Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 37,457
- 87,021
Hamjambo!
1. Siku za hivi karibuni ukipita mitaani na barabarani umezuka mtindo wa vijana kuwaona wakiwa wamevaa kofia boshori funikauso achiamacho aidha wakitembea barabarani au wakipita na bodaboda wakiwa wamepakizana.
2. Mtindo huu sio mzuri kiusalama hasa ukizngatia vijana wengi hawana ajira za kueleweka.
3. Nachelea kusema sio muda hapa kuna wahuni watapita na hii trend ya huu mtindo kufanya uhalifu.
Ni hayo tuu.
TaikonMaster
Tip- Top Manzese, Dar es salaam
1. Siku za hivi karibuni ukipita mitaani na barabarani umezuka mtindo wa vijana kuwaona wakiwa wamevaa kofia boshori funikauso achiamacho aidha wakitembea barabarani au wakipita na bodaboda wakiwa wamepakizana.
2. Mtindo huu sio mzuri kiusalama hasa ukizngatia vijana wengi hawana ajira za kueleweka.
3. Nachelea kusema sio muda hapa kuna wahuni watapita na hii trend ya huu mtindo kufanya uhalifu.
Ni hayo tuu.
TaikonMaster
Tip- Top Manzese, Dar es salaam