Good Morning people,
Kwanza kabla sijafika mbali napenda niweke bayana mambo yafuatayo.
Mosi: binadamu tumetofautiana talanta kutokana na katiba ya miili yetu ilivyoumbwa. Hivyo sio jambo jema kukashifu mwingine kutokana na mapungufu ambayo yapo nje ya uwezo wa asili wa miili yao. Waraka huu...
Nafahamu kwamba watu wengi wameanzisha threads wakijaribu kuelezea suala la CAG Kisheria! Hata hivyo, wengi wao kama sio wote walichofanya ni kurundika vifungu vya kisheria bila kutoa ufafanuzi!
Mbaya zaidi, hawatoi ufafanuzi wa matumizi ya neno SHALL kwa mujibu wa sheria zetu! Nimelazimika...
Habari za kushinda.
Hapa majuzi nimesika Habari iliyonifanya kushtuka sana kimawazo juu ya huko tunakoelekea. Habari yenyewe ilikuwa ni juu ya papa wa roma kutoa kibali kwa mapadre wa jamii moja huko amerika kusini kuoa na kuzaa watoto. Ni habari inashtusha sana endapo itaendelea kutokea katika...
Leo tunakosa nguvu ya majadiliano ya kina yanayotawaliwa na nguvu ya hoja "critical thinking argumentation"mijadala yetu haikosi kushambuliana kwa maneno machafu na haitoi mahitimisho au mwanzo wa hoja nyingine kujijenga.
"Full of personal attacks and assaults" tunasahau tulikotoka.
Babu zetu...
Mbunge wa Geita Vijijini mh Joseph aka Musukuma amesema atapeleka hoja binafsi Bungeni ili kila mkoa umiliki ndege zake za kibiashara.
Musukuma amesema hoja yake bungeni itabainisha namna ya ndege hizo zitakavyofanya biashara ili kuwepo na ushindani wa halali wa kibiashara baina ya mkoa na...
Hello wanajamii,
Waweza kujiuliza maputo yana siri gani mpaka kupelekea watoto kuridhika na kufarijika sana pale wanapopata puto la kuchezea.
Basi nitawaeleza siri ya puto.
Kwanza yakupasa kujua ya kwamba kwenye ulimwengu ambao tumejikuta tunaishi kuna force kuu nne ambazo zinafanya kila...
Habari wandugu
Kipindi cha mvua maji hutwama na kuleta adha kwa wapita kwa mguu.
But kuna wahandishi wenye fani kubwa sana ya kuweka mawe hivyo watu kupita juu juu.
Hakita ni wa kupongwezwa kwan wanafanya free kabisa, wabarikiwe.
Chek ufanisi huu kwa picha.
Habari wanajamii wenzangu.
Kama kichwa kinavyojieleza nimepanga kuongelea juu ya dalili za kuangalia kwa kondata pale unapokua abira ndani ya daladala zetu ili kuzuia kitendo cha konda kukuruka akiwa anakusanya nauli hivyo kupelekea konda kukosa mapato anayostahili.
Kwanza kabla sijaingia...
Habari ndugu zangu, kutokana na tukio lililotokea hivi karibuni nyanda za juu kusini la Vijana kupigwa bakora hadharani limenisukuma nitoe ufafanuzi hukusiana na tukio hilo.
Nitaeleza vitu vinavyosukuma fikra za mtu kutia maumivu katika mwili wa binadamu mwenzie na kutoa maelezo uhusiano baina...
Ni siku ya ijumaa alasiri naelekea kituo cha mabasi ya usafiri kwa raia ndani ya jiji la dar es salaam, hii ni ijumaa tulivu jua lishaanza mapumziko yake, rangi yake maridadi ya kahawia iliyochanganyikana na yangi ya machungwa imetanda angani, hakika ni siku tulivu ndege wanaruka na kuimba kwa...
Hichi ni kisa cha kale kinachopatikana katika hekaya za zamani za waigiriki na miungu yao, iliyokuwa ikiabudiwa kipindi hicho kabla ya KRISTO.
Tofauti kubwa kati ya miungu yao na MUNGU anayeabudiwa na wakristo ni kwamba miungu yao nayo ilikuwa na hulka mbalimbali za kibinadamu tofauti ni...
Bila shaka hapa ulimwenguni hamna kitu kinaogofya Zaidi ya kupoteza uhai kwa viumbe hai ( WANYAMA NA BINADAMU). Hali hii hutokana na mfumo wa fahamu unaofanya kazi automatic kulinda na kudhibiti uhai usiponyoke mwilini. Kinachopelekea hudhuni kubwa kumwangukia binadamu kutokana na matokeo ya...
Nchi yaweza kuchukuliwa kama kiumbe ambacho kina baathi ya sifa ambazo mwanadamu anazo na sifa ambazo haiwezi kuzipata kutokana limitation ya kwamba nchi inaexist katika mind construct ( shared belief) kwamba watu ambao wapo ndani ya mipaka ambayo inaweza kuwa physical au imaginary line drawn...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.