johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,903
- 141,851
Wote ni mashahidi kwamba wabunge wanaotoka Chadema na kuhamia CCM huwa wanashindwa kujieleza kabisa japo bunge ni lile lile. Waangalie akina Dr Mollel, Ryoba, Ole millya, Gekue na hata Waitara uwezo wao wa kujenga hoja na kuuliza maswali ni mdogo sana tofauti na walivyokuwa Chadema.
Kuna wakati Spika Ndugai alisema huwa anazikataa hotuba za mawaziri vivuli wa Chadema kwa sababu wanaandikiwa na watu walioko mitaani na wao kazi yao ni kusoma tu kama kasuku.
Hata ukiangalia hawa wabunge " masalia" wa Chadema utaona wazi baada ya kutengana na chama ni kama vile uwezo wao wa kujenga hoja wameuacha Ufipa.
Akisimama Selasini au Lwakatare kuongea utatamani uzime tv huyo Silinde aliyekuwa Katibu wa wabunge wa Chadema ndio anaweza kukutoa machozi kabisa.
Natoa tu angalizo maana CCM kuna vichwa, mtu kama David atamuweza kweli Juliana pale Momba?
Maendeleo hayana vyama.
Kuna wakati Spika Ndugai alisema huwa anazikataa hotuba za mawaziri vivuli wa Chadema kwa sababu wanaandikiwa na watu walioko mitaani na wao kazi yao ni kusoma tu kama kasuku.
Hata ukiangalia hawa wabunge " masalia" wa Chadema utaona wazi baada ya kutengana na chama ni kama vile uwezo wao wa kujenga hoja wameuacha Ufipa.
Akisimama Selasini au Lwakatare kuongea utatamani uzime tv huyo Silinde aliyekuwa Katibu wa wabunge wa Chadema ndio anaweza kukutoa machozi kabisa.
Natoa tu angalizo maana CCM kuna vichwa, mtu kama David atamuweza kweli Juliana pale Momba?
Maendeleo hayana vyama.