fundi

  1. dadi5

    JamiiForums Tanzania Msaada wa fundi mzuri wa Nissan Dualis

    Habarini za jioni wanajamvi, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta fundi mwenye uzoefu wa kuzitengeneza Nissan Dualis,gari yangu inasumbua sana na sina mpango wa kuiuza asanteni. Gari ni ya 2010 Tatizo: 1.Inakosa nguvu 2.Inatoa mngurumo tofauti na kawaida 3. Misfire...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Fundi Vifaa vya umeme

    Kwa matatizo yote ya TV, ( iwe imezima ghafla, imeungua taa, kioo haikionyeshi, picha ina vibrate, inaonyesha nusu n. K) karibu, tukudumie kwa gharama nafuu, kwa wakazi wa dar popote tunakufikia, pia tunatengeneza, subwoofer, radio, home theater na vifaa vingine vya umeme. Call/sms/whatsapp...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Fundi mzuri wa ngazi ya spiral

    Natafuta fundi mzuri wa ngazi ya spiral ya chuma. Nipo Dar. Nitumie sample ya kazi yako kama unayo kupitia msirisana@yahoo.com. Waweza weka pia kazi zako hapa pia, gharama na contact info.
  4. Digital base

    JamiiForums Tanzania Njia rahisi ya kung'arisha sink na tiles zako zenye uchafu sugu pasipo kupoteza muda na hela katika njia ambazo hazifanyi kazi

    Habari ya leo wapendwa,leo nimekuja na somo la usafi kwa wale wanao penda usafi. Vifaa. 1.Dawa ya kung'arisha masink na Tiles 2.Gloves 3.Mask 4.Viatu vya kufinika miguu. 5.Brash ngumu kubwa na ndogo. NAMNA YA KUSAFISHA Kabla huja fungua dawa vaa gloves,mask na viatu miguuni kisha...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Ntatfuta kazi ya 'Saidia fundi' nipo Dar es Salaam

    Habari Wana jf, mm ni kijana jinsia Me naishi DSM natafuta mafundi wa kunishika mkono kwnye tenda mbalimbali za ujenzi. Naweza safirI mahali popote jijini Dar es Salaam pia nshafanya kazi mbali mbali za usaidiz katika kampuni mbalimbali ikiwemo ujenzi wa terminal three(3) ya mwalim Julius...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Fundi Simu, Radio na TV nipo Dar es Salaam

    Habari za kazi wakuu, Kwa majina naitwa Hagai Anyimike, ni Fundi Simu, Radio, Tv na vifaa vingine vya umeme, lengo la kuandika uzi huu ni ombi kwenu hasa wakazi wa Dar es Salaam ikiwa unahitaji huduma ya kutengenezewa kifaa/vifaa vyako naomba unipe hiyo kazi nitakufuata hapo ulipo hivyo pia...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Fundi umeme wa magari natafuta ajira. Nimehitimu Veta, nina uzoefu wa kazi kutoka Gereji mbalimbali

    Mimi ni mhitimu wa veta pia Nina ozoefu wa kufanya kazi kwenye garage mbalimbali. natafta kaz kwenye garage, kiwanda au sekta yeyote hle Napatkana kw no za simu 0626645648 & 0714624097 Email: sylivesterstephano66@gmail.com
  8. TAJIRI MSOMI

    JamiiForums Tanzania Natafuta fundi wa form work, nipo Kinyerezi Mwisho

    Salaam Wakuu, Natafuta fundi wa form work, ninakaproject kangu kadogo, inaweza ikawa ni kazi ya siku tatu hadi nne, Ninalipa sh.40,000 kwa Siku, kazi ipo maeneo ya Kinyerezi mwisho. Kama upo interested please call or text me 0783011848
  9. Zoe Closet TZ

    JamiiForums Tanzania Ni changamoto gani unaipata kwa fundi wako wa nguo?

    Salam kwenu wapendwa. Karibu sana kwenye page yetu ya Zoe Closet Tz, kwa kweli hili swali huwa najiuliza mara zote na sijawahi pata jibu, mafundi wa nguo shida inakuwaga nini? Ofisi yetu inadeal na nguo za kike za kushona na za kawaida, na tunaelewa kushona nguo ni kazi yenye challenge kama...
  10. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mtaalam (fundi) alieko Mbeya anayejua mambo ya kuweka custom rom mbalimbali

    Ndugu zangu habari zenu,ninahitaji msaada wa fundi alieko mkoa wa mbeya au kijana yeyote alieko mbeya mwenye uelewa wa kuweka custom rom mbalimbali kwa simu. Ndugu yangu ana simu aina ya redmi note 9pro 5g chinese version sasa now kumekua na ban ya matumiz ya google services kwa chinese...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Dkt. Bashiru na Polepole sasa ni wabunge wa kuteuliwa, David Silinde na Katambi ni Mawaziri

    Wakati mwingine ukifikiria sana siasa utagundua ni ubatili mtupu yaani ni bora umrejee muumba wako. Yaani leo hii ndio kusema maswali ya Dr Bashiru na komredi Polepole yanaenda kujibiwa na akina Gekui, Waitara, Silinde, Katambi na Dr Mollel kule bungeni? Kwamba, David Silinde ana mfuko wa...
  12. Isaack Newton

    JamiiForums Tanzania Natafuta fundi wa Pressure Washer za magari

    Habari wakuu.! Natafta mtu anayejua kutengeneza pressure washer ya magari. Tatizo la machine ni kile kichwa chenye pistoni kinachosukuma maji yatoke kwa presha Kali, kina changanya maji na oil, nimetafta seal ili nibadilishe lakini hazipatikani. Kwenye ufundi huo au kama una mshikaji ana ujuzi...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini Amiri Jeshi Mkuu, Rais Samia Suluhu hakuvaa sare za Jeshi wakati akiwatunuku kamisheni wanajeshi?

    Nilikaa kusubiri juzi nilitarajia Rais Samia atavalia mavazi rasmi ya Kijeshi nilisubiri alipotokeza nikazani ni yule Rais nunda wa Korea ,kumbe ni yeyye,nikajisemea leo ni mambo ya Kijeshi na yeye sasa sikujua anahudhuria ile kama Rais au Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Serikali ya Jamhuri ya...
  14. Chimulenge

    JamiiForums Tanzania Fundi AC za majumbani anahitajika Mwanza

    Kama unajijua ni fundi wa ac na uko Mwanza tafadhari naomba tuwasiliane kuna kazi
  15. Da Vinci XV

    JamiiForums Tanzania BAS UTEREIJK: Fundi wa picha aliyetengeza picha ya Yesu na Pharaoh

    Wasalaam Kuzaliwa katika zama hizi za maendeleo ya sayansi na teknolojia ,mara nyingi tunasahau jinsi mambo tofauti yalivyokuwa kabla yetu. Watu wangeweza kujua tu mtu anaonekanaje kulingana na mtazamo wa msanii (mchoraji) au zile picha za black and white Licha ya juhudi za wasanii...
  16. Mtwara Smart

    JamiiForums Tanzania Darasa Huru Part 4: Umuhimu Wa IT Rescue Bag Kwa Fundi Computer/Simu

    Habari zenu wakuu na poleni na majukumu, Leo ningependa tujue umuhimu wa I RESCUE BAG Kwa Fundi Computer Na Simu, Vitu Hivi Ni Muhimu Sana Kwa Fundi Yoyote Anayetaka Kutoa Huduma Express, Delivery Na Outreach. IT RESCUE BAG Ni Mfuko Au Kitu Chochote Kinachoweza Kuhifadhi Vitu Muhimu Ambavyo...
  17. Fundi George

    JamiiForums Tanzania Fundi Umeme

    Zoezi la kufunga Submita hizi za PREPAY Hizi ni Mita Binafsi Ambazo ni maalumu kabisa kwa wale Watu wanaotumia mita moja ya LUKU zaidi ya mtuu mmoja limekamilika Faida za hii Mita nikwamba owapo mtumiaji mmoja kati ya wale wanaotumia umeme Luku moja zaidi ya wawili akiishiwa umeme hatapata tena...
  18. Fundi George

    JamiiForums Tanzania Kama unahitaji fundi umeme wa nyumba ya ndoto yako

    Tv showcase iliyofanyiwa design ya umeme kwa kazi nzuri kama hizi wasiliana na Fundi George 0622313163 0622313163 tunapatikana Dar es salaam.
  19. The Palm Tree

    JamiiForums Tanzania Miziki isiyo ya maombolezo yapigwa marufuku Mwenge, Dar es Salaam

    Inasambaa sana na kwa kasi mitandaoni. Inasemekana imeandikwa na M/kiti wa mtaa wa Mwenge, Halmashauri ya wilaya ya Kinondoni DSM. Uandishi wenyewe ni wa kibabe na usio na weledi hata chembe. Eti "...HII NI AMRI SIYO OMBI..." Hawa MATAGA hawataki kujifunza kwa hiari nadhani... Hawa ni wazi...
  20. Slowly

    JamiiForums Tanzania Mbosso Khan, fundi mpya Mjini

    Aiseee nimesikiliza goma jipya la Mboso Khan linaitwa "Yalaah" nimehitimisha Kwa kusema kuwa Mbosso ni fundi mpya wa mashairi hapa mjini...... Director Hanscana ni legend Kitu kingine nilichogundua ni kuwa Diamond anapomsajili msanii anaangalia Sana uwezo wa kutunga mashairi mana ndo njia...
Back
Top Bottom