hela

  1. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dadadeki!! Kwa mwezi wa Desemba tu KRA imekusanya Ksh166 billion, kwa hela madafu hizo ni kama Tshs 3,652,000,000,000 yaani Trilioni 3.6

    Juzi TRA ya Tz walisema wamekusanya trilioni mbili, mitandao haikukalika kwa namna mataga walisifia wengine wakisema Tanzania sasa inaipiku Kenya kiuchumi, haya hapa KRA imekusanya mara mbili ya hiyo... =============================== Kenya Revenue Authority (KRA) has signaled a speedy economic...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Halotel wameshikilia hela yangu nimekusudia kwenda kushtaki

    Nilimtumia mtu fedha kutoka kwenye akaunti yangu ya halopesa Ile hela haikufika ila kwenye akaunti yangu wakaikata! Niliwasiliana na huduma kwa wateja bila mafanikio! Ni wiki sasa ile hela bado hawajanirejeshea! Wadau ninataka kwenda kuwashtaki.
  3. Akili zangu hazipo sawa

    JamiiForums Tanzania Tabia ya vodacom kichukua hela ya muda wa maongezi bila idhini ya mteja na kituma ujumbe "samahani umefanikiwa kununua tiketi lakini hukiweza kishinda

    Kama umewahi kukumbwa na kitu kama hiki karibu tushauriane nn tatizo la huu mtandao au ndo namna ya kujiongezea kipato chao
  4. Yoranda

    JamiiForums Tanzania Ukijengea nyumba kwa hela ya kuhemea ni ujinga

    Eti jameni mume wangu amejenga kijumba haijaisha bado. Tunakula dagaa na nyama mara moja moja, Je anatesaje wanae? Kwa kuwa ni kweli ujenzi hauishi siku moja, sawa ujinga unakujaje hapo
  5. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania Ukituma hela utume na ya kutolea

    Habari za humu wajameni!? Kila kitu kipo good oke. Wajameni naona siku hizi kuna huu msemo sio kwa wanaume wala wanawake tena kwao ndo umezidi kwamba ukituma hela utume na ya kutolea. Sasa sijajua hiyo huduma ya ukituma utume na ya kutolea ipo katika mitandao yetu hii tunayotumia pia kama...
  6. HAZOLE

    JamiiForums Tanzania Hivi mtu akifa na hela zake ziko benki na Mpesa, tukiwa na cheti cha kifo tunaweza fuatilia?

    Wajuzi naomba msaada. Ndugu kafa. Ana akaunti benk ila password hazijulikani pia ana mpesa na pesa zipo ila no password. Mkewe ana death certificate. Atapataje pesa za mmewe? Pia ana cheti cha ndoa. Msaada
  7. M

    JamiiForums Tanzania Madai ya Hela za mafao wafanyakazi TRC

    Habari! Natumai mu wazima! Leo nataka kutumia jukwaa hili kuwakilisha kilio cha wastaafu wa shirika la reli Tanzania (TRC) ambao kwa zaidi ya mwaka sasa wamekuwa wakifatilia mafao yao kwenye mashirika ya hifadhi za jamii bila ya mafanikio, sababu kubwa ikiwa ni kuwa shirika halikuwa likipeleka...
  8. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Kulikuwa na haja gani ya Mkude kunywa bia kama alikuwa hana hela?

    Mkude kasimamishwa kwa utovu wa nidhamu, lkn kosa alijatajwa. Taarifa za uhakika kabisa ni kuwa siku ya sikukuu Mkude alienda kiwanja flani akaagiza bia za kutosha na baada ya kulewa akasema hawezi kulipa hata sh 10 na badala yake wakachukue hela kwa Mo Dewji maana kuna malimbikizo flani flani...
  9. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini hela ya Kenya ina thamani zaidi, tena mbali kuliko ya Tanzania wakati tumebarikiwa kila kitu?

    Jambo moja linalonipa shida kuliko hata kuibiwa kura ni hili la hawa wakenya jirani zetu, hela yao ipo na thamani kubwa sana sana kuliko za kwetu -- tatizo ni nini? Na kila siku tunajilabu tuna utajiri uliotukuka, naikumbuka ile sentensi ya Mwalimu Nyerere. Watanzania Uchumi mnao... Tufanye...
  10. yuda75

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Mwanaume ukilala na Mwanamke usipompa hela baada ya tendo anakudharau sana?

    Utamaduni wa wenzetu walioendelea huwa mtu akitoka out na mpenziwe mwanamke ndiye anaclear bill lakini kwa nchi zetu za kibongo ukimtoa mwanamke out atafanya kukukomoa aagize vitu vya gharama balaa isitoshe zaidi watoto wa chuo hakawii kubeba marafiki zake wa kutosha. Sasa ukija swala la kudo...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Vilabu vya Simba, Azam na Yanga kuna hela

    Wanabodi kwa takribani miaka mingi sasa Simba, Yanga na Ujio wa Azam kumekuwa na tatizo la kifedha kwa vilabu kama Simba na Yanga. Lakini ujio wa MO simba na GSM kwa yanga inaoneakana kuna uhai kidogo. Azam wao wako vzr tangu mwanzo. Me naamini kabisa Simba au Yanga wanahela zipo kwa wapenzi...
  12. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkenya achuma hela Ulaya kwa kugema pombe ya kienyeji

    Ndio kama hivyo, jamaa ametoka kimasomaso kwa kugema "muratina" aina ya pombe ambayo huku sio halali. Wazungu wameichangamkia na kuachia dollars $$$$ Foreigners enjoy Muratelia drink in the UK MURATINA A Kenyan man is minting money in the UK by brewing and selling the locally produced...
  13. T

    JamiiForums Tanzania Hebu tujuzane benki zinazotoa rates nzuri iwapo uta-fix hela kwenye account

    Kama mtu ukitaka kufix hela kwenye account kwa miezi 3 au sita ili upate riba/faida, ni bank ipi ina rate nzuri kwa miaka hii? tf.
  14. C

    JamiiForums Tanzania Kucheleweshwa kwa Hela za kujikimu kwa wanafunzi wa elimu ya juu, mpaka pale watakapo lipa Hela ya usajili na kusajiliwa chuoni

    Wakuu naomba Muongozo juu ya hili suala. Je ni sahihi kwa chuo kuchelewesha hela za wanafunzi kwa kigezo cha lazima wasajiliwe chuoni wakiwa wameshalipa hela ya usajili, wakati miongoni mwa hao wanafunzi wanategemea hela hizo za kujikimu kuendesha maisha na kulipa pesa kama hizo wanazodaiwa...
  15. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mkiwa mmekaa zenu Maskani halafu Mama akampa Mtoto Hela akanunue Kitu Dukani kisha akiwaona anampa Maelekezo haya Mtoto huwa anamaanisha nini?

    Unakuta mmekaa zenu Maskani ( Kijiweni ) tena hasa Kipindi hiki Joto lililopo Jiji na Kune Boy ( Dar es Salaam ) ili mlipunguze Mwilini mwenu unakuta Mama anamtuma Mtoto wake Dukani kununua Kitu lakini akiwaoneni tu nyie mmekaa anaongea kwa Msisitizo na Sauti ya juu kabisa huku akiyasema haya...
  16. Leslie Mbena

    JamiiForums Tanzania Toka lini Mwanaume anayejua kutafuta hela ukamtishia eti haumpi hela?

    TOKA LINI MWANAUME ANAYEJUA KUTAFUTA HELA UKAMTISHIA ETI HAUMPI HELA!? Leo 22:05hrs 19/11/2020 Ukimtishia Mwanaume anayejua kutafuta hela eti haumpi hela,hawezi kutishika,Chuma kinakusanya trillion 23 kwa Mwaka,sasa EU wanamtisha na 1.6 Trillioni? Kweli jamani! Ni kweli trillion 1.6 inajenga...
  17. Mikopo Chefuchefu

    JamiiForums Tanzania Kununua gari yenye 2,000cc ni kupoteza hela!

    Hutopata acceleration na pia hutopata fuel economy. Mie naona ni bora kununua gari yenye 1,500 cc kushuka chini ili upate fuel economy au ununue gari ya Petrol yenye 3,000cc kwenda juu upate gari yenye acceleration ( inayotoka unyoya) kuliko kununua gari ambayo huku haipo na kule haipo yenye...
  18. G55-MGODI

    JamiiForums Tanzania Tutafuteni hela vijana

    Wanajamiiforums tafuta pesa zako upunguze kumuita kila mtu, "MKUU, KIONGOZI,MKURUGENZI, BOSI!" Unajiabisha sana mwanangu. Tafuta pesa kijana wangu ili hata Polisi wakikukuta umetulia sehemu wakuulize "MKUU KUNA SHIDA YOYOTE?" Hata wewe binti yangu tafuta pesa hata siku unapewa appointment...
  19. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Nani wanaongoza kuomba hela?

    Namba moja michepuko-hao ni balaa! Namba mbili mama chanja(mamsap) Namba tatu ndugu na jamaa! Namba nne, kanisani/msikitini! Namba tano michango ya jamii-ulinzi shirikish, gari la taka n.k. Namba sita chama.......! Mwana JF weka nawe wa kwako!
  20. TENGEFU

    JamiiForums Tanzania CRDB wanachukua hela zetu kwenye akaunti bila idhini yetu

    Kwa mara nyingine tena CRDB wameendelea na tabia yao ya ku draw hela kwenye akaunti za wateja bila idhini yao. Mimi ni mmojawapo niliyepokea ujumbe unaosema "Dear customer, TZS 10,446.43 has been drawn from account 0212 for queries call 0755197700, popote inatiki. Hii ni akaunti ya USD na mpaka...
Back
Top Bottom