hela

  1. S

    Kigoma kuna upungufu mkubwa sana wa wanaume, ni rahisi dada kuokota hela Kigoma kuliko kupata mchumba

    Ukimtokea mdada wa Kigoma kwamba umempenda na unataka kumuoa basi ataifanya habari hiyo kuwa siri, kwasababu anaogopa kuhujumiwa. Uhaba huu wa wanaume Kigoma umesababishwa na nini? Kuna nadharia mbili zinatoa majibu ya swali hili:- 1. Watu wa Kigoma wana asili ya utafutaji sana. Hivyo vijana...
  2. S

    Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

    Kamati kuu ya Chadema kwa kauli moja imeazimia kushiriki katika sherehe za Uhuru zitakazofanyika Mwanza kitaifa.
  3. The Assassin

    Trump aitaka Benki ya Dunia kuacha kuipa mkopo China, adai ina hela nyingi na kama haina inazitengeneza

    Rais wa Marekani Bwana Trump ameitaka Benki ya Dunia kusitisha kuipa mikopo China kwa sababu China ina pesa nyingi ambazo inakopesha nchi nyingine, iweje China anakopesha wengine kupitia mradi wake wa Road lnitiative halafu iseme haina hela iende kukopa Benki ya Dunia?
  4. Maleven

    Nimetumia hela vibaya, ndugu zangu wanateseka. Moyo unaniuma

    Naandika haya atleast kupunguza majonzi nilionayo moyoni. Mimi ni kijana kutoka familia masikini sana, nimebahatika kupata kazi, nitazungumzia mshahara wa october. Baada ya kupokea 280,000 kama mshahara wangu, nililipa elfu 60 deni lililokopa katikati ya mwezi, kisha nikamtumia mama elfu 10...
  5. I

    Kutana na hela za Manyoka, ipo siku kizazi cha ku-plan kitazaliwa. Huwa hakiangaiki

    #tag Kampuni Tamu itakayowafanya watu waelekeee kwenye maisha wanayoyataka Kwa kuondoa (matumizi yasiyo ya lazima katika JAMII.. by Mbeki) #tag mfano watu wanataka Wakala wa shopping mall dharau naleta Wakala wa fremu lakini IPO siku nataka Wakala wa Shopping Malls #tag Sitaki wezi lakini...
  6. Freightliner

    Polisi wavamia boda ya Kasumulu - Kyela na kuwapokonya hela wanaobadili pesa

    Imetokea boda ya Tanzania na Malawi ambapo polisi wamevamia na kuwakamata wananchi wanaochenji hela na kuwapokonya na pia kuwapakia kwenye costa na kwenda kuwalaza vituo vya polisi. Vijana waliosalimika ni wale waliokimbilia upande wa Malawi sasa hatujui kosa ni nini hasa ambalo nchi na...
  7. N

    Nimeombwa hela na mwanafunzi

    Habarini. Kuna jambo limenitokea, linanipa maswali na mshangao kiasi. Ninakaa jirani na shule, jirani sana tu. Ni mtu mzima mimi, 35 yrs. Kwa sasa shule nyingi zipo ktk makambi kwa vidato vya 2 na 4, hii ni mojawapo pia. Jioni ya leo, nikiwa sina hili wala lile nimepumzika tu nasikia hodi...
  8. T

    Nauza account ya admob..ina dollar 30 tayarina barua ishafika

    nauza account ya admob ambayo inaverification tayari na ina usd 30.nicheki whatsapp 0744287850
  9. katoto kazuri

    Mwanaume kama huna hela huwezi dumu na mwanamke

    Yaani sio nawadharau ila niukweli. Mtakuwa mnasaidia wenzenu mademu zao wanawake zao. Namtabaki tu na stress na kufikia kunywa sumu. Why mwanamke wanawake watakuwa wanakutema wanakufuata tu pale nilazima apewe tu kitu fulani ila mumewe akimuuliza kati yangu na huyo lofa unamtaka nani kwa...
Back
Top Bottom