Je, ni kiongozi yupi ungeshauri ajiuzulu kutokana na kushindwa kuwajibika katika janga la COVID19?

Dam55

JF-Expert Member
Oct 8, 2015
5,592
11,831
Wanajukwaa naomba kutoa hoja hii tuijadili sisi kama Watanzania tuliowapa dhamana watu fulani kutuongoza. Nchi si mali yao bali ni mali ya Watanzania.

Je, kwa hali tuliyo nayo sasa wewe kama Mtanzania unadhani ni kiongozi yupi amevurunda zaidi na anapaswa kuachia madaraka?
Utoe sababu ni kwanini unashauri hivo.

Je, ni wakati sahihi kwa Rais kuachia madaraka!?

Usije na chuki binafsi ila uje na sababu za msingi kwanini unataka ajiuzulu.

Kwa upande wangu mimi, nashauri Waziri wa Afya ajiuzulu kwasababu hana mamlaka kamili kwenye Wizara anayoiongoza, yupo kama kivuli tu kwa kupokea maagizo.

Mfano, Waziri wa Sheria anaagizwa kuchunguza Wizara ya Afya hii ina maana kuwa Waziri husika ameshindwa kazi ama anadharauliwa.

Naomba kutoa hoja.
 
Alafu mods Mimi sikuwaomba mbadilishe heading ya Uzi wangu na naona hata nilio yaandika kwenye maelezo yangu mme edit, nawaambia tena waacheni watu wewe huru Muache unafiki.

Mimi sijasema kuwa sababu ya wao kujiuzulu ni Covid-19 pekee kama nyinyi mlivoamua ku edit kichwa cha mada hapo juu.

Kama ni madudu yamefanyika mengi tu na watu tumeona na si kwenye kipindi hiki cha Covid-19 peke yake.

Unafiki wenu unazidi viwango sasa.
 
Weka kando chuki binafsi ukija hapa mkosoe mtu kwa haki na uozo alioufanya na si kumpakazia yasiyo mhusu.
 
Wanajukwaa naomba kutoa hoja hii tuijadili sisi kama Watanzania tuliowapa dhamana watu fulani kutuongoza. Nchi si mali yao bali ni mali ya Watanzania.

Je, kwa hali tuliyo nayo sasa wewe kama Mtanzania unadhani ni kiongozi yupi amevurunda zaidi na anapaswa kuachia madaraka?
Utoe sababu ni kwanini unashauri hivo.

Je, ni wakati sahihi kwa Rais kuachia madaraka!?

Usije na chuki binafsi ila uje na sababu za msingi kwanini unataka ajiuzulu.

Kwa upande wangu mimi, nashauri Waziri wa Afya ajiuzulu kwasababu hana mamlaka kamili kwenye Wizara anayoiongoza, yupo kama kivuli tu kwa kupokea maagizo.

Mfano, Waziri wa Sheria anaagizwa kuchunguza Wizara ya Afya hii ina maana kuwa Waziri husika ameshindwa kazi ama anadharauliwa.

Naomba kutoa hoja.
Collective responsibility for the whole Government, they have messed up enough for them to be accountable. We had Isabella as the 1st patient, we took no action and the disease is now widely spread throughout the country. How are we going to combat it now?Even Mr.President himself he doesn't know what to do anymore.We better start afresh.
 
Mbona hata mwenyewe anajijua! Hata ofisini siku hizi haendi kabisa siku karibia 40 utadhani kafunga Kwaresma, kaenda kule atakapozikiwa akifa.
 
Nadhani viongozi wote duniani wajiuzulu,tuanze upya dunia nzima au mnaonaje wakuu mana hili janga si la dunia nzima au niaje ,kwani si tumeamua kuweka siasa pembeni
 
Dam55 ili ni janga tu kama majanga mengine.nchi nyingi zimepitiwa na janga hili.
hii ni africa sio ulaya ukianza kuangalia mapungufu basi serikali nzima itajiuzulu.
na serikali nyingine ikija pia itafanya kazi kwa muda itajiuzulu.
mpaka mifumo flani ibadilishwe ikiendana na mabadiliko makubwa ya katiba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani viongozi wote duniani wajiuzulu,tuanze upya dunia nzima au mnaonaje wakuu mana hili janga si la dunia nzima au niaje ,kwani si tumeamua kuweka siasa pembeni
Mkuu Mimi sikusema kwasababu ya hili pekee niliongelea suala hili kiujumla kabisaa tangu awamu hii ianze ila Sasa hao mods ndio wameharibu kwa kubadilisha kichwa cha Uzi na kukiweka kihusishe Covid-19.
 
Dam55 ili ni janga tu kama majanga mengine.nchi nyingi zimepitiwa na janga hili.
hii ni africa sio ulaya ukianza kuangalia mapungufu basi serikali nzima itajiuzulu.
na serikali nyingine ikija pia itafanya kazi kwa muda itajiuzulu.
mpaka mifumo flani ibadilishwe ikiendana na mabadiliko makubwa ya katiba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikuzungumzia Covid-19 pekee mkuu ila mods ndio wakajifanya wajuaji kubadili kichwa cha mada.
 
Collective responsibility for the whole Government, they have messed up enough for them to be accountable. We had Isabella as the 1st patient, we took no action and the disease is now widely spread throughout the country. How are we going to combat it now?Even Mr.President himself he doesn't know what to do anymore.We better start afresh.
Kwa maoni yako haya Karibu 99% ya marais wote duniani wanapaswa kujiuzulu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kuchukua tahadhari ya afya yako mwenyewe ni lazima usikie tamko la kiongozi? Tubadilike japo kidogo basi
 
Back
Top Bottom