Sheria ya mirathi kwa upande wa wajane kina mama inatakiwa kuangaliwa upyaFuateni taratibu zote za kuteua msimamizi wa mirathi. Ikiwemo pia kwenda mahakamani .
Mahakama ikishatoa nyaraka za kumteua msimamizi wa mirathi, huyo ndiye atakayefuatilia kwa bank na kampuni ya simu ili kupata pesa.
Kumbuka kuwa jukumu la msimamizi wa mirathi ni kutambua na kukusanya mali na madeni yote ya marehemu. Jukumu la pili ni kugawa mali kwa warithi halali kisheria.
Hivyo, Msimamizi wa mirathi atakayeteuliwa ndiye atakayefuatilia na kupewa hizo pesa. Naye atazigawa kwa warithi halali kwa mujibu wa sheria.
Kwa suala lako, ingependeza huyo mke ndio apewe usimamizi wa mirathi.
Sheria ya mirathi inatakiwa kuangaliwa upya
FRESHMAN wewe kama mwanaume umetafuta mali na mke wako kipenzi lakini ukitangulia kuondoka hizo mali zinauzwa warithi wanagawana. Sasa kama una nyumba moja wakishagawana yeye utu uzima ushawadia, kukimbizana hawezi tena, unafikiri yeye ataenda wapi.Upya kwa sababu gani? Ina mapungufu gani?
Kwa nini mkuu?Sheria ya mirathi kwa upande wa wajane kina mama inatakiwa kuangaliwa upya
Sijakuelewa hapo mzee umesema kwamba awarudishie RITA death certificate then wampe death certificate tena hapo hujaeleweka vizuri labda missspellsHio dealth certificate huwa hawaipokei bank wala mpesa, wanapokea death certificate tu (Ikiambatana na barua ya usimamizi wa mirathi ya marehemu).
Warudishie RITA hio dealth certificate, halafu waambie wakupe death certificate.
Unaijua vita ya mirathi lakini? Yaani hiyo ni vita kubwa kuliko majimaji warKwa nini mkuu?
Mbona hakuna shida hapo? Huyo mama ana haki kbs ya kuomba kuteuliwa kiwa msimamizi wa Mirathi. Achangamke tu@mama D
Sasa inauzwaje kama mama ndo kabaki kichwa cha familia atakaeuza ni nani? mana tayari mama yupo muuze ili iweje tatizo ndo linakujaga hapo kukosa busara kwa baadhi ya Wana ndugu shida SanaFRESHMAN wewe kama mwanaume umetafuta mali na mke wako kipenzi lakini ukitangulia kuondoka hizo mali zinauzwa warithi wanagawana. Sasa kama una nyumba moja wakishagawana yeye utu uzima ushawadia, kukimbizana hawezi tena, unafikiri yeye ataenda wapi
Nawaza nimpoteze babachanja wangu halafu nyumba yangu nilivyoisotea Mimi na yeye iuzwe ili warithi wapate chao halafu Mimi nikaanze kutafuta makazi
Maumivu juu ya maumivu
Fuateni taratibu zote za kuteua msimamizi wa mirathi. Ikiwemo pia kwenda mahakamani .
Mahakama ikishatoa nyaraka za kumteua msimamizi wa mirathi, huyo ndiye atakayefuatilia kwa bank na kampuni ya simu ili kupata pesa.
Kumbuka kuwa jukumu la msimamizi wa mirathi ni kutambua na kukusanya mali na madeni yote ya marehemu. Jukumu la pili ni kugawa mali kwa warithi halali kisheria.
Hivyo, Msimamizi wa mirathi atakayeteuliwa ndiye atakayefuatilia na kupewa hizo pesa. Naye atazigawa kwa warithi halali kwa mujibu wa sheria.
Kwa suala lako, ingependeza huyo mke ndio apewe usimamizi wa mirathi.
Busara v/s SheriaSasa inauzwaje kama mama ndo kabaki kichwa cha familia atakaeuza ni nani? mana tayari mama yupo muuze ili iweje tatizo ndo linakujaga hapo kukosa busara kwa baadhi ya Wana ndugu shida Sana
Huwa inakuwa kubwa Sana kama kuna watoto wa pande mbili tofauti na walikuwa hawapendani kingine kwamba na suala la elimu nalo tatizo kubwa Sana aisee ukikosa elimu sometimes huwa tatizo tenaUnaijua vita ya mirathi lakini? Yaani hiyo ni vita kubwa kuliko majimaji war
Sheria hii ni mbovuHuwa inakuwa kubwa Sana kama kuna watoto wa pande mbili tofauti na walikuwa hawapendani kingine kwamba na suala la elimu nalo tatizo kubwa Sana aisee ukikosa elimu sometimes huwa tatizo tena
Sasa mama kabaki pale tatizo nini mkiuza nyumba yeye akaishi wapi hapo huwa hatari zaidiBusara v/s Sheria
Kumbuka pesa haina undugu
Sina hakika hapo issue ni nini.Kuna mtu alifariki January mwaka jana taratibu zote zikafuatwa na msimamizi wa Marathi na pesa katika bank accounts zote zikapatikana lakini cha ajabu pamoja na kukamilisha kila kitu pesa bado hajapewa mkewe. Anaambiwa zipo hazina hajui tena afanye nini kishajichokea.