Miaka 5 ya Magufuli kukimbizana na Chadema na kuacha hoja yake kuu iliyokuwa ni UFISADI

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Nimesikitika sana baada ya kusoma report ya CAG kichere hakika ni majonzi makubwa kwa walipa kodi wa taifa hili, kuanzia Halimashauri wizarani, NEC, Police, Jeshini pesa zimepigwa sio utani hakika zimepigwa.

Je wizara zilizo chini yake hali ipoje? je ununuzi wa ndege je matumizi yake hali ipoje? kama wasaidizi wake wanapiga vile?

Wakina Kigwangala na katibu wake mpaka sasahivi bado wapo tu ofisi?

Mtu aliyejipambanua ni kiboko wa kupambana na ufisadi miaka 5 imepita anakimbizana na chadema na kuacha sera yake kuu ilikuwa ni kupambana na ufisadi uliokithiri katika taifa? Mahakama ya mafisadi iko wapi mbona wakosoaji ni rahisi sana kuwafunga?

Nakuhakikishia hata hizo kura kidogo ulizopata ni kwamba watu walikuwa na imani kidogo na wewe kuliko lowassa kwenye kupambana na ufisadi ila kitendo cha kufeli kwenye ufisadi hauna pa kutokea umefeli na umewasaliti watanzania.
 
Nimesikitika sana baada ya kusoma report ya CAG kichere hakika ni majonzi makubwa kwa walipa kodi wa taifa hili, kuanzia Halimashauri wizarani, NEC, Police, Jeshini pesa zimepigwa sio utani hakika zimepigwa.
Wapigaji ni marafiki wa Jiwe, katika ripoti hiyo, hakun atakayeguswa. Jeshi analiogopa, Kigwa ni Kichaa mwenzake as per his own words (situkani alisema hivyo mwenyewe kuwa anachagua kichaa kichaa kama yeye)....... Lugola ni mwanafunzi wake na Zonemate, labda awepo wa CDM katika ripoti hiyo..
 
Uchafu upo ccm Wa aina zote

Wachafu wa matumizi mabaya ya madaraka wapo ccm

Wachafu wa matumizi mabaya ya fedha za umma wapo ccm

Kwao ufisadi, wizi, uzushi na ukandamizaji ndio maisha

Chadema wanateseka bila hatia yoyote, sasa tumeona wahalifu wote wapo ccm

JE MAHAKAMA YA MAFISADI ITASWIHI?
 
Uchafu upo ccm Wa aina zote

Wachafu wa matumizi mabaya ya madaraka wapo ccm

Wachafu wa matumizi mabaya ya fedha za umma wapo ccm

Kwao ufisadi, wizi, uzushi na ukandamizaji ndio maisha

Chadema wanateseka bila hatia yoyote, sasa tumeona wahalifu wote wapo ccm

JE MAHAKAMA YA MAFISADI ITASWIHI?
 
Nimesikitika sana baada ya kusoma report ya CAG kichere hakika ni majonzi makubwa kwa walipa kodi wa taifa hili, kuanzia Halimashauri wizarani, NEC, Police, Jeshini pesa zimepigwa sio utani hakika zimepigwa.

Je wizara zilizo chini yake hali ipoje? je ununuzi wa ndege je matumizi yake hali ipoje? kama wasaidizi wake wanapiga vile?

Wakina Kigwangala na katibu wake mpaka sasahivi bado wapo tu ofisi?

Mtu aliyejipambanua ni kiboko wa kupambana na ufisadi miaka 5 imepita anakimbizana na chadema na kuacha sera yake kuu ilikuwa ni kupambana na ufisadi uliokithiri katika taifa? Mahakama ya mafisadi iko wapi mbona wakosoaji ni rahisi sana kuwafunga?

Nakuhakikishia hata hizo kura kidogo ulizopata ni kwamba watu walikuwa na imani kidogo na wewe kuliko lowassa kwenye kupambana na ufisadi ila kitendo cha kufeli kwenye ufisadi hauna pa kutokea umefeli na umewasaliti watanzania.
Uliza kwanza pesa ya ruzuku upinzani inatumikaje!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mada kama hizi zinazohitaji mijadala ya kina, ili kunyambua vyema sehemu alizoshindwa na kama zipo alizoshinda.

Si kazi ngumu sana kufanya unyambuzi wa hakika nawenye ushahidi, kwa sababu mambo mengi yanafahamika.

Sijasoma ripoti ya CAG kuweza kujua kama upotevu/uvurugaji wa pesa zilizotengwa sehemu mbalimbali ni upigaji au ni uzembe wa kutosimamia na kuweka kumbukumbu nzuri.

Je, kuna sehemu/wizara ambazo zimeonyesha mafanikio? Ardhi wanasemaje? Kuna nafuu huko? Na wapi kwingine?
Maswali ya kujiuliza: Inakuwaje kwa mtu/kiongozi aliyejipambanua kuwa mpigananji zidi ya madudu kama haya, ndiye aonekane kuwa dhaifu juu yake? Watu wajifanyie tu ya kwao kama hawasikii lolote.

Wengine tulisema toka mwanzo, kwamba, pamoja na matamko haya ya kupambana na ufisadi, njia zinazotumika sio sahihi na wala hazina uendelevu wowote. Tukapendekeza afuate yaliyoelezwa kwenye semina iliyotolewa na Bi. Bird, mwakilishi wa Benki ya Dunia wakati ule. Semina ile ilikuwa ni kama shule kabisa kwake kama angetaka kufuata ushauri ule. Lakini yeye kama kawaida yake akaona maguvu, kuburuza ndizo njia sahihi kwake.


Sasa tumefika hapa, ni kama tunatoa mrejesho wa mambo yalivyojitokeza.

Tuchukue mda na tujaribu kadri iwezekanavyo kunyambua makosa yaliyofanyika. Tukifanya hivi, haitakuwa kama kulalamika tu, bali tutasaidia pia kutafuta njia sahihi za kuyazuia haya madudu..

Kumbuka, kazi kubwa kwetu ni kuiona Tanzania ikifanikiwa, na sio lazima kama Magufuli ndie atakayeifanikisha au mtu mwingine atakayekuja baada yake.
 
Nimesikitika sana baada ya kusoma report ya CAG kichere hakika ni majonzi makubwa kwa walipa kodi wa taifa hili, kuanzia Halimashauri wizarani, NEC, Police, Jeshini pesa zimepigwa sio utani hakika zimepigwa.

Je wizara zilizo chini yake hali ipoje? je ununuzi wa ndege je matumizi yake hali ipoje? kama wasaidizi wake wanapiga vile?

Wakina Kigwangala na katibu wake mpaka sasahivi bado wapo tu ofisi?

Mtu aliyejipambanua ni kiboko wa kupambana na ufisadi miaka 5 imepita anakimbizana na chadema na kuacha sera yake kuu ilikuwa ni kupambana na ufisadi uliokithiri katika taifa? Mahakama ya mafisadi iko wapi mbona wakosoaji ni rahisi sana kuwafunga?

Nakuhakikishia hata hizo kura kidogo ulizopata ni kwamba watu walikuwa na imani kidogo na wewe kuliko lowassa kwenye kupambana na ufisadi ila kitendo cha kufeli kwenye ufisadi hauna pa kutokea umefeli na umewasaliti watanzania.

Huwa ninasema na ninaendelea kusisitiza kuwa Magufuli hajawahi kupambana na ufisadi, na hatakaa apambane na ufisadi, sana sana anapambana na matumizi ya neno ufisadi. Magufuli kama Magufuli ana wivu na nongwa ya kisiasa dhidi ya cdm, na kwakuwa cdm ilikubalika kutokana na ajenda hiyo ya ufisadi, basi akaipoka akidhani ccm nayo itapata mvuto kama cdm. Lakini alipotaka kupambana na ufisadi, akakuta ndio mti waliojenga ccm, tena karibia viongozi wote waliokuwa waandamizi wa ccm, na akajua fika akichukua hatua hata yeye atakuwa muhusika.

Baada ya kujua yeye binafsi na wanaccm wenzake ndio hasa mafisadi, akaifuta mahakama ya mafisadi, akapiga marufuku vyama vya siasa kufanya shughuli za kisiasa nchi nzima, na lengo hasa ilikuwa ni kuizua cdm. Akabana uhuru wa vyombo vya habari, ili uchafu usiendelee kuweka wazi, kisha akaanzisha kitengo cha propaganda kuhadaa umma kuwa anapambana na ufisadi. Bunge nalo akalifunga mikono na miguu ili limtii yeye na kuuza uhuru wake. Kiongozi wa aina hiyo hawezi kupambana na ufisadi.

Sasa hivi miaka mitano imetimia muda wa kutoa mahesabu, wanaccm wote hawako tayari Magufuli aingie kwenye ushindani, wanataka apite bila kupingwa, maana wanajua fika akibanwa kwenye hoja zote, lazima atachemsha. Hivyo wanaccm kutaka Magufuli asishindane ni kwakuwa wanajua fika akitokea mshindani akaweka mapungufu yake hadharani, basi atajikuta kwenye wakati mgumu kama JK dhidi ya Dr. Slaa uchaguzi wa 2010. Kimsingi ccm wanaweza kucheza hiyo rafu ili Magufuli awe mgombea pekee, ila hofu yao ni hii hali ya Marekani kushikia bango uchaguzi wetu wa sasa. Hivyo wanajaribu kuweka mazingira ili asiwe na mshindani, lakini mazingira ya kisiasa waliyoweka sio rafiki, hivyo wamemkamata Mbatia na Lipumba ili wawasaidie kwenye huu mziki.
 
Hizo ripoti zimeeditiwa angalau zisiii umbue serikali, nakumpa credit CAG aliyepita Pfof. Asad sisi tuliobahatika kuona original version ni hatari tupu, kuna ufisadi wa kutisha

Nilipoona huyu CAG wake katoa ripoti hiyo, nikajua lazima uchafu ni mwingi kupita maelezo, na sasa hivi watu wanajipigia tu maana hakuna kelele za wapinzani, wala vyombo vya habari. Kisha wakishapiga wakiwa hadharani wanampa sifa za kijinga ili kumfumba macho kama kina Kangi Lugola.
 
Awamu ya Nne inasingiziwa tu upigaji wa Awamu ya tano unaendana na vigelegele
 
Back
Top Bottom