Akizungumza Machi 27, 2026 katika Mjadala wa wazi Kati ya Viongozi wa Dini na Wananchi kuhusu Amani na yaliyotokea Oktoba 29, 2025 uliofanyika Mkoani Mwanza, Amesema Askofu Mkuu wa Kanisa la Mennonite Tanzania, Askofu Nelson Kisare, amesisitiza kuwa Haki na Amani vinaambatana kwa pamoja.
"Haki na amani zote zimezaliwa siku moja. Hakuna kinachotangulia, yaani zote zinatembea pamoja. Huwezi kuwa na haki bila amani, na huwezi kuwa na amani bila haki—haiwezekani." -Amesema Askofu Nelson Kisare
"Haki na amani zote zimezaliwa siku moja. Hakuna kinachotangulia, yaani zote zinatembea pamoja. Huwezi kuwa na haki bila amani, na huwezi kuwa na amani bila haki—haiwezekani." -Amesema Askofu Nelson Kisare