hela

  1. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Nani wanaongoza kuomba hela?

    Namba moja michepuko-hao ni balaa! Namba mbili mama chanja(mamsap) Namba tatu ndugu na jamaa! Namba nne, kanisani/msikitini! Namba tano michango ya jamii-ulinzi shirikish, gari la taka n.k. Namba sita chama.......! Mwana JF weka nawe wa kwako!
  2. TENGEFU

    JamiiForums Tanzania CRDB wanachukua hela zetu kwenye akaunti bila idhini yetu

    Kwa mara nyingine tena CRDB wameendelea na tabia yao ya ku draw hela kwenye akaunti za wateja bila idhini yao. Mimi ni mmojawapo niliyepokea ujumbe unaosema "Dear customer, TZS 10,446.43 has been drawn from account 0212 for queries call 0755197700, popote inatiki. Hii ni akaunti ya USD na mpaka...
  3. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania GE2020 Waangalizi wa ndani walalama kutokuwa na hela

    Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera amewashauri waangalizi wa ndani wa uchaguzi kuwa na fedha ili wawe na uwezo wa kufanya kazi hiyo badala ya kutegemea wafadhili. Ametoa kauli hiyo leo wakati NEC ilipokutana na kufanya mazungumzo na watazamaji wa uchaguzi ndani na nje...
  4. MK254

    JamiiForums Tanzania Brazil: Kiongozi mwanasiasa akutwa amesindika kitita cha hela kwenye makalio

    Tena mtu mzima mwenye heshima zake kama kiongozi, ameanikwa kwenye runinga ya taifa la Brazil na sasa taarifa zake zimeenea duniani kote Chico Rodrigues reportedly had 30,000 reais (more than £4,000) in his underpants. Photograph: Adriano Machado/Reuters Jair Bolsonaro’s efforts to portray...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Wale ambao tulikuwa hatuna hela tangu kitambo ila sasa tunasingizia Corona tukutane hapa

    Wakuu binafsi mm sio tajiri ila nina ndoto za kuwa tajiri, hata hivyo namshukuru mungu maisha yanasonga japo napata ka hela kakubadilisha mboga Mwenyezi Mungu apewe sifa na utukufu. Sasa hivi corona amekuwa mtetezi wangu mkuu, yaani hata mtu akiniomba hela na nikiwa sina na singizia corona...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Mafao: Kwanini Hela zangu zitungiwe sheria za ajabu?

    "Kwa nini hela zangu zitungiwe sheria za ajabu?" Amesikika mdau mmoja aliyeachishwa kazi na bahati mbaya kupata ajira nyingine imekuwa ngumu kwake. Alipofuatilia mafao yake NSSF kaelezwa akae miezi sita ndio atalipwa stahiki zake na atakuwa akilipwa asilimia 33 ya mshahara wake wa awali Huyu...
  7. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Baada tu ya kampeni maana walipewa hela ili wawepo wakasema mkataba umeisha

  8. S

    JamiiForums Tanzania Kurudishia hela AliExpress na ebay

    Wanajamvi naomba mnisaidie kunielewesha nimenunua vitu AliExpress muda wakuvituma umepita mzigo sijapata je nazidai kwa kutumia njia gani wanirudishie eBay pia nimenunua vitu seller amecancell je nafanyaje hela yangu warudishe.
  9. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hela ya mchezo na marejesho ndio chanzo cha wadada wengi kuliwa kiulaini siku hizi

    Wasalamu wakuu! Siku hizi wanawake hasa mijini wako busy na michezo ya upatu na VICOBA au Sacco's . Sasa ikifika siku ya marejesho au Kusubmit pesa ya mchezo wanahaha kabisa mpaka wanaanza kujirahisisha kwa wanaume. Kama mnavyojua sisi wanaume wema wetu huishia kujitunukia nyuchi. Usikubali...
  10. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke anayekupenda kikweli hawezi kukuomba hela

    Mwanamke anayekupenda kikweli hawezi kukuomba hela ila yeye ndiye atakupa wewe. Atafanya kila awezavyo akutafutie vizawadi ili ujue anakupenda. Atatumia gharama zake mwenyewe. Mwanamke anayekupenda anakutaka wewe tu kama ulivyo anakuhitaji tu wewe. uwepo wako kwake unatosha, hahitaji pesa yako...
  11. A

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini ukiishiwa hela, baadhi ya watu wa karibu wanakucheka, na kukukejeli waziwazi na kisirisiri

    Nimeobserve hili swala, unakuta MTU amepiga bingo, labda kalipwa pensheni, au kashinda betting, au hustle zake zimemlipa pesa nyingi kidogo, watu wa pembeni wanaanza kusema, ahh flani kapata million 200, zile pesa zitaisha tu.. Kwamfano ikitokea umefilisika, watu wa karibu, especially marafiki...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Video: Mtu mweusi maskini akipata hela nyingi anakuwa limbukeni

    Inakuwaje wanaJF! Ni ulimbukeni kujirokodi ama kupost I na mihela mingi. It is a very sad display and lack of humanity and dignity.
  13. kavulata

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ukosefu wa hela ya kupiga kampeni wageuka neema kwa vyama vikubwa nchini

    Njia pekee ya kukabiliana na gharama za uchaguzi ingekuwa kutoa ruzuku na misaada kwa vyama vya siasa nchini. Kukosekana kwa hela ya kumudu gharama za kupiga kampeni imesababisha vyama vidogo kuviunga mkono vyama vikubwa kwenye mbio za uchaguzi. Kama kungekuwa na ruzuku ya kupigia kampeni TLP...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Kwanini Serikali inaleta siasa kwenye hela za mafao?

    Sababu kuu ni kwamba mifuko hiyo iko hoi. Pesa za mifuko ya hifadhi ya jamii hazitajenga kiwanda chochote. Ni siasa tu. Pesa za mifuko ya hifadhi ya umma sio pesa za serikali, ni pesa za wafanyakazi. Zinatokana na makato yao ya mishahara. Serikali imekuwa inatumia pesa hizi kama zake, wakati...
  15. DocJayGroup

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa utaratibu wa kupata SMS za mtu kupitia watoa huduma (mitandao) na kama polisi Tanzania wanafanya polygraph test

    Nimeona sio mbaya kuingia kwa JF kupata information zaidi sababu kuna watu wana knowledge nyingi sana na mbalimbali hapa. Katika saiti yangu moja ya kazi, kuna nyumba za wafanyakazi. Kijana mmoja mwangalizi mkuu wa saiti hio, amekuwa akitunza hela kwenye ndoo sababu wazazi wake walipitia tatizo...
  16. KISUNZU YP

    JamiiForums Tanzania Kwa hali hii ya ushindani admission ya 2020/2021 udaktari. Je, nimepoteza hela yangu?

    Wale watalaam wa mambo haya ambao mnawezakuwa mnajua naomba hata neno la faraja Mimi nina Diploma in Clinical Medicine (Clinical Officer) na GPA ya 3.4 O'level Nina Phys C, Chem C, Biology D, Math c, Eng B Na nimeomba UDSM(Mbeya), MUHAS, UDOM na St. Francis Je! Nimepoteza pesa au nitapata?
  17. Rajab_Omar

    JamiiForums Tanzania Ivi Hawa Majirani Zetu wa Jangwani Wamekosa hata Mtu wa Kuwashauri kwenye Mavazi? Kweli kumuiga Simba SC bila hela ni kushindana na Tembo Kunya Boga

    Kila nikiiangalia hii Picha huwa najiuliza Ni Utopoloni pekee ndiyo Suti inavaliwa na Raba? Unaweza kudhani hichi ni kikundi cha wafanyakazi wa Hotelini wakijiandaa kulisha Watu waliohudhuria kwenye Mkutano au Kikao cha Kikazi. Kama kawaida yao kwenye kuigaiga Walijaribu kutuiga Simba lakini...
  18. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Siri ya kutokukosa hela tena (Kutokufulia) hii hapa. Soma hutajuta...

    Watoto hufanya kile wanachokipenda ila mtu mzima kabarikiwa uwezo wa kuujua uhalisia, kubuni mipango na kuifata. Kuna kitu muhimu ambacho hakikwepeki mimi na wewe tunapotumia pesa, si kingine bali ni "HESABU", yawezekana ni wengi tu tunazijua hesabu lakini hapa ni kuhusu kuzitumia...
  19. MKATA KIU

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mo mwenye hisa 49% Simba atoe bilion 20 na wengine wenye hisa 51% hawatoi hela yeyote

    Swali kwa wana Simba na wengineo: Uwekezaji wa simba Mo anamiliki 49%, wanachama wengine wa simba wanamiliki 51%. Why bilioni 20 ya Mo Dewji tu ndio inakomaliwa iwekwe? Na kwa nini wanachama wengine wamiliki wa 51% hawaulizwi bilion 22 wao wanaziweka lini? Naona kama mo ananyonywa vile...
  20. KENZY

    JamiiForums Tanzania Ile hela tuma kwenye namba hii, ugonjwa usiokoma!

    Nimeamka asubuhi tu nakutana na sms yao ati nitumie hela kwenye namba hii..! Haya majamaa sijui huwa yanafikiria hela ni kama pua tu kila mtu anayo!!.. wangejua hii weekend imekaa kikomamanga hata wasingetuma li sms lao..! Mtu huna hata ya kununulia soda ya jero licha ya soda tusiende mbali hata...
Back
Top Bottom