Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 798
- 865
"Africa inasalia kuwa bara pekee duniani ambapo kiwango kikubwa cha wanaharakati na wanasiasa wenye 'unguchiro' wanadai haki, ilihali wao wenyewe wanashindwa kuitekeleza misingi hiyo.
Ni taswira ya bara ambalo tabaka hilo linapenda kukosoa kila jambo (kwa matusi na dhihaka), likitumia uhuru wa kujieleza kama silaha dhidi ya wengine; kundi ambalo hupigania umuhimu wa hoja zenye mashiko majukwaani, lakini linapokabiliwa na hitaji la ushahidi wa kimantiki na takwimu, hukosa uwezo wa kuzithibitisha hoja zao."— Alloyce, P.R.
Ni taswira ya bara ambalo tabaka hilo linapenda kukosoa kila jambo (kwa matusi na dhihaka), likitumia uhuru wa kujieleza kama silaha dhidi ya wengine; kundi ambalo hupigania umuhimu wa hoja zenye mashiko majukwaani, lakini linapokabiliwa na hitaji la ushahidi wa kimantiki na takwimu, hukosa uwezo wa kuzithibitisha hoja zao."— Alloyce, P.R.