Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 585
- 919
Nilimtumia mtu fedha kutoka kwenye akaunti yangu ya halopesa Ile hela haikufika ila kwenye akaunti yangu wakaikata! Niliwasiliana na huduma kwa wateja bila mafanikio!
Ni wiki sasa ile hela bado hawajanirejeshea!
Wadau ninataka kwenda kuwashtaki.
Ni wiki sasa ile hela bado hawajanirejeshea!
Wadau ninataka kwenda kuwashtaki.