamy yoyote kwa jamii. Cha kusikitisha hili swala baadhi ya viongozi wa upinzan wameshaona ndo agenda yao na...
  18. Superbug

    JamiiForums Tanzania Hoja yangu CHADEMA Jana walihujumiwa

    Nilitafakari Sana Jana juu ya mkutano mkuu wa chadema na kijiratiba Cha Jana Cha rais Magufuli nikaona ilikuwa ni hujuma dhidi ya mkutano mkuu wa chadema. Ilikuwa hivi rais alianza kufungua jengo la mahaka na zimamoto kule Chato. Baada ya hapo akaenda kuchangisha harambee ya msikiti wa Chato...
  19. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Membe: Nasubiri kwa hamu barua ya wito CCM. Hoja zitatolewa na hoja zitapanguliwa

    Bernard Membe, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, WAZIRI wa zamani wa mambo ya nje na mahusiano ya kimataifa nchini Tanzania, Benard Membe amesema, anasubiri kwa hamu, barua ya wito ya kumtaka kufika kwenye Kamati ya Maadili na Usalama ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
  20. bahati93

    JamiiForums Tanzania Nakemea mavazi ya kinazi aliyovaa Mr Blue kwenye video ya Mawe

    Habari ya asubuhi wanajamii. Kuna mambo mengi sana ya kuiga hapa duniani lakini kuna mengine siyo ya kuiga kabisa kama jambo ambalo amefanya Mr Blue kuvaa mavazi ya kinazi kwenye video ya music inayokwenda kwa jina MAWE akiwa kashirikishwa yeye pamoja na RayVanny na msanii wa kitaa ambaye...
Back
Top Bottom