Yaani hata kama mtu hutatoa shukrani ila umjulishe tu alietuma kua hela imefika, lakini unakuta unamtumia mtu ikishafika ndio anapotea moja kwa moja hatoi shukrani wala hasemi kama hela imefika.
Hii tabia inakatisha sana tamaa
Huo ndio ushauri wangu, wasanii, kwa makundi na aina ya sanaa zao, wapewe fedha waandae matangazo, kama ni TV, basi wanaweza kuwa hata kumi kwa tangazo, matangazo yakawa mengi,vituo vya redio na TV na magazeti, serikali ikadondosha kwa hata milioni 500-700
#stimulus package
Oh! Mara yule mwanamke anapenda sana Pesa, mara anatamaa sana.
Mara anazingua nampiga chini!
Tatizo sio kukuomba fedha, tatizo ni kwamba anakuomba fedha huku wewe huna?
Nje ya mada : Dada poa mmoja Alisikika akisema " tarehe za mshahara biashara inakuwa nzuri sana.
Unatafuta mrembo mzuri humu jf alafu mnatafuta pori huko msituni ambapo hakuna binadamu yeyote zaidi ya wanyama na ndege, mnaji-lock down wenyewe hata kwa mwaka mzima, huku mkila mizizi, matunda, majani na kufurahia uumbaji. Huko hakuna kuvaa mask, hakuna hofu ya maambukizi n.k Naona itakuwa...
Nahimiza watanzania tupige gombo la kutosha, tufanye maombi Mungu atajibu. Tukeshe mabarabarani, makanisani, misikitini na kila mahala.
Hakuna haja ya kupoteza hela zinazochangwa kupambana na corona, pesa hizo zikusanywe ziachwe baadae zitumike kujenga mashule na hospitali.
Yalichangwa...
Wanajamvi natoa ushauri tu!
Kama umeweka hela kwenye Vicoba nenda katoe.
Nawapa sababu.
Corona ni tishio na ndio hivyo vitu vimeanza kupanda bei kutokana na uzalishaji finyu na uhitaji mkubwa, low supply lakini high demand, hapo kunatokea shortage ambayo inalazimisha watu kupandisha bei ili...
Mwanadada mrembo wa aina yake,aliye na ngozi ya asili asiyetumia mkorogo kama warembo wa mjini ambaye ni mwanamziki pia video queen official Lynn ambaye umaarufu wake ulianza baada ya kushiriki Kama video queen kwenye video ya Rayvanny "Kwetu".
Mwadada huyo anatajwa Kama mwadada mrembo zaidi...
wadau naomba kuuliza, mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye taasis flani ya private lakini niliacha na kwenda serikalini. Nilikwenda kufuatilia pesa zangu NSSF wakaniambia kama umeacha huwezi kupewa labda ungefukuzwa, nikasema msinipe cash bali mpeleke kwenye mfuko wa serikali PSSSF lakini bado...
habarn wakuu
Katika maisha suala la kufanikiwa (kuwa na maendeleo) huwa lina mambo mengi sana, kuna wakati unaweza kupata pesa nyingi Ila linapokuja suala la kuwekeza ili pesa ijizalishe au kuwa na vitu fulani huwa kuna changamoto zake jambo linalopelekea kuendelea kuishi maisha yale yale
Nije...
Dada yangu ni mwalimu huko Tanzania kila siku namsikia akilalamika juu ya Halmashauri zinavyokula hela za WATUMISHI. Inauma Sana.
Uzi huu utumike kuzitaja halmashauri zote zinazotafuna hela za WATUMISHI ili magufuli azione akafanye yake maana kule Kuna majizi pia jicho lake halijawaona.
Hela...
Upeo wa viongozi wa Afrika ni mdogo sana wamejitenga na Madaktari wamejitenga na naturalists, unaambiwa asilimia karibia 100 ya wanaokufa na ugonjwa huu ni wazee kuanzia miaka 70+ kwa huku Afrika ni wachache mnoo almost negligible.
Unaambia mazingira ya kijiografia kiuchumi hayaruhusu viongozi...
Ndugu yangu ambaye ni mtanzania Kama Mimi Jana alienda kupima Corona pale hospital ya TMJ Mikocheni baada ya kuhisi kama ana ugonjwa wa Corona. Baada ya kupimwa akataka aondoke akaambiwa abaki mpaka kesho ndiyo atapewa majibu so akapelekwa karantini ikabidi akae hapo mpaka kesho.
Kesho...
Haya yamesemwa na CAG kicheere leo , ikumbukwe kwamba jambo hili lililalamikiwa sana na Maalim Seif wakati wa Mgogoro wa Cuf uliofadhiliwa na ccm.
Mutungi alipuuza kwa vile kulikuwa na viashiria vya ushiriki wake kwenye mgogoro ule .
Hakika muda umeongea wenyewe
Lipumba afungua akaunti mpya...
Katika mizunguko yako ikiwa umeonana na mwanamke nawe ukajiongeza juu yake.
Mwanamke naye akaamua kujiongeza juu yako kwa kukufanya ATM machine huku akikizuga kwa vimeseji vya I love you na wakati mwingine hata kukutumia picha zake za ndani ilimradi tu ukamilishe muamala.
Huyo demu muhuni...
Mimi ni mchaga kutokea Mkuu Rombo, ila pia ni mkazi wa Dar es Salaam japo sipendi kuitwa mwanaume wa Dar.
Kuna jambo moja linanikera sana kwa kweli kila nikienda nyumbani Kilimanjaro nikikutana na wakazi wengi amabao ni ndugu au wachaga tu huwa wana tabia ya kuomba hela sana. Ukikutana na mtu...
Mahakama ya Kisutu leo Machi10, inatarajia kutoa hukumu kwa Viongozi wa CHADEMA wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi Mahakamani hapo, Viongozi hao ni pamoja na Mwenyekiti CHADEMA, Freeman Mbowe, pia John Mnyika, Halima Mdee, Ester Bulaya, Ester Matiko, Heche, Msigwa na Mashinji.
Katika kesi hiyo...
Unajua Koffie Olomide anafanya Show leo, Tickets zilikuwa zinauzwa 100K na zimeisha kabla kabisa ya show! Huku tunalalamika ugumu wa maisha! :D
Hivi wanamudu vipi hawa wenzetu?
Malipo yake yote yamekuwa kuteuliwa kuwa Mtendaji wa Kata ya Ngara Mjini, Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera
Taarifa zilizofichwa zinaeleza kwamba kabla hajanunuliwa aliahidiwa kupewa mil 50 , lakini kwa bahati mbaya mpaka muda huu amelipwa mil 5 tu!
==
Mgombea Ubunge Buyungu 2018 Diwani wa Kata...
Acheni kuwasumbua wazee wa watu. Leo masikini wazee wanakwenda kutafuta hela zao bank wanaambiwa hakuna hela kwa vile hamjahakikiwa. Hamjawahi kutoa notice ya uhakiki kwa mwezi wa January, 2020, mnategemea mtu atapataje taarifa.
Acheni uhuni na utapeli, kama mmeishiwa hela waambie wastaafu wajue...
Mambo vipi wadau,
Mimi kijana nafanya kazi sehemu moja ila mshahara wangu mdogo ila unagawanyika sana naona kabisa mshahara haujitoshelezi. Nimeandika huu uzi kwa wale wajanja mjini tupeane basi code nasi tufanye hizo harakati tutoboe wote maisha kiukweli hela ya kutegemea mshahara ni mateso...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.